Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
WAPINZANI WALITUCHELEWESHA SANA.(BY POMBE).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani ni lini?na shule gani hiyo?Vitabu lazima anunue hata Sisi tuliosoma zamani tulikuepo tunanunua tuu. Dissecting kit ni vizuri Kwa maana hiyo itakuepo ni Mali yake. Understanding biology , understanding chemistry
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Yeah vyote ulivotaja navyo vina umuhimu wake mfano shuleni lazima kuwepo na uniformity na usafi ni muhimu piaKuna vitu ukiambiwa kununua vinaleta mantiki na vingine havileti. Tatizo la shule za Tanzania wanajaribu ku-complicate mambo bila sababu. Kwa mfano hili la shuka. Kwani ni lazima yawe na rangi moja? Vitu kama vitabu inaweza kueleweka lakini vitu kama dawa ya chooni, mafyekeo etc ni vitu vinatakiwa kutolewa na shule.
Mimi nilisoma Bihawana Secondary Dodoma Combination ya CBA niligraduate 2010 form six. Mbaya zaidi hata hukukuepo na waalimu wa masomo yote kwahiyo vitabu vilitusaidia Sana tena Sana . Kumbuka Bihawana secondary ni miongoni mwa shule kongwe kabisa nchiniZamani ni lini?na shule gani hiyo?
Muwaeleze na wazazi wao huko majukwaani basi. Sio muwaache watoto wanakwenda kupata shida huko shuleni.3. Nikajiuliza ina maana shule hii anayokwenda kusoma mwanangu haina vitabu? Imekuwaje inaanza kidato cha tano huku ikiwa haina vitabu? Kipi kilipaswa kuanza, majengo au vitabu na walimu kwanza? Hivi mzazi kama nanunua vitabu vyangu kwa ajili ya mwanangu, si bora asomee nyumbani sasa na siku ya mtihani aende kufanya tu...?
Hili wazo lako zuri pia, asomee nyumbani ataenda tu kufanya mitihani, na hao panya chura atawapasua hapo hapo nyumbani na wembe wa topaz.
Yeah hata sisi ilikuwa hivo dissection kiti niliuziwa tsh 30 enzi hizo na calculator mbona nilinunua bila kulazimishwa?nina uhakika huyu mzee akisoma comments atajiona bonge la mbwiga,ataukimbia uziTena shukuru sasa Hiv mnaandikiwa sis ilikuwa unaripot ndo Unajua kumbe kuna dissection kit, kumbe kuna chandi, kumbe kuna scientific calculator, kumbe kuna vitin pamflect
Hujui uandikacho wewe. Ni wazi umezaliwa juzi, umekuta matatizo haya na unadhani ndivyo ilivyo....Ndugu mzazi acha kulalamika shule za advance siku zote zipo hvo mnunulie mtoto mahitaji hayo
Shule ya serikali? Na ukadhani ni kawaida? Wewe ndiye wa hovyo....Wazazi wa siku hizi hovyo sana, mnazaa tu ila hamna mpango na watoto wenu, mimi nimewahi kumsomesha mdogo wangu nilimnunulia kila kitu vikiwemo hivyo uliyotaja ila sikulalamika.
Never ever, mambwiga ni nyie ambao mnasoma na kumalizia shule hizi ambazo ni zao la siasa uchwara na maji taka na mnadhani mambo yako hivyo.Yeah hata sisi ilikuwa hivo dissection kiti niliuziwa tsh 30 enzi hizo na calculator mbona nilinunua bila kulazimishwa?nina uhakika huyu mzee akisoma comments atajiona bonge la mbwiga,ataukimbia uzi
Absolutely, YES. Hilo ni muhimu sana pia...• Duh! Niseme tu pamoja na kwamba elimu yetu inachangamoto kadha wa kadha ila kusoma sayansi haijawahi kuwa rahisi; ni gharama , kuanzia: muda, pesa, kusoma kwenyewe n.k
• Mwanafunzi kuwa na vitabu vyake ni suala la muhimu, kama uwezo upo. Hii inaleta uwiano mzuri shuleni kati ya idadi ya wanafunzi na vitabu.
• Kuwa na "disection kit" binafsi ni muhimu, mwanafunzi anaweza kuwa anafanya mazoezi peke ake; ukisubiri vya shule atazishika wakati wa mitihani tu au inapokaribia. Kama unauwezo nunua.
• Anaweza kusoma nyumbani kama unaona hivyo ni vyema, atafanya mtihani kama 'private candidate', inawezekana pia.
Waongelee wewe mkuu.Ongelea kwa watanzania wote ambao ni maskini. Don't be so short-sighted.
Wewe nashindwa hata kukujibu kwa sababu ni wazi hujelewa mantiki ya andiko langu lote. Na hiki unachosema "Elimu ni gharama" na kuwa kama sitaki gharama, nijaribu UJINGA, it's completely irrelevant na mantiki ya hoja yangu...Hayo ndo matatizo ya kuwa LY. Sasa Kama umeona Elimu ni gharama, jaribu Ujinga. Otherwise mnunulie BS ya Biology, Chand za masomo yote matatu, Nelkon book of Physics kwa kuanzia. Kama huwezi, lala mbele.
• Zamani za kale, miaka ya arobaini na kitu, na miaka ya tisini na kituNever ever, mambwiga ni nyie ambao mnasoma na kumalizia shule hizi ambazo ni zao la siasa uchwara na maji taka na mnadhani mambo yako hivyo...
Nyinyi [mambwiga wengi] hata hamjui kwanini mnalipa kodi serikalini na pengine hamjui hata jukumu la msingi la serikali yoyote duniani, kwamba ni kukusanya kodi na kutoa huduma bora na za kiwango kwa wananchi ikiwemo elimu...
Wewe kweli ni Mbwiga has a maana kama hujui haya, utaweza vipi kudai haki zako? Viongozi watakuwekea makalio yao usoni mwako na utasema sawa tu ni kawaida...!!
May be, but I don't think so.Itakua kwa sababu ya korona walimu wanaogopa watoto wasiambukizane korona kila mtoto awe na vifaa vyake.