MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama kuna Kitu ambacho bila Unafiki au Sanifu au Kukudanganya nakipenda Kwako ni Uwezo wako mkubwa wa Maarifa uliyonayo hasa juu ya Fani yako na Exposure ya Wastani.
Ila Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kama kuna tatizo Kubwa ulilonalo ni la Uwasilishaji wa Jambo katika Public ( Communication Skills ) na ukaeleweka vyema.
Natamani sana kujua / kusikia kutoka kwa Schoolmates wako waseme kama na tatizo lako la Asili au Unazuga au una Aibu fulani hivi.
Hata hivyo kinachonishangaza ukiwa unaizungumzia Yanga SC yako au uko katika Mikutano ya Yanga SC huwa unaongea vizuri tena katika Confidence ya ajabu mpaka nahisi labda huwa unazimuaga kidogo na Kichwa Kinachangamka.
Ila Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kama kuna tatizo Kubwa ulilonalo ni la Uwasilishaji wa Jambo katika Public ( Communication Skills ) na ukaeleweka vyema.
Natamani sana kujua / kusikia kutoka kwa Schoolmates wako waseme kama na tatizo lako la Asili au Unazuga au una Aibu fulani hivi.
Hata hivyo kinachonishangaza ukiwa unaizungumzia Yanga SC yako au uko katika Mikutano ya Yanga SC huwa unaongea vizuri tena katika Confidence ya ajabu mpaka nahisi labda huwa unazimuaga kidogo na Kichwa Kinachangamka.