Waziri wa Fedha wa Uingereza, Kwasi Kwarteng ajiuzulu

Women destroy nations, huyo Mwanamke Trus ameingia ku destroy English people ana chuki sana.

Women destroy nations!
Wacha ujinga wewe Kijakazi (a feminine name!). Uingereza iliwahi kuongozwa na Margareth Thatcher na Theresa May na waliongoza vizuri sana, hasa Thatcher ambaye aliongoza katika kipindi kigumu kabisa cha mtetemeko wa uchumi.

Angela Merkel ameongoza mpaka akachoka mwenyewe tu na kuamua kuachia ngazi, sijui wewe unaishi katika taifa gani.
 
Itakuwa Burundi bila shaka🏃🏃
 
Hapa kwa wale wafanyabiashara ama traders Ni ku sell GU hakuna namna. Na ndio Mana Leo paundi imekuwa weak balaa. Ni mwendo wa ku kamua soko maziwa yajae ndoo. But nb greed is the enemy and is the dangerous than fear
 

Angela Merkel destroyed Germany, Thather ndiye aliyeanza kuibomoa Uingereza leo hii Uingereza inafanana sehemu nyingi na developing countries, kazi ya Thatcher.

Women Destroy Nations!
 
Kwa sababu jamaa ni mweusi tu hapo hakuna kingine.

Waafrica bwana everything ni zwengwe.. hali iliyopo uingereza kwa sasa ni tatizo kwa uchumi wao.
Alichofanya kwateng ni ku step down, si kwa ubaguzi, ila ni collective responsibility.
 
Kuna wakati huwa tunaongea mambo mengi sana ya hovyo, badala ya kuishtumu Urusi aliyeanzisha vita unamlaumu aliyevamiwa.
 
Wapi MK254 njoo kwa huku,ipo maneno yako,rafiki zako wanapukutishwa kama majani
 
Hapa Home Waziri Wetu Kimya Hataki Kutema Bungo Kama Wa Uingereza
Siyo hapa hata huko Russia ingekuwa serikali yao ina angalau udemokrasia kidogo aisee viongozi wengi wangeshatema bungo ila ndo hivyo mkono wa chuma umeshika hatamu.
 
Putin alishasema kuwa maisha mazuri waliyonayo wananchi wa Russia ni kutokana na cheap energy wanayoipata kutoka Russia leo hii kila mtu ni shaidi vilio kila kona uko ulaya ..
 
Kwarteng alienda haraka Sana kwa ile mipango yake afu ilikuwa ime base kwenye Imani zaidi kuliko uhalisia..

Ukiwa ngozi nyeusi unatakiwa kuwa smart pasi na shaka vinginevyo tatizo lolote utashupaliwa hadi ukome..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…