Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu ni wakorofi sana kama ni kweli.Wamzunguke hasimu wao,siyo?Waziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
Halafu@Ritz atakuambia Wapalestina wameishinda vita.🤔Gaza bye bye tena.
Kabla ya vita Netanyahu alisema jambo pekee linalomuumiza mwarabu ni kumnyang'anya ardhi.Waziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
Hapa JF Wapalestina wameipasua Israel vibaya sana.Halafu@Ritz atakuambia Wapalestina wameishinda vita.🤔
nan aliwatuma mtumie ardhi ya Gaza kama kambi ya kijeshi , mngekuwa timamu mngekuwa mnashambulia kutokea Lebanon , ila nyiny mnashambulia kutokea maeneo mliyoaachiwa kwa huruma , ngoja wayarudishe ndo msahau kbs kurud hapoHawa watu ni wakorofi sana kama ni kweli.Wamzunguke hasimu wao,siyo?
Wakaanzishe na makazi Iran hiyo itakua salama zaidi kwaoWaziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
Niliwahi kusema kuwza kujua kilicho nyuma ya hii vita kwa jicho la kawada ni ngumu sana, tumwombe Mungu hii vita iishe maana maangamizo ni mengi sana ambayo yanaacha makovu makubwa sana.Waziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
chanzo tafadhali, acha kelele wewe myahudi wa gongolambotoWaziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.