Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hii taarifa ni kweli, wapalestina wakiondoka kama wakimbizi hii ndo bye bye maana "law of return" ndo inaenda kuwahukumu.Waziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
angeonesha mfano wa yeye akajenge hapo kwanza sio kuwasakizia wenzieWaziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
sasa wewe unadhani hapo kuna myahudi ataenda kukaa hapoLakini si kuna Wanamgambo walituambia Myaudi anaelekea kushindwa vita?
ndivyo inavyokuaga mara nyingi baada ya vita.. mshindi kwa hiari anaweza akajinyakulia ardhi ya adui aliyeshindwaWaziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.
Hawa wamebanwa leo anawaita wenzake shimoni huyoWaziri wa Fedha Bwana Gezalel Smotrich, amewaomba raia wa Israel wakaanzishe makazi kasakzini mwa Gaza. Waziri huyo amedai ya kwamba waisrael kuhamia na kujenga makazi Gaza kutapelekea Usalama ndani ya Israel.