Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Unasubiri tangazo la nyungu?
 
Hili jambo linatakiwa lijadiliwe na watu wenye upeo na akili. Siyo size ya Mwingulu. Yeye abaki na vitu vya kiwango cha chini.
 
Majinga mengi hayatamwelewa mwigulu! Yapo mengi yanavizia vyeo sahivi hata hayajui sahivi kuna tukio gani
 
Mwenzake ametoa vifungu vya katiba,Mwiguli ni kama ametumia busara zake zaidi na siyo sheria.busara ni nzuri lakini kufuata matakwa ya katiba ndiyo jambo la mhimu zaidi
Ni wapi katiba imesema raisi akifariki dunia,makamu wa Raisi atakayeapishwa kuwa Raisi inabidi aunde baraza lake la mawaziri?
 
Mwigulu yuko sahihi katika hili,tuache ubabaishaji
Yuko sawa kivipi? hao mawaziri walikula kiapo kwa rais wa zamani,hapo lazima baraza liundwe upya kulingana na katiba mwigulu analinda ugali tu.hata waziri akibadilishiwa wizara anarudi kula kiapo kwa rais yuleyule itakuwa kwenye mabadiliko ya rais,kama baraza lipo Ni mwendelezo wa kuvunja katiba.
 
Ni wapi katiba imesema raisi akifariki dunia,makamu wa Raisi atakayeapishwa kuwa Raisi inabidi aunde baraza lake la mawaziri?
 
Huyu ni Kati ya Watu Mamafia chama inawalea! Ana Rangi nyeupe ila Roho nyeusi imejaa imejaa Unyama!!Rejea alivokua minister wa Enterior affairs!! Huyu Mama Samia amtupe mbali akachunge ng,ombe !!
 
Umesahau Kama uliteuliwa wakati Mh.Mahiga hajazikwa? Mbona hukukaa huo uteuzi Kama wewe ni mtu kweli?
 

Mahiga Alipokufa Magufuli alisubiri azikwe ndio ajaze nafasi yake? Wakati Magufuli akifanya hayo, mbona Mwigulu hakumshauri atumie busara sijui maadili?
 
Ni wapi katiba imesema raisi akifariki dunia,makamu wa Raisi atakayeapishwa kuwa Raisi inabidi aunde baraza lake la mawaziri?
samia anaunda baraza jipya hata litakuwa na watu walewale ktk wizara zilezile lzm wale kiapo cha utii mbele yake,na waziri mkuu anaweza kuwa siyo Majaliwa tena.
 
Namkumbuka kwenye issue ya Lwakatare akijiapiza kuwa anao ushahidi.
 
samia anaunda baraza jipya hata litakuwa na watu walewale ktk wizara zilezile lzm wale kiapo cha utii mbele yake,na waziri mkuu anaweza kuwa siyo Majaliwa tena.
Hujajibu swali langu,ni wapi katiba imesema hivyo
 
Nadhan unajipigia debe kiaina
 
Yaani wapinzani kulalamika ni jadi yao! Mnadhani kuna kupumua hapa? Magu spirit will prevail
Ungejua hiki kifo Magu alikitafuta kwa juhudi Sana ili kukimstiri na aibu ya kushindwa vibaya baada ya maneno yake ya shobo dhidi ya watangulizi wake,basi ungejiandaa tu kwa big U turn.hakuna mtu mwenye Akili anaweza kufuata ujinga wa Magu.mwache aende tu
 
Mbona chama hawajasubiri tuzike wanaanza vikao vya kumpata makamo wa Raisi?

Ndiyo ujuwe kwamba hoja tuko kwenye msiba inatumika kupotosha hoja iliyotolewa na TLS, kwanini CCM haijasubiri tumalize msiba kwanza ndipo wachague VP
 
Yaani wapinzani kulalamika ni jadi yao! Mnadhani kuna kupumua hapa? Magu spirit will prevail
Ni muhimu sana kusoma somo la historia.
Sijui kama China na Urusi fikra za waasisi wao bado zina prevail.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…