PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mzee kaona isiwe taabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅kasema anakikao halafu a kala unyoyaaa kama Semaji
Hapo ndipo mnakosea na watesi wenu wanashangilia.
Mnayo matatizo mengi nchini kuliko huko kwa kina Gachagua, hamuonyeshi juhudi zozote kuyaondosha, mmebaki kushangilia kuondoshwa Gachagua, itawasaidia nini?
Idiots.
Katokomea jalalani
Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi pamoja na kusoma kuhitimu sheria na kuwa mbobezi wa stori bado kakimbia ?
Acha jamaa awaokote ambao hawakusikiliza.Kasema he is out of time, ana vikao vinamsubiri. Nothing wrong with that.
Ni mindset yako tu, hakuna kingine.Idiots ni watu kama nyie.
Bottom line kupigania lolote na watu kama nyie kwa jina eti ni washirika, ni matumizi mabaya kabisa ya muda.
Labda nikuulize ndugu, hIvi nini kimekukera haswa kwenye andiko hili?
Ni mindset yako tu, hakuna kingine.
VIGOGO KIMATAIFA WACHEMKA
Kimataifa alianza kuchemsha spika wa bunge la chama dola Dodoma Dr. Tulia Ackson kule bunge la kimataifa na sasa chombo cha media ya kimataifa DW waziri wa sheria aliyejikusanyia sifa kibao ndani ya Tanzania Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi profesa atoka nduki ?
Nini kimewasibu viongozi wa kiserikali wa chama dola kongwe ?
Kwani haya mazungumzo na vyombo vya habari huwa yanapangwa au wanabahatisha tu kumhoji mtu muda wowote? Mimi nadhani huwa yanapangwa kutokana na availability ya atakayehusika kuhojiwa muda huo, vilevile mahojiano yatakua dakika ngapi.Kasema he is out of time, ana vikao vinamsubiri. Nothing wrong with that.
Ya kuokotwa jalalani na Magufuli, alidhihilisha Kabudi mwenyewe katika context ya kuonewa huruma kwani alisha kuwa hohehahe!Wewe unaamini kabla ya uwaziri alikuwa jalalani? Jitahidi kuelewa vitu contextually.
Mia Kenda tisini na Kenda......😂😂😂Alfu tisa mia kenda kala chocho hahaaa.
Vikao vya serikali ni vya kujilipa pesa TU! Ni mafisadi makubwa sana!Kasema he is out of time, ana vikao vinamsubiri. Nothing wrong with that.