Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Mwl Athumani Ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,280
Reaction score
2,522
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Kufunga mipaka walau hata KWA muda mfupi itasaidia price regulatory mechanism Ili bei ya chakula isije ikapaa Sana Hadi hapo January,mkiacha hivi hivi watakao KUWA na uwezo wa kukinunua ni wachache Sana na hao wakulima wanafurahia bei kubwa watashindwa kuja kukinunua chakula na watalia njaa tena wengi Sana tu na kuilaumu serikali bei zimepanda,ukiongeza na anguko la uchumi wa Dunia kutokana na vita pia ongezeko la bei la bidhaa nyingine litafanya Maisha ya huyo mkulima maskini kuwa magumu mno!!

Ikumbukwe njaa huangusha wafalme tunapaswa kuheshimu na kuchukua tahadhari zote.

Mungu ibariki Tanzania

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!

UPDATES

Mamlaka ya Hali ya hewa yatabiri kupungua KWA mvua chini ya wastani KWA mikoa 14 nchini,mipaka ifungwe kutunza walau chakula kidogo kilichopo kwani Mwakani mavuno yatakuwa kidogo kutokana na mvua chini ya wastani kama ilivyotabiriwa.

Wizara ya kilimo makinikeni!
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi huko TABORA vijijini ni 25000/= Hadi Sasa,watua wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 Hadi Sasa na Hii ni oktoba hatujui January Hali itakuwaje!

Fungeni mipaka Hali SIO nzuri kabisa,watu wasije kufa njaa,mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa Hali SIO nzuri !

Naamini utasoma na Hatua zitachukuliwa!
Sisi wanaccm hautuhusu, ninampongeza mama kwa kudhibiti mfumuko wa bei.
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi huko TABORA vijijini ni 25000/= Hadi Sasa,watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 Hadi Sasa na Hii ni oktoba hatujui January Hali itakuwaje!

Fungeni mipaka Hali SIO nzuri kabisa,watu wasije kufa njaa,mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa Hali SIO nzuri !

Naamini utasoma na Hatua zitachukuliwa!
Umewahi kujiuliza kwamba bei HALISI ambayo inampa faida(Bei toa gharama za uzalishaji) mkulima anapouza mazao yake ni sh.ngapi kwa kilo? Isije kuwa miaka nenda rudi tumezoea kumuona mkulima ni mtu anakandamizwa tu kwa kutumia gharama kubwa bila kupata faida kila anapofanya uuzaji wa mazao yake.

Na watu tunadhani ndio sahihi. Acha mipaka iwe wazi ili chakula kiende kinapotakiwa kutokana na soko huria ili mzalishaji apate tija na kufaidi matunda ya kazi yake.
 
Acha wakulima nao wapate faida maana mmewanyinya muda mrefu nyie watu wa mjini. Wakulima ndo wengi kuliko nyie watu wa mjini. Na Samia atapita kwa kishindo 2030 kura kutoka kwa Hawa wakulima. Pia ni strategy ya kuwavutia vijana wakalime siyo zamani unalima halafu hujui ukauze wapi.
Mkuu

Bei ya debe la mahindi huko Tabora vijijini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
 
Umewahi kujiuliza kwamba bei HALISI ambayo inampa faida(Bei toa gharama za uzalishaji) mkulima anapouza mazao yake ni sh.ngapi kwa kilo? Isije kuwa miaka nenda rudi tumezoea kumuona mkulima ni mtu anakandamizwa tu kwa kutumia gharama kubwa bila kupata faida kila anapofanya uuzaji wa mazao yake.

Na watu tunadhani ndio sahihi.Acha mipaka iwe wazi ili chakula kiende kinapotakiwa kutokana na soko huria ili mzalishaji apate tija na kufaidi matunda ya kazi yake.
Akiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitaji kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?

UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?

Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?
 
Kwani
Akiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitajit kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?

UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?

Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?
Kwa hiyo mazao yasipouzwa nje ndo yatasadia bidhaa nyingine kushuka!!

Unaweza kueleza namna ambavyo ukizuia mahindi kuuzwa nje itakavyosaidia petrol au diesel kushuka bei
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi huko Tabora vijijini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Kalime na wewe Ili waje wazuie..

Mwaka huu ndio mwaka wa kufidia hasara zote za awamu ya 5..

Mwisho Waziri amesema hana mpango wa kufunga masoko na hiyo sio njia pekee kwani hakuna mfanyabiashara anaweza kufanya exports bila kupewa Kibali na Serikali..

Waziri amesema watafungia maghala yao Ili kushusha Bei kwenye Mikoa ambayi Bei iko juu zaidi..

Ila huku kwetu gunia la mahindi ni 80,000, tumehifadhi tunasubiria Bei ipande zaidi.
 
Acha wakulima nao wapate faida Mana mmewanyinya mda mrefu nyie watu wa mjini. Wakulima ndo wengi kuliko nyie watu wa mjini. Na Samia atapita kwa kishindo 2030 kura kutoka kwa Hawa wakulima. Pia ni strategy ya kuwavutia vijana wakalime siyo zamani unalima halafu hujui ukauze wapi.
Wakulima wameshauza mazao yao muda Sana na wengine waliuzia shambani, wafanyabiashara ndio wanufaikaji wakubwa kwa huu mfumuko WA bei.
 
Kalime na wewe Ili waje wazuie..

Mwaka huu ndio mwaka wa kufidia hasara zote za awamu ya 5..

Mwisho Waziri amesema hana mpango wa kufunga masoko na hiyo sio njia pekee kwani hakuna mfanyabiashara anaweza kufanya exports bila kupewa Kibali na Serikali..

Waziri amesema watafungia maghala yao Ili kushusha Bei kwenye Mikoa ambayi Bei iko juu zaidi..

Ila huku kwetu gunia la mahindi ni 80,000,tumehifadhi tunasubiria Bei ipande zaidi.
Kila siku nakuambiaga wewe ni mjinga Wakulima wameshauza mazao Yao muda Sana na wengine waliuzia shambani wafanyabiashara ndo wanufaikaji wakubwa kwa huu mfumuko WA bei
 
Akiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitajit kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?

UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?

Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?
Mahitaji mengine kama yapi? Kwani mahindi yakiwa Bei chini Ndio hayo mahitaji mengine yanashuka?

Acheni ujinga kalimeni na Kwa taarifa yenu hakuna mkulima anataka kurudi kule Kwa kuuza gunia la mahindi 30,000 au 40,000 huu ni ushenzi na umaskini..

Hata gharama zingekuwa juu kiasi gani kama pesa inapatikana hakuna shida.
 
In the long run wafanyabiashara watashindana wao kwa wao kulingana na demnd hivyo Bei itarise na wakulima kunufaika. Jifunze uchumi vizuri
Mueleze huyo Kwa sababu kanuni ni moja, supply ikiwa kubwa chakula kinashuka..

Tena sahizi mvua ikishuka tuu huku Mikoa ya Kusini mahindi yataporomoka kasoro mpunga na maharage vitasalia juu..

Halafu sie huku Mikoani tunakula mahindi mabichi ya mabustani so hizo Bei kwanza hatuzijui.
 
Back
Top Bottom