The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwani alikuja kukupora kwako? Kalime acha porojo na blaa blaa za kijingaBashe aache kupeleka Chakula kwa ndugu zake Ethiopia na Somalia aanze kuangaika na Waswahili,kweli!!
Kwanza Mama alipokuwa Kagera alisema chakula kipo chakutosha!
Kwaiyo Watanganyika tupambane na hali yetu!
Ni kweli mnanufaika kwa bei hiyo ila mngepambana muwezeshwe muuze unga badala ya mahindi yan hapo ndio mngepiga pesa kinyama tena ingewezekana hata mkiuzia hapa hapa TZMleta mada akili huna
Kama mfumuko wa bei za vyakula unaona mkubwa rudi kijijini ukalime chakula chako
Wacha wakulima tupate faida ya jasho letu
Naimani waziri amesoma na amekuelewaMkuu
Bei ya debe la mahindi huko Tabora vijijini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!
Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!
Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Acheni utapeli,hizo Bei mnazotaja ndizo ambazo Bashe na watu wake anaowapa vibali wanauza,hakuna mkulima anauza mazao kwa Bei hizo kwa wafanyabiashara.Kama yupo nitajie Kijiji ambacho Mkulima anafaidika na Kilimo zaidi ya Madalali na Wafanyabiashara uchwara.Kwani alikuja kukupora kwako? Kalime acha porojo na blaa blaa za kijinga
Kwani unga ndio ungeuzwa Bei ya chini? Wako wajasiliamali kibao wanauza unga..Ni kweli mnanufaika kwa bei hiyo ila mngepambana muwezeshwe muuze unga badala ya mahindi yan hapo ndio mngepiga pesa kinyama tena ingewezekana hata mkiuzia hapa hapa TZ
Na wewe Sasa utakuwa mburula,hakuna sehemu ambayo haifiki na Wala Haina mawasiliano kwa sasa hapa Tanzania kiasi kwamba eti mjini Bei iwe kubwa na kijijini iwe ndogo Sana,utakuwa hujawahi fanya biashara Wala huelewi biashara..Acheni utapeli,hizo Bei mnazotaja ndizo ambazo Bashe na watu wake anaowapa vibali wanauza,hakuna mkulima anauza mazao kwa Bei hizo kwa wafanyabiashara.Kama yupo nitajie Kijiji ambacho Mkulima anafaidika na Kilimo zaidi ya Madalali na Wafanyabiashara uchwara.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mleta mada akili huna
Kama mfumuko wa bei za vyakula unaona mkubwa rudi kijijini ukalime chakula chako
Wacha wakulima tupate faida ya jasho letu
Sarafu za noti ni vikaratasi tu wana print internet cafe kubwaMkuu
Faida itapatikana kwa kukuza sarafu yetu kwenye soko la Dunia na kudhibiti mfumuko wa Bei!SIO kwa kupaisha mfumuko wa bei kama HIVI!!
UVIVU wako wa kulima unataka wakulima tuteseke kwa bei zenu za kimasikini? Acha tukauzie wenye pesa zao weweMkuu
Bei ya debe la mahindi huko Tabora vijijini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!
Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!
Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Kwani unga ndio ungeuzwa Bei ya chini? Wako wajasiliamali kibao wanauza unga..
Kama ni kuwawezesha Serikali ya Awamu ya 6 kama ikivyosema haifungi mipaka pia inawawezesha wajasiliamali kwa mikopo ya viwanda vya kuiobgeza thamani Mazao..
Ilishusha riba na Sasa sekta ya kilimo pesa za mikopo zinamiminika 👇
Tukalime mkuu.Bora uko 37000 niliko sembe kg 25 ni elfu 40
Sarafu inakuzwa kwq kuuza vitu nje siyo kwa kufunga mipaka.Mkuu
Faida itapatikana kwa kukuza sarafu yetu kwenye soko la Dunia na kudhibiti mfumuko wa Bei!SIO kwa kupaisha mfumuko wa bei kama HIVI!!
Si ajabu hizi bei hazimnufaishi MkulimaMleta mada akili huna
Kama mfumuko wa bei za vyakula unaona mkubwa rudi kijijini ukalime chakula chako
Wacha wakulima tupate faida ya jasho letu
Sijui kwa nini hili hawalioni hawa watu.Wakulima wameshauza mazao Yao mda Sana na wengine waliuzia shambani wafanyabiashara ndo wanufaikaji wakubwa kwa huu mfumuko WA bei
Hapo ndipo unapoambiwa unahitaji kutumia Akili zaidi ya Ushabiki ok mkulima anauza mazao kwa soko la nje then njaa inaingia then huyo huyo na jamii yake wananunua bidhaa zitokanazo na mazao waliyouza kwa bei ya juuAkiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitajit kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?
UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?
Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?