Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Kwani

Kwa hiyo mazao yasipouzwa nje ndo yatasadia bidhaa nyingine kushuka!!

Unaweza kueleza namna ambavyo ukizuia mahindi kuuzwa nje itakavyosaidia petrol au diesel kushuka bei
Angalau atapata ahueni kwenye chakula akapambana na mengine!

Vuta picha kama mfumuko wa bei ya chakula ukaungana na bidhaa nyingine Hali itakuaje!?
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Kufunga mipaka walau hata KWA muda mfupi itasaidia price regulatory mechanism Ili bei ya chakula isije ikapaa Sana Hadi hapo January,mkiacha hivi hivi watakao KUWA na uwezo wa kukinunua ni wachache Sana na hao wakulima wanafurahia bei kubwa watashindwa kuja kukinunua chakula na watalia njaa tena wengi Sana tu na kuilaumu serikali bei zimepanda,ukiongeza na anguko la uchumi wa Dunia kutokana na vita pia ongezeko la bei la bidhaa nyingine litafanya Maisha ya huyo mkulima maskini kuwa magumu mno!!

Ikumbukwe njaa huangusha wafalme tunapaswa kuheshimu na kuchukua tahadhari zote.

Mungu ibariki Tanzania

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Watanzania tulie sindano ituingie. JPM sialitubana na mnamnanga usiku kucha tulieni mpaka tuite maji mma.
Magu alituona mabongo lala anatumia akili zake nyingi tuishi sisi tukamuona mjinga na dekteta uchwara sasa mmepewa mlichotaka uhuru uzeni mazao mnauza mpaka mbegu. Pambafu kabisa
 
Watanzania tulie sindano ituingie. JPM sialitubana na mnamnanga usiku kucha tulieni mpaka tuite maji mma.
Magu alituona mabongo lala anatumia akili zake nyingi tuishi sisi tukamuona mjinga na dekteta uchwara sasa mmepewa mlichotaka uhuru uzeni mazao mnauza mpaka mbegu. Pambafu kabisa
Mkuu

TumainiEl

Taratibu,ndio maana nimeliona hilo! Angalau price regulatory mechanism inaweza kutusaidia hapa!!

Soko huria likienda above limit litaumiza wananchi!

Hivyo tu!
 
Vijana tucheze na fursa hapo mkulima akipata pesa Hata sisi tutawauzia bidhaa kwa Bei ya Juu mfano nguo nk uchumi utachangamka ... Mm that All


Vijana tujikite katika kujiajiri na sio kulalamika tu
Uchumi hquchangamki kwa Bei kuwa juu, hizi akili ni nani amewapa? Bidhaa Kuuzwa juu ni inflation hiyo na athari yake ni uchumi kuanguka.

Usifikiri mkate dukani ukiuzwa kwa 20000 ndio uchumi umekua bali ndio mporomoko wa uchumi.

Bei kuwa juu Kama ndio ingekua uchumi basi leo hii Zimbabwe na sudan ndio zingekua nchi zinqzoongoza kwa uchumi duniani
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Kufunga mipaka walau hata KWA muda mfupi itasaidia price regulatory mechanism Ili bei ya chakula isije ikapaa Sana Hadi hapo January,mkiacha hivi hivi watakao KUWA na uwezo wa kukinunua ni wachache Sana na hao wakulima wanafurahia bei kubwa watashindwa kuja kukinunua chakula na watalia njaa tena wengi Sana tu na kuilaumu serikali bei zimepanda,ukiongeza na anguko la uchumi wa Dunia kutokana na vita pia ongezeko la bei la bidhaa nyingine litafanya Maisha ya huyo mkulima maskini kuwa magumu mno!!

Ikumbukwe njaa huangusha wafalme tunapaswa kuheshimu na kuchukua tahadhari zote.

Mungu ibariki Tanzania

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Sikubaliani na wewe. Gharama za kuzalisha mahindi ni kubwa mno. Hiyo bei unayosema bado ni ndogo sana. Inamuumiza mkulima
 
Watakuambao Toka nawew kalime chakula chako alfu uje upangiwe Bei

Back to the point
Ni HV mwaka 2018 nilikuwa mkoa wa rukwa kikaza nilikuwa napita karibia vijij vyote kule niweze kwaeleza Sera zilizo nipeleka kule

Nilikuwa nafatilia madeni karibiaa watu elf mmoja 1000 tunawadai ktk kampuni yet hvyo ili wakulipa walipe pesa Ni lazm wauze mahindi makavu ilia wapate pesa za kutulipia ,kwa Mara ya kwanza niliwaonea wakulima huruma kwani mahindi yalikizalishwa mengi na kufikiaa gunia la debe sjta kuuzwa elf 16000k tu na Bado mteja alikuwa hapatikani .niliwaeleza mabos wangu kuwa Hali Ni mbaya sana pesa Hakuna wakulima wanalia Bei ya mazao yao yaliyoporomoka kwa kasi ya kutishia kbsa ,

Unakuta mkulima unamdai laki tatu itamlazimu kuuza gunia 30 apete hyo helaa unayo mdai let say 300000k

Jmn kuwa mkulima siyo poa kbsa mm nadhani wadhibiti Bei isipande Zaid ya hapo ili mkulima kulee nkasi angalau auze gunia kwa elf 40k au 45 ikifika Arusha ama dar iuzwe 120k
Ni mpuuzi tuu ndio anaweza taka kurudi kule ambako gunia likikuwa 35*000 mjini na kijijini 20,000..

Ndio maana kipindi cha Magu watu wengi walikuwa maskini Sana,Bora vitu viwe Bei juu na pesa inazunguka sio Bei chini afu hakuna pesa inaumiza wengi kuliko Sasa.
 
Angalau atapata ahueni kwenye chakula akapambana na mengine!

Vuta picha kama mfumuko wa bei ya chakula ukaungana na bidhaa nyingine Hali itakuaje!?
Wa mjini msio na Mazao ndio mtaona moto ila wa Vijijini ni mwendo wa kuka maisha .

Kwa mfano mimi Mkoa niliko Vijijini gunia la mahindi ni sh.65*000 mjini ni 80,000 na mahindi yapo hii ni Bei toka mwezi wa 8 hadi sasa na mvua Zikishika tuu,Bei inaweza poromoka hadi tena mwezi wa pili ndio ipande.
 
Wa mjini msio na Mazao ndio mtaona moto ila wa Vijijini ni mwendo wa kuka maisha .

Kwa mfano mimi Mkoa niliko Vijijini gunia la mahindi ni sh.65*000 mjini ni 80,000 na mahindi yapo hii ni Bei toka mwezi wa 8 hadi sasa na mvua Zikishika tuu,Bei inaweza poromoka hadi tena mwezi wa pili ndio ipande.
Kijiji gani hicho!?

Nambie wapi!?au mbeya njombe!!?
 
Angalau atapata ahueni kwenye chakula akapambana na mengine!

Vuta picha kama mfumuko wa bei ya chakula ukaungana na bidhaa nyingine Hali itakuaje!?
Kwa nn mkulima asiuze mazao yake kwa bei ya juu ili angalau apate hela ya kukidhi mahitaji yake mengine!!

Kwann uhisi kwamba mkulima yeye ndo anatakiwa auze mazao yake kwa bei ya chini wakati bidhaa nyingine zipo juu??

Usijiangalie wewe kwa sababu unapokea mshahara mwisho wa mwezi mwangalie yule anayepambana kulima kuingia gharama nyingi mwisho wa siku hata gharama aliyoingia hairudi miaka nenda rudi, yeye ni kupata hasara tu kwa kigezo kwamba mazao yasiuzwe nje!!

Kufanya export ya bidhaa za nchi ndo uchumi wenyewe wa nchi kuwa mkubwa!!

How?

1.Mazao yakiuzwa nje serikali inapata kodi kupitia hayo mazao!!

2.Nchi inapokea fedha za kigeni kwa hiyo sarafu yetu inazidi kuimarika kwa kufanya exportation

3. Demand ya mazao itakuwa juu kwa sababu ya uhakika wa soko, kwa hiyo watu wengi watajiingiza kwenye kilimo na kuanza kulima kwa wingi, na hivyo uchumi wa kilimo utaendelea kuwa juu!! Tofauti na hapo tulipotokea kwamba mtu unalima hujui uuze wapi? Ni upuuzi mtupu kuweka mtaji wako kwenye kilimo then mazao ya kuozee kwa kigezo cha kulinda watu na njaa!!

4. Kwa sababu population kubwa ya watu watajiingia kwenye kilimo pia viwanda vya mbolea pia vitauza kwa wingi na kuongeza pato kwa nchi!!

5. Hivi viwanda vitatengeneza ajira mbalimbali kwa watanzania!!

6. Kilimo pia kitatengeneza ajira nyingi sana kwa watanzania!!

Nakadhalika, nakadhalika, hata niandike mpaka kesho sitamaliza faida zake!!

Ufanyeje!!

1. Kama wewe ni mkulima jitahidi kabla ya kuuza mazao yako yote weka akiba ndani, ya kukutosheleza angalau kwa kipindi kisichopungua mwaka mzima!!

2. Kama wewe siyo mkulima, jitahidi kununua akiba na kuhifadhi wakati mazao yakiwa chini kwa ajili ya familia yako kwa kipindi kichopungua mwaka mmoja!!

3. Kila mtu ajitahidi kulima angalau sehemu anayojua ataweza kuvuna mazao ya kutosheleza familia yake, watu waache uvivu, lima mahindi, mpunga, maharagwe, mihogo, alzeti n.k. n.k

4 Anayeweza kulima large scale asiache kufanya hivyo, Tanzania ina utajiri mkubwa sana wa ardhi yenye rutuba

Waacheni wakulima wafaidi jasho lao kwa kuwa na masoko ya uhakika!! Heko Mama Samia!! Heko kwa waziri wa Kilimo!!
 
Kwa nn mkulima asiuze mazao yake kwa bei ya juu ili angalau apate hela ya kukidhi mahitaji yake mengine!!

Kwann uhisi kwamba mkulima yeye ndo anatakiwa auze mazao yake kwa bei ya chini wakati bidhaa nyingine zipo juu??

Usijiangalie wewe kwa sababu unapokea mshahara mwisho wa mwezi mwangalie yule anayepambana kulima kuingia gharama nyingi mwisho wa siku hata gharama aliyoingia hairudi miaka nenda rudi, yeye ni kupata hasara tu kwa kigezo kwamba mazao yasiuzwe nje!!

Kufanya export ya bidhaa za nchi ndo uchumi wenyewe wa nchi kuwa mkubwa!!

How?

1.Mazao yakiuzwa nje serikali inapata kodi kupitia hayo mazao!!

2.Nchi inapokea fedha za kigeni kwa hiyo sarafu yetu inazidi kuimarika kwa kufanya exportation

3. Demand ya mazao itakuwa juu kwa sababu ya uhakika wa soko, kwa hiyo watu wengi watajiingiza kwenye kilimo na kuanza kulima kwa wingi, na hivyo uchumi wa kilimo utaendelea kuwa juu!! Tofauti na hapo tulipotokea kwamba mtu unalima hujui uuze wapi? Ni upuuzi mtupu kuweka mtaji wako kwenye kilimo then mazao ya kuozee kwa kigezo cha kulinda watu na njaa!!

4. Kwa sababu population kubwa ya watu watajiingia kwenye kilimo pia viwanda vya mbolea pia vitauza kwa wingi na kuongeza pato kwa nchi!!

5. Hivi viwanda vitatengeneza ajira mbalimbali kwa watanzania!!

6. Kilimo pia kitatengeneza ajira nyingi sana kwa watanzania!!

Nakadhalika, nakadhalika, hata niandike mpaka kesho sitamaliza faida zake!!

Ufanyeje!!

1. Kama wewe ni mkulima jitahidi kabla ya kuuza mazao yako yote weka akiba ndani, ya kukutosheleza angalau kwa kipindi kisichopungua mwaka mzima!!

2. Kama wewe siyo mkulima, jitahidi kununua akiba na kuhifadhi wakati mazao yakiwa chini kwa ajili ya familia yako kwa kipindi kichopungua mwaka mmoja!!

3. Kila mtu ajitahidi kulima angalau sehemu anayojua ataweza kuvuna mazao ya kutosheleza familia yake, watu waache uvivu, lima mahindi, mpunga, maharagwe, mihogo, alzeti n.k. n.k

4 Anayeweza kulima large scale asiache kufanya hivyo, Tanzania ina utajiri mkubwa sana wa ardhi yenye rutuba

Waacheni wakulima wafaidi jasho lao kwa kuwa na masoko ya uhakika!! Heko Mama Samia!! Heko kwa waziri wa Kilimo!!
Sikatai

Lakini bei Lazima iwe limited,yaani kuwe na regulatory mechanism ya bei ya vyakula,

Huyo huyo mkulima ndio atakuwa wa kwanza kulalama muda Sio mrefu,hatuna uhakika wa mvua za kutosha mwaka ujao!what if ukame ukatokea tutavukaje!?

Watabiri wa Hali ya hewa wanasemaje!?mvua itakuwa mm ngapi mwaka ujao!!?

Nauliza tu,hili Jambo litazamwe upya!!
 
Sikatai

Lakini bei Lazima iwe limited,yaani kuwe na regulatory mechanism ya bei ya vyakula,

Huyo huyo mkulima ndio atakuwa wa kwanza kulalama muda Sio mrefu,hatuna uhakika wa mvua za kutosha mwaka ujao!what if ukame ukatokea tutavukaje!?

Watabiri wa Hali ya hewa wanasemaje!?mvua itakuwa mm ngapi mwaka ujao!!?

Nauliza tu,hili Jambo litazamwe upya!!
Ndo maana nimeweka kigezo, lima weka ndani akiba yako ya kukutosha!!

Mengine weka sokoni, siyo mtu mvivu ajikalie asubiri serikali ije imgawie chakula cha bure au anunue chakula bei kutupa,

At the end hakuna mtu atakayelima na bei zitapanda huko juu vile vile!! Angalau walime wengi tuuze nje, uchumi wa nchi uimarike!!

Tuondoe mawazo yetu ndani ya box, tuone mbele zaidi!! Siyo kila siku kuwaza kile kile tu!!
 
Kwa jinsi wakulima walivyofaidika mwaka huu, na ninavyozijua akili za Watanzania mwaka ujao wasanii wote, vijana wajasiriamali wote na watanzania wengi watawekeza kweny kilimo then utaona mazao yatakavyokuw mengi nchi hii. We subiri, mwakan bei hii haitakuwepo tena.

Nakumbuka kuna kipindi mbaazi zilikuwa juu, mwaka unaofuata kila mtu akalima mbaazi matokeo yake wote tunayajua.
 
Akiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitaji kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?

UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?

Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?
Kama hii ndo hoja jikite kwenye mfumuko wa bei kwa ujumla na sio ukubwa wa bei ya vyakula pekeyake kwa kutaka bei iwe chini kwa kuzuia demand.
 
Kwa jinsi wakulima walivyofaidika mwaka huu, na ninavyozijua akili za Watanzania mwaka ujao wasanii wote, vijana wajasiriamali wote na watanzania wengi watawekeza kweny kilimo then utaona mazao yatakavyokuw mengi nchi hii. We subiri, mwakan bei hii haitakuwepo tena.

Nakumbuka kuna kipindi mbaazi zilikuwa juu, mwaka unaofuata kila mtu akalima mbaazi matokeo yake wote tunayajua.

Na hiki ndicho kinatakiwa watu wengi walime iwezekanavyo!! Soko lipo nje la kutosha, watu wauze mazao yao popote kwa faida!!

Vijana wengi hawana ajira wakati ajira ya kilimo inaweza kuajiri vijana wote wanaotoka vyuoni!!
 
Wa mjini msio na Mazao ndio mtaona moto ila wa Vijijini ni mwendo wa kuka maisha .

Kwa mfano mimi Mkoa niliko Vijijini gunia la mahindi ni sh.65*000 mjini ni 80,000 na mahindi yapo hii ni Bei toka mwezi wa 8 hadi sasa na mvua Zikishika tuu,Bei inaweza poromoka hadi tena mwezi wa pili ndio ipande.
Gunia kuuzwa 65k, Hapo ni kilio kwa mkulima maana gharama za kulima pamoja na pembejeo ziko juu.

Ninaamini mkulima akiuza kwa bei ya faida itakuwa ni motisha hata kwa wengine kuingia kwenye kilimo.
 
Gunia kuuzwa 65k, Hapo ni kilio kwa mkulima maana gharama za kulima pamoja na pembejeo ziko juu.

Ninaamini mkulima akiuza kwa bei ya faida itakuwa ni motisha hata kwa wengine kuingia kwenye kilimo.
Ndio nasema bado hiyo Bei ni nafuu kwake kuliko 25,000 ya miaka yote ya Mwendazake
 
Arusha wakenya wanauziwa kilo 1100, piga hesabu gunia lina kilo ngapi. Hapo mahindi yalinunuliwa elfu 70 gunia kutoka kwa wakulima.
Ndio Hivyo sasa kwani hujui anaeuzima sokoni amelipa ushuru wa Halmashauri,store,Kodi na gharama ya Usafiri so lazima Bei iwe kubwa zaidi mjini.
 
Back
Top Bottom