Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe zuieni uuzwaji wa chakula nje ya nchi, mfumuko wa bei unatisha!

Akiuza kwa bei ghali halafu akanunua mahitaji kwa bei kubwa atapata faida Gani!!?

UNAFIKIRI uchumi wetu utakuaje kwa style Hiyo!!?

Maoni yako ni economic oriented au ni politically perspective!?
Ndivyo wanasema mkulima afaidike ili msimu ujao kila mtu ashike jembe akalime,, kwa ufupi wakulima wa mahindi mwaka huu wamepiga kazi kwerikweri😁
 
Ni kweli mnanufaika kwa bei hiyo ila mngepambana muwezeshwe muuze unga badala ya mahindi yan hapo ndio mngepiga pesa kinyama tena ingewezekana hata mkiuzia hapa hapa TZ
Hapa tatizo ni TBS, wanatakiwa watoe semina za kuboresha uzalishaji wa sembe na packaging nzuri kama zile za kenya,, sio mtu unafunga sembe kwenye sulphet halafu utegemee kufanya exporting
 
Mi naomba kupeleka swali langu kwa wakulima mlioko humu, mazao mnayo uza nje sasa yanawapa faida mean baada ya miaka mitano ivi tunaweza kupishana na wakulima wana marange na majumba?!!! Au ndo kutumikia watu kwa sifa, pia naunga hoja ya kwamba mipaka isifungwe ila iwe kwa faida ya wakulima na nchi sio haifungwi bado wakulima muendelee kulialia njaa miaka nenda rudi alafu wanaonunua wapige ela kama kawaida.
 
Naona hapa kuna ndezi zinashangilia vyakula kupanda bei, eti wakulima nao wanufaike. Hawa nguruwe [emoji200] hawajui kuwa mkulima huwa hacheleweshi kuuza mazao, na sasa kashauza kila kitu. Na ikitokea taifa au shehemu wanakumbwa na njaa wanaokufa njaa siku zote ni haohao wakulima. Acheni huo upuuzi
Uo ni ujinga wake
Sisi huku mahindi yako store
Hamkuchangia ela ya mbolea
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Kabla ya kuleta hii habari, ulitakiwa utueleze kwanza gharama ya kilimo zikoje kwa Sasa.

Mbolea
Herbicides
Mbegu
Usimamizi wa kilimo
Kuandaa shamba
Palizi
Etc
 
Uk


Uko sahihi Sana mkuu!
Watanzania wanataka mahindi yashuke bei ili wale washibe,wazaliane!
Yakipanda mahindi kelele nyingiii mbona mchele bei juu Sana na hakuna mikelele?!
Ni kweli wanapga kelele tu sijui nan akawalimie.
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Watakuambao Toka nawew kalime chakula chako alfu uje upangiwe Bei

Back to the point
Ni HV mwaka 2018 nilikuwa mkoa wa rukwa kikaza nilikuwa napita karibia vijij vyote kule niweze kwaeleza Sera zilizo nipeleka kule

Nilikuwa nafatilia madeni karibiaa watu elf mmoja 1000 tunawadai ktk kampuni yet hvyo ili wakulipa walipe pesa Ni lazm wauze mahindi makavu ilia wapate pesa za kutulipia ,kwa Mara ya kwanza niliwaonea wakulima huruma kwani mahindi yalikizalishwa mengi na kufikiaa gunia la debe sjta kuuzwa elf 16000k tu na Bado mteja alikuwa hapatikani .niliwaeleza mabos wangu kuwa Hali Ni mbaya sana pesa Hakuna wakulima wanalia Bei ya mazao yao yaliyoporomoka kwa kasi ya kutishia kbsa ,

Unakuta mkulima unamdai laki tatu itamlazimu kuuza gunia 30 apete hyo helaa unayo mdai let say 300000k

Jmn kuwa mkulima siyo poa kbsa mm nadhani wadhibiti Bei isipande Zaid ya hapo ili mkulima kulee nkasi angalau auze gunia kwa elf 40k au 45 ikifika Arusha ama dar iuzwe 120k
 
Mleta mada akili huna

Kama mfumuko wa bei za vyakula unaona mkubwa rudi kijijini ukalime chakula chako

Wacha wakulima tupate faida ya jasho letu
99.99999% ya wakulima washauza mazao yao miezi mingi iliyopita.

Unapozungumzia faida kwa wakulima nakuona wewe ndio huna akili.
 
99.99999% ya wakulima washauza mazao yao miezi mingi iliyopita.

Unapozungumzia faida kwa wakulima nakuona wewe ndio huna akili.
Uongo

Wengi wanasubiri kipindi cha mvua cha kilimo kianze ndio wauze wameweka ndani
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Wewe kama ni mwalimu, unalipwa mshahara, husisha akili yako kidogo tu kujua kwamba, mshahra wa mkulima na mazao yake! Kama mkulima asipo uza mazao yake kwa ‘bei ghali’, na kwa Hali hii ya uchumi, atakuwa na njaa, kwa hiyo tumia akili zaidi, ya hiyo, mwalimu!
 
Naona hapa kuna ndezi zinashangilia vyakula kupanda bei, eti wakulima nao wanufaike. Hawa nguruwe [emoji200] hawajui kuwa mkulima huwa hacheleweshi kuuza mazao, na sasa kashauza kila kitu. Na ikitokea taifa au shehemu wanakumbwa na njaa wanaokufa njaa siku zote ni haohao wakulima. Acheni huo upuuzi
Hata Wakenya ni watu, tuache kuwazia mahindi yetu, tukulishe bure Wewe dogii kwa sababu gani?!
 
Wewe kama ni mwalimu, unalipwa mshahara, husisha akili yako kidogo tu kujua kwamba, mshahra wa mkulima na mazao yake! Kama mkulima asipo uza mazao yake kwa ‘bei ghali’, na kwa Hali hii ya uchumi, atakuwa na njaa, kwa hiyo tumia akili zaidi, ya hiyo, mwalimu!
Kuna takiwa kufanyike price regulations SIO mfumuko uzidi beyond ya hapo,

Naziona dalili za NJAA kali,uchumi kushuka kutokana na vita,ongezeko la kodi na Tozo zikikiweka kiti cha Mwenyekiti shakani huko mbeleni!!

Hao hao wakulima ndio wataigeuka serikali KWA kukosa chakula hao hao trust me!!

Hao hao Ndio watakufa njaa,watafurahia bei KWA muda mfupi sana Baada ya hapo majanga!

Hadi January utanambia na bahati mbaya sijatumia feki I'd kwenye Bandiko langu!!

Njaa huangusha wafalme!!

Nipo HAPA ,mimi naisaidia serikali yangu mawazo mbadala SIO kusifia KILA kitu!!

Mungu ibariki Tanzania
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Kufunga mipaka walau hata KWA muda mfupi itasaidia price regulatory mechanism Ili bei ya chakula isije ikapaa Sana Hadi hapo January,mkiacha hivi hivi watakao KUWA na uwezo wa kukinunua ni wachache Sana na hao wakulima wanafurahia bei kubwa watashindwa kuja kukinunua chakula na watalia njaa tena wengi Sana tu na kuilaumu serikali bei zimepanda,ukiongeza na anguko la uchumi wa Dunia kutokana na vita pia ongezeko la bei la bidhaa nyingine litafanya Maisha ya huyo mkulima maskini kuwa magumu mno!!

Ikumbukwe njaa huangusha wafalme tunapaswa kuheshimu na kuchukua tahadhari zote.

Mungu ibariki Tanzania

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha kilimo.

Ondoka JF kachukue jembe na wewe ulime uone changamoto za kulima
 
Mkuu

Bei ya debe la mahindi kwenye baadhi ya vijiji nchini ni 25000/= hadi sasa, watu wameshaanza kula kwa kununua unga kwa kilo sh.1700 hadi sasa na hii ni Oktoba hatujui January hali itakuwaje!

Fungeni mipaka hali sio nzuri kabisa, watu wasije kufa njaa, mfuko wa sembe ushafika sh.37000/= tena vijijini kabisa hali sio nzuri!

Kufunga mipaka walau hata KWA muda mfupi itasaidia price regulatory mechanism Ili bei ya chakula isije ikapaa Sana Hadi hapo January,mkiacha hivi hivi watakao KUWA na uwezo wa kukinunua ni wachache Sana na hao wakulima wanafurahia bei kubwa watashindwa kuja kukinunua chakula na watalia njaa tena wengi Sana tu na kuilaumu serikali bei zimepanda,ukiongeza na anguko la uchumi wa Dunia kutokana na vita pia ongezeko la bei la bidhaa nyingine litafanya Maisha ya huyo mkulima maskini kuwa magumu mno!!

Ikumbukwe njaa huangusha wafalme tunapaswa kuheshimu na kuchukua tahadhari zote.

Mungu ibariki Tanzania

Naamini utasoma na hatua zitachukuliwa!
Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom