Waziri wa Kilimo, zao la bangi ni muhimu sana kwa maendeleo ya haraka

Waziri wa Kilimo, zao la bangi ni muhimu sana kwa maendeleo ya haraka

Mi nakumbuka mzee mmoja alifungwa gerezani kwa kesi ya gongo. Siku ameachiliwa nikamuuliza, "Utakwenda kufanya kazi ya gongo tena?". Alinijibu kwa ujasiri kuwa hawezi kuacha kazi hiyo kwa sababu imemuwezesha kusomesha watoto wake, amefungua bucha mbili za nyama na ana nyumba za kupangisha. Alijinasibu kuwa biashara ya gongo kwake ni zaidi ya mgodi (madini), maana kule ni pata potea. Hiyo ilikuwa mwaka 1999 jijini Arusha.
Alikuwa sawa mara ya mwisho mi kwenda na huyu jamaa kwao galoni ilikuwa na 25k kama sikosei Kwa Sasa sijui. Na material yake yalikuwa yanapatikana Kwa utahisi sana kipindi hicho ni ule mhuhogo uliooza yaani udaga gunia Unakuta linauzwa 15-20k tu
 
Mpaka mafuta ya kupikia chakula ya bangi ni bora kuliko mafuta yoyote tunayoagiza kutoka nje, na kuna aina fulani ya bangfi inaweza kuzalisha mafuta kwa wingi sana.

Msidhani yanalewesha, hayaleweshi yakifanyiwa "purification".
1.Nchi gani wanatumia bangi kuzalisha mafuta ya kupikia?
2.Aina ipi ya bangi,inazalisha mafuta Kwa wingi?
3.nitajie viwanda viwili vinavozalisha kwa siku lita hata 10 za mafuta yatokanayo na bangi?
 
Kishimba alieenda zimbabwe kuwekeza kwenye zao la pamba na kuanzisha viwanda kadhaa kule, Kwa sasa nchini zimbabwe ni mkulima mkubwa wa zao la bangi ya matumizi ya viwandani hasa viwanda vya dawa na analipa kodi kubwa zimland, serikali imwite wajifunze alifanyaje na ikiwezekana alete ile spicie ambayo inatakiwa, na analima Kwa mfumo wa green house kule, zao la bangi lina matumizi mengi mno, hivo naunga mkono hoja
 
Hiyo biashara wanafanya watu wachache sana wenye nguvu hawataki kuweka mazingira ya kutoa vibali wakiamini wakiruhusu wao watakakosa soko la uhakika...
 
Hilo sahihi kabisa, tulijazwa ujinga na wamagharibi wakalipiga marufuku zao muhimu sana lenye faida kwa faida zao tu.

Wametujaza ujinga kwa muda mrefu sana, ni wakati muafata tuwe huru kwa fikra na mawazo yetu.
Kwanini wamagharibi walipiga marufuku zao la bangi?
 
Alikuwa sawa mara ya mwisho mi kwenda na huyu jamaa kwao galoni ilikuwa na 25k kama sikosei Kwa Sasa sijui. Na material yake yalikuwa yanapatikana Kwa utahisi sana kipindi hicho ni ule mhuhogo uliooza yaani udaga gunia Unakuta linauzwa 15-20k tu
Gongo kama Gongo sio Tatizo. Tatizo ni watumiaji. Mfano, Mtu anakwenda asbh. hajala chochote anamimina chupa nzima. Jioni anarudi hoi analala bila kula chochote. Kwa nini midomo na maini visiungue?
Serikali umejitia upofu kwa kuruhusu Spirits (konyagi, Kijogoo,etc) kuuzwa kihalali eti hao wanalipa kodi - but in the real sense vyote hivyo gongo,konyagi etc ni Ethanol.
 
Pumbav kabisa,

Kwa hilo kama hiyo kwanini tusilime na Heroine pia itatuletea maendeleo ya haraka
 
Bhangi sio mbaya Ila tuliaminishwa na wakoloni kwamba Ni mbaya, hao wenyewe Sasa wanailima Ila kwetu wanasema Ni madawa ya kulevya.
Kwa maana hiyo hata miwa ni madawa ya kulevya, alcohol kwa wingi inatokana na miwa.

Tumedanganywa kiasi cha kutosha. Ni wakati tuamke.
 
Gongo kama Gongo sio Tatizo. Tatizo ni watumiaji. Mfano, Mtu anakwenda asbh. hajala chochote anamimina chupa nzima. Jioni anarudi hoi analala bila kula chochote. Kwa nini midomo na maini visiungue?
Serikali umejitia upofu kwa kuruhusu Spirits (konyagi, Kijogoo,etc) kuuzwa kihalali eti hao wanalipa kodi - but in the real sense vyote hivyo gongo,konyagi etc ni Ethanol.
Brazil wanatengeneza gongo wanatumia kuendeshea magari yao, tena inauzwa kwa pump vituo vya mafuta.
 
Naomba hapa Hasahasa ilimwe kwa ajili ya Export tu parekebishwe kuwa kwa matumizi sahihi kwani hata ss waTz tunahitaji kuwa na vi wanda vyetu wenyewe vya kuichakata bangi kupata madawa yaliyomo ndani yake badala ya kuyaagiza madawa yatokanaya na bangi huko tulikoiuza tena kwa bei poa halafu bei ya madawa yatokanayo na bangi yetu wanatuuzia kwa bei mbaya.
Badilisha kwanza sera ya kodi ya taifa! Kujenga viwanda vikubwa Tanzania ni vigumu, vinginevyo Nike, adidas, Wangekuja hapa

Tukipunguza kodi tutaongeza ajira, na kuboresha uchumi kwa kuongeza pato la mtu mmoja mmoja
 
Kwa maana hiyo hata miwa ni madawa ya kulevya, alcohol kwa wingi inatokana na miwa.

Tumedanganywa kiasi cha kutosha. Ni wakati tuamke.
Mkuu; waTz Raia walishaamka kitambo ila Serikali yao bado inakoroma usingizini. Nadhani Dozi ya mkoloni (Brainwash) ilizidishwa kipimo kwa Serikali na mamlaka zake. e.g. Waliopo humo serikali na vyombo vyake kwa kificho ni watumiaji mno wa zao hilo; ila wakija huku kwetu hadharani wanatukazia ss macho.
 
Badilisha kwanza sera ya kodi ya taifa! Kujenga viwanda vikubwa Tanzania ni vigumu, vinginevyo Nike, adidas, Wangekuja hapa

Tukipunguza kodi tutaongeza ajira, na kuboresha uchumi kwa kuongeza pato la mtu mmoja mmoja
Tuna tatizo kubwa la waziri w fedha na sera zake za mikopo.

Wazungu wanakukopesha ili wakugtawale na wao ndiyo wanatushinikiza viwango vya kodi ili waendelee kututawala.

Waziri wa fedha anatakiwa awe na maamuzi magumu kwa sasa.

Kwanza namshauri apige marufuku dhahabu yote kuuzwa nje ya Tanzania, tuinunuwe wenyewe, siyo gtu kwa wazalishaji wadogo, na anaetaka dhahabu atainunuwa dhahabu yetu kupitia soko rasmi la dhahabu.

Sasa hivi tunavituo vya madini, lakini cha kustajaabisha vipo kukusanya kodi tu, havipo kwa kununua hayo madini ili yaratibiwe na kuuzwa rasmi na pesa zote za kigeni zipitie BoT.
 
Back
Top Bottom