FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #61
Kutumia siyo kulikuza zao la bangi kibiashara, ni kuharibu thamani yake.Mkuu; waTz Raia walishaamka kitambo ila Serikali yao bado inakoroma usingizini. Nadhani Dozi ya mkoloni (Brainwash) ilizidishwa kipimo kwa Serikali na mamlaka zake. e.g. Waliopo humo serikali na vyombo vyake kwa kificho ni watumiaji mno wa zao hilo; ila wakija huku kwetu hadharani wanatukazia ss macho.
Inapaswa bangi iwe mali ghafi ya bidhaa nyingi muhimu.
Kuvuta haifiki hata asilimia moja ya umuhimu wake.