Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Masauni fuatilia pesa za makusanyo ya Wiki ya Nenda kwa Usalama. Zimepigwa?

HR anakutana na mahabusu wapi mkuu? nasemea nyie mnaokamata watu hovyo hovyo na kuwaweka mahabusu bila sababu za msingi
Rushwa ni ngumu kuisha nchi hii kwani hata aliyekamatwa kihalali anashawishi kwa rushwa aachiwe mkuu.
Rushwa ni suala mtambuka mkuu.

Leo hii ukikamatwa na traffic na una makosa ya wazi utabembeleza uachiwe huku ukimpatia chochote.
Hivyo mla rushwa wa kwanza ni mwananchi mtoa rushwa
 

Kwani urefu wa kamba zao unaishia wapi?
 
gari za traffic zinakaguliwa na nani mkuu? mtu ana kamatwa kosa linadhaminika lakini ananyimwa kwanini asitoe rushwa? itengemezwe application online watu wajaze kuomba dhamana online bila kuonana na mtoa dhamana live vigezo system i-verify yenyewe kama umekizi unaprint chap stationary mtu anatoka, tatizo mnatengeneza mazingira ya rushwa sn, mfano unanikamata eti siti zako chafu, kuna husiana vipi na barabara kama siti zimechanika na wakati siyo gari ya abiria? mambo ya hovyo sn
 

Yule mwamba aliyeomba u IGP Angeles hili jeshi tumfanyie tathmini anaweza kutuvusha
 
Hiyo nayo ni kazi ya waziri wa mambo ya ndani?
 
Zinapigwaje wakati mtoaji ni mmoja, sidhani kama wapigaji ni polisi labda wakipiga walizoletewa kwa ajiri ya shughuli flan lkn sio makusanyo.
Tuwe tunalipa kwa control number hao mchwa wakose kwa kula
 

ASANTE KIJANA SAWA NITALIFANYIA KAZI SWALA LAKO[emoji1319]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…