Waziri wa Mambo ya Ndani ingilia kati juu ya mauaji yanayofanywa na viongozi wa Serikali za Mitaa huko Mwanza

Waziri wa Mambo ya Ndani ingilia kati juu ya mauaji yanayofanywa na viongozi wa Serikali za Mitaa huko Mwanza

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Waziri Simbachawene hii sasa ni too much. Kila baada ya mwezi huko Mwanza tunasikia watu wamegoma kuzika mwendazake.

Habari kubwa ni Kiongozi wa Serikali za mitaa kupiga na kisha kuua wanaotuhumiwa vibaka, ndani ya ofisi za Serikali.

Wananchi nao wanakasirika na kuchukua miili za marehemu nakuzipeleka ofisi za viongozi wa serikali na kuziweka ndani ya ofisi.

Polisi Mwanza wao wanalazimisha watu wazike ndugu zao bila kutoa ufumbuzi.

Lakini kama watuhumiwa wanauliwa ndani ya ofisi za serikali hili sio kosa?

Kwanini RPC wa Mwanza hatatui hili tatizo?

Tukio lililopita ilisadikiwa kijana aliuwawa na Mwenyekiti wa mtaa kwa kuiba kanda mbili. Leo kuna kijana aliuwawa na imekuwa vurugu kwenye maziko yake.

Kwa taifa ambalo lipo uchumi wa kati ni aibu kuwa na vurugu kama hizi.

Pia soma > Mauaji Tarime: Mwenyekiti Halmashauri Tarime Vijijini adaiwa kuua na kufadhili msiba kukwepa mkono wa Sheria
 
Huo mtindo wa viongozi kuuwa wananchi uliasisiwa na jiwe na genge lake, kisha akawa hataki vyombo vya habari kutangaza hizo habari. Kwenye chaguzi zote za kihayawani ambazo zilifanyika chini ya utawala wake, ndio zimeingiza hao viongozi mumiani. Huyo waziri unayetaka achukue hatua naye ni zao la uchaguzi wa mauji na ukatili, sasa atamchukulia nani hatua?
 
Huo mtindo wa viongozi kuuwa wananchi uliasisiwa na jiwe na genge lake, kisha akawa hataki vyombo vya habari kutangaza hizo habari. Kwenye chaguzi zote za kihayawani ambazo zilifanyika chini ya utawala wake, ndio zimeingiza hao viongozi mumiani. Huyo waziri unayetaka achukue hatua naye ni zao la uchaguzi wa mauji na ukatili, sasa atamchukulia nani hatua?
Ahaaa, sina mbavu. Ila ndugu Tindo kwa hali inavyoendelea Mwanza tunaelekea pabaya.
 
Si afadhali sasa kuliko kipindi cha yule dhalimu. Kwa taarifa yako hayo mambo yalikuwepo hata kipindi chake, ila alizuia vyombo vya habari kutangaza huo udhalimu.
Ok, una maanisha kuwa wakati wa hayati kiongozi akiua ilikuwa hatangazwi? Vipi kuhusu walioua watu Itigi?
 
Waziri Simbachawene hii sasa ni too much. Kila baada ya mwezi huko Mwanza tunasikia watu wamegoma kuzika mwendazake...
Mbaya zaidi polisi wanamlinda aliyesababisha mauaji. Kwa utaratibu wa kawaida baada ya wananchi kulalamika kwamba chanzo cha kifo kimetokana na kupigwa na mtu au watu fulani, tulitegemea kuwa mwili huo haungalizikwa hadi postmortam examination ifanyike hospitalini na watuhumiwa kufunguliwa jalada la upelelezi wa polisi.

Cha ajabu polisi wanalazimisha kuzika kithibiti hicho cha suspected murder case. Haki ya kuishi ndiyo haki kuu kuliko haki zote zilizoko kwenye katiba yetu na katiba za nchi zote duniani.

Huko Mwanza haki hiyo imekuwa ikiporwa wazi wazi. Mtu anatuhumiwa kaiba ndala akifikishwa kwenye serikali ya mtaa, mwenyekiti wa mtaa anamuua na polisi wanampa support.
 
Huo mtindo wa viongozi kuuwa wananchi uliasisiwa na jiwe na genge lake, kisha akawa hataki vyombo vya habari kutangaza hizo habari. Kwenye chaguzi zote za kihayawani ambazo zilifanyika chini ya utawala wake, ndio zimeingiza hao viongozi mumiani. Huyo waziri unayetaka achukue hatua naye ni zao la uchaguzi wa mauji na ukatili, sasa atamchukulia nani hatua?
Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,

au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?

kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!
 
Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,

au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?

kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!

Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
 
Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,

au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?

kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!

Eti alinifanyia nini mwenyewe binafsi, kwani Nyerere alifanyiwa nini yeye mwenyewe binafsi na Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini, mpaka akawa anamsaidia Mandela na weusi wa Afrika kusini?
 
Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
Jikite kwenye hoja iliyojukwaani, tumechoka na lawama zako kwa Mwendazake, maana naona unajaza server tu,
Huna cha maana unachochangia, hoja inazumza hivi, wewe unaigeuza inakuwa ni Hayati tu,
Yule ameshafariki sisi hatuna cha kukusaidia ndugu,

kujiunga kwangu feb kunahusika vipi na mada?
Hebu nikuulize wewe ni mtoto wa kikeau wa kiume,?

au mtoto sio rizki wewe,?

jifunze kujikita kwenye mada Jim I, Da mpaka unakera
 
Eti alinifanyia nini mwenyewe binafsi, kwani Nyerere alifanyiwa nini yeye mwenyewe binafsi na Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini, mpaka akawa anamsaidia Mandela na weusi wa Afrika kusini?
Kwa akili yako ndogo na vilawama vyako hivyo unaweza jilinganisha na Mwalimu wewe, ndio maana nikakuuliza wewe ni mtoto wa kike au wa kiume,

Nyerer alitoka waziwazi kusaidia uhuru wa ndugu zetu, na alifanya kazi yake ikafika mwisho na matokeo yakaonekana, akapumzika,

sasa wewe mwenzetu unapikagana vita na nani,
Yaani nguvu yote unapigana vita na mtu aliyekufa,?

Unachekesha
 
Kwa akili yako ndogo na vilawama vyako hivyo unaweza jilinganisha na Mwalimu wewe, ndio maana nikakuuliza wewe ni mtoto wa kike au wa kiume,

Nyerer alitoka waziwazi kusaidia uhuru wa ndugu zetu, na alifanya kazi yake ikafika mwisho na matokeo yakaonekana, akapumzika,

sasa wewe mwenzetu unapikagana vita na nani,
Yaani nguvu yote unapigana vita na mtu aliyekufa,?

Unachekesha

Bado hujapanick utapanick sana dogo.
 
Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
Na kwa taarifa yako nipo humu huu mwaka wa 15, halafu nani anataka umsifu mtu,

yule alichapa kazi bila kusubiri sifa zako,
Angekuwa anasubiri sifa zako asingefanya yale aliyokuwa kapanga kuyafanya,

wewe nenda kawafanyie kijijini kwenu huko hata wanunulie wali tu wale, washibe ndio wakusifu ufurahi, unasikie.

na ukome na malawama yako hapa yasiyokuwa na msingi
 
Back
Top Bottom