Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Na kwa taarifa yako nipo humu huu mwaka wa 15, halafu nani anataka umsifu mtu,
yule alichapa kazi bila kusubiri sifa zako,
Angekuwa anasubiri sifa zako asingefanya yale aliyokuwa kapanga kuyafanya,
wewe nenda kawafanyie kijijini kwenu huko hata wanunulie wali tu wale, washibe ndio wakusifu ufurahi, unasikie.
na ukome na malawama yako hapa yasiyokuwa na msingi
We lazimisha tu kuja guest na kanga moja. Kwa huku utaishia kuumia tu maana unapewa kitu na box.