Na kwa taarifa yako nipo humu huu mwaka wa 15, halafu nani anataka umsifu mtu,
yule alichapa kazi bila kusubiri sifa zako,
Angekuwa anasubiri sifa zako asingefanya yale aliyokuwa kapanga kuyafanya,
wewe nenda kawafanyie kijijini kwenu huko hata wanunulie wali tu wale, washibe ndio wakusifu ufurahi, unasikie.
na ukome na malawama yako hapa yasiyokuwa na msingi
Utapanick wewe usiyekuwa na jema hapa duniani,Bado hujapanick utapanick sana dogo.
ndio maana nilikwambia huna hoja zozote za maana,We lazimisha tu kuja guest na kanga moja. Kwa huku utaishia kuumia tu maana unapewa kitu na box.
Utapanick wewe usiyekuwa na jema hapa duniani,
Unajipa pleasure buuure,
kama huna cha kuchangia kaa pembeni, tuache sisi tusome hoja zenye mashiko,
maana wengine sisi
ndio maana nilikwambia huna hoja zozote za maana,
Yule DED ww Itigi yuko Kitaa anapetaOk, una maanisha kuwa wakati wa hayati kiongozi akiua ilikuwa hatangazwi? Vipi kuhusu walioua watu Itigi?
Tumechoka[emoji3582] Nimechoka[emoji3581] koma kutusemea shenzi kbs wewe mwanaharamu. Tindo endelea kumzibua mwendazake.Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,
au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?
kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!
Kuita vyombo vyote vya habari na kugawa hela sio sifa?Na kwa taarifa yako nipo humu huu mwaka wa 15, halafu nani anataka umsifu mtu,
yule alichapa kazi bila kusubiri sifa zako,
Angekuwa anasubiri sifa zako asingefanya yale aliyokuwa kapanga kuyafanya,
wewe nenda kawafanyie kijijini kwenu huko hata wanunulie wali tu wale, washibe ndio wakusifu ufurahi, unasikie.
na ukome na malawama yako hapa yasiyokuwa na msingi
Yu wapi Ben Saanane ?Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,
au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?
kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!
Kuna tatizo kubwa kwa polisi Mwanza wanalinda sana wanaochukua sheria mkononi.Mbaya zaidi polisi wanamlinda aliyesababisha mauaji. Kwa utaratibu wa kawaida baada ya wananchi kulalamika kwamba chanzo cha kifo kimetokana na kupigwa na mtu au watu fulani, tulitegemea kuwa mwili huo haungalizikwa hadi postmortam examination ifanyike hospitalini na watuhumiwa kufunguliwa jalada la upelelezi wa polisi. Cha ajabu polisi wanalazimisha kuzika kithibiti hicho cha suspected murder case. Haki ya kuishi ndiyo haki kuu kuliko haki zote zilizoko kwenye katiba yetu na katiba za nchi zote duniani. Huko Mwanza haki hiyo imekuwa ikiporwa wazi wazi. Mtu anatuhumiwa kaiba ndala akifikishwa kwenye serikali ya mtaa, mwenyekiti wa mtaa anamuua na polisi wanampa support.
Hiyo chuki ndugu kwa shujaa wetu JPM sasa itakumaliza i see! Hata wife akizingua naamini chanzo kwako itakuwa ni jiwe 😂😀😃😤☹️😡😠! JPM shujaa wetu mpendwa pumzika kwa amani kabisa kwenye raha ya milele, amen 🙏!Huo mtindo wa viongozi kuuwa wananchi uliasisiwa na jiwe na genge lake, kisha akawa hataki vyombo vya habari kutangaza hizo habari. Kwenye chaguzi zote za kihayawani ambazo zilifanyika chini ya utawala wake, ndio zimeingiza hao viongozi mumiani. Huyo waziri unayetaka achukue hatua naye ni zao la uchaguzi wa mauji na ukatili, sasa atamchukulia nani hatua?
Mbona hueleweki.Ahaaa, sina mbavu. Ila ndugu Tindo kwa hali inavyoendelea Mwanza tunaelekea pabaya.
Nimeitafuta 'post' hii ili nami nijiridhishe kuhusu ubaya wake baada ya kuona majibishano juu yake huko chini.Huo mtindo wa viongozi kuuwa wananchi uliasisiwa na jiwe na genge lake, kisha akawa hataki vyombo vya habari kutangaza hizo habari. Kwenye chaguzi zote za kihayawani ambazo zilifanyika chini ya utawala wake, ndio zimeingiza hao viongozi mumiani. Huyo waziri unayetaka achukue hatua naye ni zao la uchaguzi wa mauji na ukatili, sasa atamchukulia nani hatua?
Upo dunia ya wapi?Mbona hueleweki.
Watu wanafanya kosa la kuua polisi wasichukue hatua? Hiyo ni nchi au ni pori la wanyama?
Hapa kijijini kwetu namanjiri hakuna upuuzi huo uliopo huko kwenu.Upo dunia ya wapi?
Tanzania ni moja. Kila siku huwa nakuambia huwa hauna wisdom.Hapa kijijini kwetu namanjiri hakuna upuuzi huo uliopo huko kwenu.
Fuatilia vizuri record zako kama mimi nilishaunga mkono uvunjifu wa haki za binadamu.Amesahau, anadhani hatujui kuwa alikuwa upande wa dhalimu.
Ukiwa na akili timamu utajua uozo na ujinga wa Hayati Magufuli.Wewe umechanganyikiwa, haupo vizuri kiakili, Mh Magufuli ( Hayati), alikufanyia nini kibaya hivyo wewe mwenyewe binafsi mpaka kila tatizo umtupie lawama yeye?, mpaka unakela sasa, hebu jikite sasa katika kuchangangia hoja ki positive,
au unafikiri ni sifa, Magufuli hayupo, sasa si umefurahi nini cha zaidi unataka?
kiufupi tumechoka na hizo lawama zako!
kuna watu wanadhan ule wimbo wa marehem hasemwi vibayani ni kanuni ya asili. wakat ni sera. Apumzike anapostahili.Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
kwanini wanainchi wenye hasira kali wasimalizane naye?Yule DED ww Itigi yuko Kitaa anapeta
EeenHeeee,Tanzania ni moja. Kila siku huwa nakuambia huwa hauna wisdom.