Waziri wa Mambo ya Ndani ingilia kati juu ya mauaji yanayofanywa na viongozi wa Serikali za Mitaa huko Mwanza


We lazimisha tu kuja guest na kanga moja. Kwa huku utaishia kuumia tu maana unapewa kitu na box.
 
Bado hujapanick utapanick sana dogo.
Utapanick wewe usiyekuwa na jema hapa duniani,
Unajipa pleasure buuure,

kama huna cha kuchangia kaa pembeni, tuache sisi tusome hoja zenye mashiko,

maana wengine sisi
We lazimisha tu kuja guest na kanga moja. Kwa huku utaishia kuumia tu maana unapewa kitu na box.
ndio maana nilikwambia huna hoja zozote za maana,
 
Utapanick wewe usiyekuwa na jema hapa duniani,
Unajipa pleasure buuure,

kama huna cha kuchangia kaa pembeni, tuache sisi tusome hoja zenye mashiko,

maana wengine sisi

ndio maana nilikwambia huna hoja zozote za maana,

Hoja nitoe wapi, check kwenye marking scheme yako unidisco. Huku dhalimu tunampa ukweli wake, kama ulikuwa mchepuko wake leo mtoto asiye na baba. Yaani habari ndio hiyo.
 
Tumechoka[emoji3582] Nimechoka[emoji3581] koma kutusemea shenzi kbs wewe mwanaharamu. Tindo endelea kumzibua mwendazake.
 
Kuita vyombo vyote vya habari na kugawa hela sio sifa?
 
Yu wapi Ben Saanane ?
 
Kuna tatizo kubwa kwa polisi Mwanza wanalinda sana wanaochukua sheria mkononi.
 
Hiyo chuki ndugu kwa shujaa wetu JPM sasa itakumaliza i see! Hata wife akizingua naamini chanzo kwako itakuwa ni jiwe 😂😀😃😤☹️😡😠! JPM shujaa wetu mpendwa pumzika kwa amani kabisa kwenye raha ya milele, amen 🙏!
 
Nimeitafuta 'post' hii ili nami nijiridhishe kuhusu ubaya wake baada ya kuona majibishano juu yake huko chini.

'Impunity', (sijui kiswahili chake), ni zao halisi la utawala wa marehemu Magufuli.

Tumeona jinsi akina Sabaya na akina Makonda walivyokuwa juu ya sheria.

Haijapata kutokea ndani ya nchi hii kukawepo na hali ya namna ile tokea tupate uhuru wetu.

Baada ya kuyasema hayo, ni wazi kwamba lawama zinazoelekezwa kwako na wapenzi wa marehemu Magufuli hazina msingi.
 
Ukiwa na akili timamu utajua uozo na ujinga wa Hayati Magufuli.
 
kuna watu wanadhan ule wimbo wa marehem hasemwi vibayani ni kanuni ya asili. wakat ni sera. Apumzike anapostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…