KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mbona unapenda sana kujisahaulisha.Fuatilia vizuri record zako kama mimi nilishaunga mkono uvunjifu wa haki za binadamu.
Umejiunga mwezi februari umeshachoka lawama zangu, je waliojiunga wakati anaingia madarakani na sijawahi kumsifia wafanyeje? Mtu dhalimu hawezi kusifiwa, akiwa hai au akiwa motoni, haya ndio malipo ya udhalimu, hutaki kunywa sumu hapo pembeni ya kaburi ukiwa lindo.
[/QU haha!mkuu,hata miez miwil haijaisha uvumilivu umemshindaa,jee cc ambao tulianza kufanya usafi huku baada ya melo kukabidhi hik chumba tusemeje?
Sawa, nakujua jinsi ulivyombumbumbu.sioni sababu ye wewe kutokubali ukweli.Mbona unapenda sana kujisahaulisha.
Huu ndio upuuzi wako unapoanzia. Wewe ulikuwa huambiwi kitu kuhusu huyo mtu unayemkana hapa sasa hivi.
Ni aibu kubwa kwa wewe kuwa mtu wa Mwanza.Sawa, nakujua jinsi ulivyombumbumbu.sioni sababu ye wewe kutokubali ukweli.
Jikite kwenye mada we bwegeKawaulize CCM
Nimeamua kurudi CCM
Wahenga wanasema chanda chema huvikwa pete,na hili limethibika kuwa Ccm ni chanda chema kwa watanzania. Niliamua kujiunga na Nccr Mageuzi nikiwa na imani kuwa ni chama ambacho kitakuwa mbadala wa kuiondoa Ccm na kukamata dola. Ila kuna jambo moja limenifanya nirudi Ccm na hili ni kupambana na...www.jamiiforums.com
Hakuna kuweka watu mahabusu bila ushahidi- na nina hakika ukiitwa kwenda kutoa ushahidi huendi kwa sababu hukuwepo. acha uongoMbaya zaidi polisi wanamlinda aliyesababisha mauaji. Kwa utaratibu wa kawaida baada ya wananchi kulalamika kwamba chanzo cha kifo kimetokana na kupigwa na mtu au watu fulani, tulitegemea kuwa mwili huo haungalizikwa hadi postmortam examination ifanyike hospitalini na watuhumiwa kufunguliwa jalada la upelelezi wa polisi.
Cha ajabu polisi wanalazimisha kuzika kithibiti hicho cha suspected murder case. Haki ya kuishi ndiyo haki kuu kuliko haki zote zilizoko kwenye katiba yetu na katiba za nchi zote duniani.
Huko Mwanza haki hiyo imekuwa ikiporwa wazi wazi. Mtu anatuhumiwa kaiba ndala akifikishwa kwenye serikali ya mtaa, mwenyekiti wa mtaa anamuua na polisi wanampa support.