Wewe mmatumbi unaweza kuwa Waziri wa afya Zanzibar.Wana kofia mbili ni Wazanzibar na ni Watanzania. Vinginevyo, unataka hao mawaziri wanyang'anywe passport ya JMT! Kama Wana passport hiyo, sioni cha kuwazuia kushika nyadhifa hizo. Pia hakuna sheria ama kipengele cha katiba kinachotukuza kuwabagua Wazanzibari!!!
Tusifanyie mambo kwa hisia, leta Sheria, regulations ama sera ama kipengele cha katiba kinachounga Mkono hoja yako hii ya kuwabagua wenzetu!!!
===
Povu ruksa!
Tunataka Watanzania watumie na kichina na kirussia kujieleza Hata kifaransa kama Kuna ulazima huo. Hatulazimishwi kutumia lugha moja tu ya kigeni!sina bando mjuukuu wangu, Je huyo bwana analimudu vema yai la malkia? Au ni wale wale
Katiba ya Zanzibar sidhani kama Ina kipengele hiki cha mtu wa asili ya Tanganyika kushika wadhifa kule. Kama kipo nitakuwa, Mkuu.Wewe mmatumbi unaweza kuwa Waziri wa afya Zanzibar.
Kiswahili ni lingua franca.
Nadhani ndo kitu pekee kinachotuunganisha Watanzania wa makabila mbalimbali.
Wangapi Tanzania hawakijui Kiswahili?
Kiswahili kinahujumiwa na wale wanaojiita magwiji wa kiswahili. Hasa nyakati hizi ya usasa wa kiteknolojia. Wanabuni maneno ya kuelezea au kutambua teknolojia za kisiasa kwa kutumia maneno yasiyo na mvuto, kisa wanasema katika Kila nyanja lazima kuonyesha upekee wa lugha yake. Kwamba lugha ya kifizikia ya kiswahili haitakiwi kuwa lugha sawa na lugha za wanaotumia kiswahili cha kawaida!!! Hii kanuni inakigharimu kiswahili....irony ni kwamba hata kiswahili chenyewe wanakichukia na wako ashamed nacho …
Nina maana ya sasa. Aanze mazoezi tuone uwezo wake ulivyo kabla ya kumpa hiyo 2025. Huyu wa sasa hata kesho akiondoka kwa kuachia ngazi atajijengea sifa nzuri kwa kuchukua uamuzi huo.Na huyu wa sasa Je, au unataka kumaanisha 2030
Kwa vile umesema "Povu Ruksa": mimi nakupa povu hili. Nionyeshe kipengele chochote cha Katiba ya Muungano inayo sema Zanzibar ni nchi kamili. Ukinipa hilo, tutaanzia hapo kujadili haya mengine ya mawaziri.Tusifanyie mambo kwa hisia, leta Sheria, regulations ama sera ama kipengele cha katiba kinachounga Mkono hoja yako hii ya kuwabagua wenzetu!!!
Tunazo katiba mbili, Ile ya JMT na ya SMZ. Nitumie ipi?tutaanzia hapo kujadili haya mengine ya mawaziri.
Jamaa yuko vizuri namfahamu tuliwahi kuishi naye UK.Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.
Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?
View attachment 3120463
Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Mr. Kagame and his country has manifested itself like what has happened in DRC, Rwanda is only interested in its objective of using its military for economic aggrandizement like exploitation of minerals of neighbors as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.
Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?
View attachment 3120463
Kwa kuwa Raisi ni wa Zanzibar ni lazima ataweka watu anowaamini na hapo kwa Kombo amemwamini baada ya sakata la Kenya kufungua jengo.Kuna hili suala la kujaza Wazanzibari katika serekali ya JMT ukilinganisha na idadi,uchumi na weledi.
Sijui kwanini nashangaa Zanzibar ya 1.8 milion kuwa na mawaziri 5 ktk baraza la mawaziri.Mbaya zaidi tena wanapewa Wizara nyeti !.
Wizara ya uchukuzi si muungano inaongozwa na Mzanzibar .
Wizara ya TAMISEMI si ya muungano lkn kapewa mzanzibar
Mambo ya ndani & Nje zote za Wazanzibari.
Ni fursa kwake kujiweka uzuri na kuandaa mazingira ya utendaji wake wa kazi hapo wizarani.Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.
Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?
View attachment 3120463
That would be the task for intel chiefs to analyse and sharing intel information about Rwanda activities around the region of Maziwa Makuu.Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Kagame and his country has manifested itself like what is happening in DRC Rwanda might be interested in other objectives than peace such as its military getting used for aggrandizement like exploitation of Mozambingue's minerals as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.
Hapo sasa!Tunazo katiba mbili, Ile ya JMT na ya SMZ. Nitumie ipi?
Yupo poa sio kama kina Jenista mhagama na shoga yake prof. NdalichakoInawezekana anajua mengi.
Lakin kwenye hiyo interview kaongea vitu common kabisa , very average ambapo mimi sijaona anything extra ordinary.
Kaongea basics kabisaaaaaaa.
Anaongea normal english but fluent.
I can guarantee you, these words won't be received kindly by Kagame and I am astonished by the Minister being so direct in stating the fact.Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Kagame and his country has manifested itself like what is happening in DRC Rwanda might be interested in other objectives than peace such as its military getting used for aggrandizement like exploitation of Mozambingue's minerals as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.
Kwa hiyo mkuu ✈️kwako kawaida sana mpka unamiliki lain mbili na zote zipo active 😃😃😃 mitano tena kwa mama,Ok, so hizi iPhones mpya, kuanzia 14 mpaka 16, zina uwezo wa kuwa na lines mbili.
Nina namba ya Marekani na nina namba ya bongo kupitia Vodacom.
Both numbers are active.
Nikiwa Marekani, namba yangu ya Vodacom inafanya kazi. Napokea simu, texts, n.k. Access ya M-Pesa inafanya kazi vizuri tu. Naweza kumtumia mtu hela, kupokea hela, kulipia Luku, na mengineyo.
Nikiwa Tanzania vivyo hivyo, namba ya T-Mobile inafanya kazi kama kawaida.
Nikiwa Marekani, primary line na secondary line zinatumia network ya T-Mobile. Na simu inakuonyesha juu mkono wa kushoto network inayotumika.
Nikiwa Tanzania, network inabadilika inakuwa inakuwa ya Vodacom.
Jana tu nimepokea ujumbe toka Vodacom. Huwa napokea jumbe kama hizi karibu kila siku. Nadhani system yao inapo detect kuwa eSIM yao ipo nje ya Tanzania, automatically inatuma ujumbe kama huu.
View attachment 3120466
Kuna la ajabu hapo?Unata
Kwa hiyo mkuu ✈️kwako kawaida sana mpka unamiliki lain mbili na zote zipo active 😃😃😃 mitano tena kwa mama,
Yaani yanakera sanaJamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.
Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?
It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
You think this alert is a petty issue? ..You must be a munyarwanda tutsi to see that as a petty issue.That would be the task for intel chiefs to analyse and sharing intel information about Rwanda activities around the region of Maziwa Makuu.
Not spending too much time and resources on petty issues.