Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania kazini, asema Tanzania na Mozambique wameshirikiana kuleta amani Gabo Delgado

Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania kazini, asema Tanzania na Mozambique wameshirikiana kuleta amani Gabo Delgado

Wana kofia mbili ni Wazanzibar na ni Watanzania. Vinginevyo, unataka hao mawaziri wanyang'anywe passport ya JMT! Kama Wana passport hiyo, sioni cha kuwazuia kushika nyadhifa hizo. Pia hakuna sheria ama kipengele cha katiba kinachotukuza kuwabagua Wazanzibari!!!

Tusifanyie mambo kwa hisia, leta Sheria, regulations ama sera ama kipengele cha katiba kinachounga Mkono hoja yako hii ya kuwabagua wenzetu!!!
===
Povu ruksa!
Wewe mmatumbi unaweza kuwa Waziri wa afya Zanzibar.
 
Wewe mmatumbi unaweza kuwa Waziri wa afya Zanzibar.
Katiba ya Zanzibar sidhani kama Ina kipengele hiki cha mtu wa asili ya Tanganyika kushika wadhifa kule. Kama kipo nitakuwa, Mkuu.
 
Kiswahili ni lingua franca.

Nadhani ndo kitu pekee kinachotuunganisha Watanzania wa makabila mbalimbali.

Wangapi Tanzania hawakijui Kiswahili?

lkn hilo lilipaswa kuwa self explanatory, au? kuna haja/umuhimu wa kila kiongozi kusema hivyo swahili is our national language? inaongeza nini? au inawapa competitive edge yoyote ile popote pale? sijaelewa hiyo logic yao, maana kila kiongozi mtanzania husema hivyo ni kama vile imeandikwa mahali waseme hivyo na the irony ni kwamba hata kiswahili chenyewe wanakichukia na wako ashamed nacho …
 
...irony ni kwamba hata kiswahili chenyewe wanakichukia na wako ashamed nacho …
Kiswahili kinahujumiwa na wale wanaojiita magwiji wa kiswahili. Hasa nyakati hizi ya usasa wa kiteknolojia. Wanabuni maneno ya kuelezea au kutambua teknolojia za kisiasa kwa kutumia maneno yasiyo na mvuto, kisa wanasema katika Kila nyanja lazima kuonyesha upekee wa lugha yake. Kwamba lugha ya kifizikia ya kiswahili haitakiwi kuwa lugha sawa na lugha za wanaotumia kiswahili cha kawaida!!! Hii kanuni inakigharimu kiswahili.
 
Na huyu wa sasa Je, au unataka kumaanisha 2030
Nina maana ya sasa. Aanze mazoezi tuone uwezo wake ulivyo kabla ya kumpa hiyo 2025. Huyu wa sasa hata kesho akiondoka kwa kuachia ngazi atajijengea sifa nzuri kwa kuchukua uamuzi huo.
 
Tusifanyie mambo kwa hisia, leta Sheria, regulations ama sera ama kipengele cha katiba kinachounga Mkono hoja yako hii ya kuwabagua wenzetu!!!
Kwa vile umesema "Povu Ruksa": mimi nakupa povu hili. Nionyeshe kipengele chochote cha Katiba ya Muungano inayo sema Zanzibar ni nchi kamili. Ukinipa hilo, tutaanzia hapo kujadili haya mengine ya mawaziri.
 
Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.

Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?

View attachment 3120463
Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Mr. Kagame and his country has manifested itself like what has happened in DRC, Rwanda is only interested in its objective of using its military for economic aggrandizement like exploitation of minerals of neighbors as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.
 
Kuna hili suala la kujaza Wazanzibari katika serekali ya JMT ukilinganisha na idadi,uchumi na weledi.

Sijui kwanini nashangaa Zanzibar ya 1.8 milion kuwa na mawaziri 5 ktk baraza la mawaziri.Mbaya zaidi tena wanapewa Wizara nyeti !.

Wizara ya uchukuzi si muungano inaongozwa na Mzanzibar .

Wizara ya TAMISEMI si ya muungano lkn kapewa mzanzibar

Mambo ya ndani & Nje zote za Wazanzibari.
Kwa kuwa Raisi ni wa Zanzibar ni lazima ataweka watu anowaamini na hapo kwa Kombo amemwamini baada ya sakata la Kenya kufungua jengo.

NI wizara ya fedha pekee ambayo nadhani Mwigulu amevumiliwa kwa muda huu.
 
Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.

Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?

View attachment 3120463
Ni fursa kwake kujiweka uzuri na kuandaa mazingira ya utendaji wake wa kazi hapo wizarani.

Ni hatua mojawapo twasema "you set or rearange the rules of etiquette".

Ila ni "diplomat" mzuri na aonekana afaa kwa masuala mazito ya huko mbele, khasa kutengeneza kauli za kurekebisha taswira mbaya inojengwa sasa hivi dhidi ya nchi.
 
Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Kagame and his country has manifested itself like what is happening in DRC Rwanda might be interested in other objectives than peace such as its military getting used for aggrandizement like exploitation of Mozambingue's minerals as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.
That would be the task for intel chiefs to analyse and sharing intel information about Rwanda activities around the region of Maziwa Makuu.

Not spending too much time and resources on petty issues.
 
Tunazo katiba mbili, Ile ya JMT na ya SMZ. Nitumie ipi?
Hapo sasa!

Ukitumia ya JMT utaambiwa hiyo ni moja ya "kero" zinazo hitaji kurekebishwa.
Kwa hiyo, kwa uvumilivu tulio nao waTanzania itabidi tutumie ile ya SMZ kusiwepo na kelele nyingi za kero.
 
Inawezekana anajua mengi.
Lakin kwenye hiyo interview kaongea vitu common kabisa , very average ambapo mimi sijaona anything extra ordinary.
Kaongea basics kabisaaaaaaa.

Anaongea normal english but fluent.
Yupo poa sio kama kina Jenista mhagama na shoga yake prof. Ndalichako
 
Rwanda's role must be carefully guarded by the parties in Mozambingue because as the policy of Kagame and his country has manifested itself like what is happening in DRC Rwanda might be interested in other objectives than peace such as its military getting used for aggrandizement like exploitation of Mozambingue's minerals as they are doing in DRC. If this happens the security problem in northen Mozambigue will not come to end.
I can guarantee you, these words won't be received kindly by Kagame and I am astonished by the Minister being so direct in stating the fact.
But to be fair to Kagame on this one; as opposed to the situation in the DRC, Rwanda's troops were invited by the Mozambicans after everyone else, including Tanzania had shown no interest in helping out on the worsening situation..

Kagame is projecting disproportionate power he does not have; dreams of making Rwanda an African Israel in the Great Lakes Region.

Our Minister must be mindful of what was promised to Jakaya Kikwete, lest he becomes the next target.
 
Unata
Ok, so hizi iPhones mpya, kuanzia 14 mpaka 16, zina uwezo wa kuwa na lines mbili.

Nina namba ya Marekani na nina namba ya bongo kupitia Vodacom.

Both numbers are active.

Nikiwa Marekani, namba yangu ya Vodacom inafanya kazi. Napokea simu, texts, n.k. Access ya M-Pesa inafanya kazi vizuri tu. Naweza kumtumia mtu hela, kupokea hela, kulipia Luku, na mengineyo.

Nikiwa Tanzania vivyo hivyo, namba ya T-Mobile inafanya kazi kama kawaida.

Nikiwa Marekani, primary line na secondary line zinatumia network ya T-Mobile. Na simu inakuonyesha juu mkono wa kushoto network inayotumika.

Nikiwa Tanzania, network inabadilika inakuwa inakuwa ya Vodacom.

Jana tu nimepokea ujumbe toka Vodacom. Huwa napokea jumbe kama hizi karibu kila siku. Nadhani system yao inapo detect kuwa eSIM yao ipo nje ya Tanzania, automatically inatuma ujumbe kama huu.

View attachment 3120466
Kwa hiyo mkuu ✈️kwako kawaida sana mpka unamiliki lain mbili na zote zipo active 😃😃😃 mitano tena kwa mama,
 
Jamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.

Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?

It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
Yaani yanakera sana
Kila Dr samia Dr samia
Kama majinga
 
That would be the task for intel chiefs to analyse and sharing intel information about Rwanda activities around the region of Maziwa Makuu.

Not spending too much time and resources on petty issues.
You think this alert is a petty issue? ..You must be a munyarwanda tutsi to see that as a petty issue.
 
Back
Top Bottom