Waziri wa Michezo na Waziri wa Ushirikiano wa kimataifa wametoa tamko lolote kuhusu kilichojiri Madagascar?

Waziri wa Michezo na Waziri wa Ushirikiano wa kimataifa wametoa tamko lolote kuhusu kilichojiri Madagascar?

Hoja yangu ni fupi na imelenga mada moja kwa moja.

TUTAFAKARI

Jinga katika ubora wako...!!
Hivi wakitoa tamko ndio stars watafuzu world cup?
Haya matamko imekuwa ni fashion tu, hayana impact yoyote!
Then ishu za FIFA na serikali wapi na wapi...!? Acha uzoba wewe!!
 
Mnataka kupeleka variants zenu kila sehemu..
Na huko si ndio yule mfu alishadadia ile juisi ya kovid lakini Raisi wao akamkaushia baada ya kuonywa na mabeberu
Na wawekwe karantini tu ili tuwe na kisingizio cha kufungwa...
 
Back
Top Bottom