TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Hakuna kitu kama hicho ww
 
ila Qur'an kuna namna huwa inafikirisha, hao mabikra wanaopewa maana yake itataka wafanye nao ngono,,hivi kweli ndugu zangu wavaa kobaz mtaka kutuaminisha mbinguni mahali patakatifu itakuwa ni uwanja wa kugegedana tu tena kila mtu na mabikra wake 72?
Halafu Watu weusi hawapewi bikra 72 ni waarabu tu
 
Apumzike kwa Amani mzee Mchengerwa.
 
Kwa sababu amefia makka atazikwa hukohuko ila angefia kwengine angesafirishwa!! Duu hii ni hatari
 
Kwa sababu amefia makka atazikwa hukohuko ila angefia kwengine angesafirishwa!! Duu hii ni hatari
Makka ni Mji Mtakatifu kwa Waislamu wote na kila mmoja anatamani kuzikwa katika mji Ule.
 
Hili Jina Mchengerwa nilikuwa nalifaham la bwana mmoja Omary Mchengerwa. Na tulikuwa tunasalimiana mara kwa mara kwa sms, kuna kipindi akija Zanzibar alikuwa anakuja ofisini kwangu. Ila ni muda mrefu sikuwa tena na mawasiliano nae...
Hii habari ya huu msiba sikuweza kuunganisha kama ndio yeye. Nilijua majina tu yanafanana
Kumbe ndie.
Allah Amjaalie pumziko jema. Inna lillah wainna ilayh rajiuun
 

Attachments

  • Screenshot_20250301_185555_Chrome.jpg
    121.8 KB · Views: 2
Makka ni Mji Mtakatifu kwa Waislamu wote na kila mmoja anatamani kuzikwa katika mji Ule.
Sasa kwann labda angekufa dar es salaam angepelekwa rufiji kuzikwa? Hoja ni kwamba hakuna utaratibu wowote katika dini ya kiislam wa kumsafirisha maiti isipokuwa ni waendeleza "uzushi" wa kuwa "akazikiwe nyumbani kwao" sasa mbona imekuja issue ya makka wamemzikia hukohuko? Sasa hujaona hapo bwn mwashambwa kuwa ni mila tu isiyo na tija yoyote zaidi ya upuuzi katika dini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…