TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ‎

Inna Lillahi wa inna ilayhi raji’un

Allah amsamehe na amrehemu na ampe kauli thabit.

Ee Allah Wasamehe waumini (wa Kiislam) wanaume na waumini (wa Kiislam) wanawake, na Waislam wanaume na Waislam wanawake, walio hai miongoni mwao na waliokufa, Allahumma Aamiin.
 
Ha ha ha! Sasa kwani mabikira si maandiko matakatifu ndugu yangu
Kwenye jibu nililokupa kuna sehemu nimeandika siyo maandiko matakatifu?

Papa Francis kusema ndoa za mashoga zipewe baraka kanisani nae si katoa kwenye maandiko yenu matakatifu pia
 
Labda shetani naye katika kujitetea alirusha jiwe kwa huyo marehemu
Hoja ya kipumbavu ila naomba niijibu kistaarabu!.
Moja ya tafauti zilizopo kati ya ibada ya Hijja na ibada ya Umra ni kwamba ibada ya Umra haina kipengele Cha kurusha mawe kule jamarati kipengele ambacho kipo katika ibada ya hijja peke yake!.
Mzee Mchengerwa alikuwa kwenye ibada ya Umra.
Kwa faida zaidi ni kwamba tofauti nyingine iliyopo kati ya ibada ya hijja na ibada ya umra ni kwamba ibada ya hijja imewekewa mwezi maalumu na tarehe maalumu.
Ibada ya hijja huanza tarehe nane ya mwezi wa Dhulhijja ( mwezi wa 12 kwa kalenda ya kiislamu ) tarehe hii huitwa siku ya tarwiya ( يوم التروية ) na mwisho ni tarehe 13 ya mwezi huo wa Dhulhijja siku ambayo pamoja na siku mbili zinazotangulia kabla yake huitwa masiku ya kubanika nyama
( أيام التشريق ) .
Ibada ya Umra haijawekewa tarehe wala mwezi maalumu na muislamu mwenye uwezo anaweza kufanya Ibada ya umra katika mwezi wowote anapopata nafasi na pia akitaka anaweza kuunganisha hijja na Umra katika kipindi cha ibada ya hijja na waislamu wengi hufanya hivi ili kupunguza gharama za kusafiri mara mbili!
Kwa Sasa tupo ndani ya mwezi wa shaabaan ambao ni mwezi wa 8 katika kalenda ya kiislamu.
 
Hoja ya kipumbavu ila naomba niijibu kistaarabu!.
Moja ya tafauti zilizopo kati ya ibada ya Hijja na ibada ya Umra ni kwamba ibada ya Umra haina kipengele Cha kurusha mawe kule jamarati kipengele ambacho kipo katika ibada ya hijja peke yake!.
Mzee Mchengerwa alikuwa kwenye ibada ya Umra.
Kwa faida zaidi ni kwamba tofauti nyingine iliyopo kati ya ibada ya hijja na ibada ya umra ni kwamba ibada ya hijja imewekewa mwezi maalumu na tarehe maalumu.
Ibada ya hijja huanza tarehe nane ya mwezi wa Dhulhijja ( mwezi wa 12 kwa kalenda ya kiislamu ) tarehe hii huitwa siku ya tarwiya ( يوم التروية ) na mwisho ni tarehe 13 ya mwezi huo wa Dhulhijja siku ambayo pamoja na siku mbili zinazotangulia kabla yake huitwa masiku ya kubanika nyama
( أيام التشريق ) .
Ibada ya Umra haijawekewa tarehe wala mwezi maalumu na muislamu mwenye uwezo anaweza kufanya Ibada ya umra katika mwezi wowote anapopata nafasi na pia akitaka anaweza kuunganisha hijja na Umra katika kipindi cha ibada ya hijja na waislamu wengi hufanya hivi ili kupunguza gharama za kusafiri mara mbili!
Kwa Sasa tupo ndani ya mwezi wa shaabaan ambao ni mwezi wa 8 katika kalenda ya kiislamu.
Labda marehemu alipita karibu na anapoishi shetani akapigwa jiwe
 
Usilete ujinga wako kwenye Mambo yanayogusa Hisia za Watu.
SASA HAPA KUNA HISIA GANI?
KILA MTU ATAFIWA PAMOJA KUFA; SASA TUTAKUWA NA HISIA NGAPI? UNAJUA NI WANGAPI WAMEKUFA LEO TANZANIA HATA KWA KUKOSA HUDUMA YA MATIBABU KWA SABABU YA GHARAMA ZA MATIBABU KUWA JUU, UKOSEFU WA MADAWA NA UKIRITIMBA KIBAO!

POLE KWA WATANZANIA WOTE WALIOFIWA LEO, MWENYEZI MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI AKAPOONA INAFAA!
 
Labda marehemu alipita karibu na anapoishi shetani akapigwa jiwe
Bado huachi upumbavu tu?!
Mzee Mchengerwa hawezi uawa na jiwe Moja tu toka kwa shetani!. Yeye kafa kwa sababu siku aliyoandikiwa kuwa atakufa siku hiyo imefika ! .
Maswala ya kupigwa mawe hayana msingi wowote kwa kuwa Kuna watu wamewahi kupigwa hata risasi zaidi ya moja na bado walipona kwa kuwa siku waliyoandikiwa kuwa watakufa ilikuwa Bado haijafika!.
 
Kwenye jibu nililokupa kuna sehemu nimeandika siyo maandiko matakatifu?

Papa Francis kusema ndoa za mashoga zipewe baraka kanisani nae si katoa kwenye maandiko yenu matakatifu pia

Papa Muhuni kama wahuni wengine wa kawaida ndugu yangu!
 
Bado huachi upumbavu tu?!
Mzee Mchengerwa hawezi uawa na jiwe Moja tu toka kwa shetani!. Yeye kafa kwa sababu siku aliyoandikiwa kuwa atakufa siku hiyo imefika ! .
Maswala ya kupigwa mawe hayana msingi wowote kwa kuwa Kuna watu wamewahi kupigwa hata risasi zaidi ya moja na bado walipona kwa kuwa siku waliyoandikiwa kuwa watakufa ilikuwa Bado haijafika!.
Jiwe ni silaha binti yangu na huwa linaua
 
Baba yake Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa, Alhaj Omary Mchengerwa amefariki leo Alfajiri akiwa kwenye Ibada ya Umrah huko Makkah.

Kwa mujibu wa taarifa ya Familia ya Mchengerwa, Mzee Omary atazikwa leo huko huko Makka.

Ifuatayo ni Ratiba ya Ibada ya Visomo vitakavyoongozwa na Mufti wa Tanzania Dkt Zuberi Bin Ali wa Mbwana nyumbani kwa Waziri Mchengerwa, Masaki Dar es Salaam.

LEO: TAREHE 24 FEBRUARI 2025

Dua ya Kisomo itafanyika nyumbani kwa Mhe. Mohamed Mchengerwa Masaki saa 10 Alasiri

KESHO TAREHE: 25 FEBRUARI 2025

Dua ya kisomo itafanyika Jimboni Rufiji

KESHO KUTWA TAREHE: 26 FEBRUARI 2025

Dua itafanyika nyumbani kwake Marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo.
Innallilah wainallilah rajuun hizi azijaweka muda
 
Back
Top Bottom