Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Na kingine Israel haiombi ruhusa kwa Russia kwamba inaiogopa, Israel is not giving the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala about Russia. Wanafanya hivyo ili kuepusha escalation zaidi, kwa taarifa yako Israel iliwahi kuwatandika Wasovieti waliokuwa na air base yao wenyewe nchini Misri wakijiamini na taifa lao kubwa wanamsaidia Anwar Saddat.
Ruhusa isipoombwa matokeo yake yatakuwa kama haya ambapo Russia alipoteza ndege na wanajeshi 15 na hakuwa na namna ya kufanyaView attachment 2308270. Bado Israel inaweza shambulia air defence systems zitakazoishambulia kama ambavyo waliteketeza Pantsir za Syria miaka hii hii ya fujo.
S-300 zishapigwa na Azerbaijan kwenye Nagorno-Karabhak mwaka juzi zije ziishinde Israel. Hata last week Ukraine ilizipiga launchers mbili za S-300
Kubali hizo F35 ni makopo[emoji23][emoji23][emoji23]