Mwambie Iran arushe tena missiles zake tushuhudie urongo wa US.Hivi ni vitisho tu.
Hata kabla ya May na Oktoba mosi USA waliitisha Iran hivi hivi.
Kwani hata akisema ni yeye amepigana mtafanyaje? Sioni hoja hapo.Kuna watu huwa akili zao zimeganda na wamarekani ni wa moja wao haswa hao waliopo Pentagon.
US wananikumbusha bwege mmoja alikuwa anasema mwanamke wa kinyiramba akikunyima, ujue una mkosi kweli kaoge maji ya baharini. Anadhani wanyiramba wote ndio wako sawa. Exactly kama US anadhani bado watu wajinga, watamuogopa anapigana yeye afu anasema sikuhusika wala sikumsaidia Israel😄
Kwanini lisiwezekane!?Kwani hapa tunabishana nini?
Kwamba hakuna madhara?
Yaani madege mia moja ya kijeshi yashushe makombora kwa muda wa masaa matatu, halafu pasiwepo madhara?
Yaani hata wewe kwa akili yako tu ndogo ya kiislamu unaona hili linawezekana?
Akirusha tena I see wanazaa nae, hata hivyo wamemsamehe, ilikuwa wapige vituo vya mafuta na kwny vinu vya nyuklia, US wakasema acheni kwanza.Mwambie Iran arushe tena missiles zake tushuhudie urongo wa US.
Huwa haunaga hoja.Mwambie Iran arushe tena missiles zake tushuhudie urongo wa US.
Hivi hizi akili zenu huwa zina function vipi!?Akirusha tena I see wanazaa nae, hata hivyo wamemsamehe, ilikuwa wapige vituo vya mafuta na kwny vinu vya nyuklia, US wakasema acheni kwanza.
Yaani madege yote yameondoka salama bila kudunguliwa baada ya kumaliza kazi, unataka kusema yalikuwa yanamis target?Kwanini lisiwezekane!?
Mbona siku za nyuma kabla ya 2023 makundi ya wanamgambo yalivyokua yanarusha maelfu ya maroketi Israel ilikua ikiyadungua yote na mkisifia!?
Kwanini Iran asiweze kuzuia hayo mashambulizi!?
Ana ADS ambazo ziko active home made na za Russia.
Kama kuna madhara tofauti na kufa kwa askari wanne tuonesheni.
Maana baada tu ya shambulio anga ilifunguliwa na shughuli zikaendelea kama kawaida.
BBC wapo Tehran na hawaja respond lolote.
Ripoti zinasema Israel imeshambulia kwa kutumia anga la Iraq na Syria.Yaani madege yote yameondoka salama bila kudunguliwa baada ya kumaliza kazi, unataka kusema yalikuwa yanamis target?
Ulinzi wa anga ni kuzuia long range missiles na kudungua ndege, kama umeshindwa kuzuia madege yamefika sebuleni kwako, unazuiaje madhara?
Ni sawa na wewe uwe mwanamke, uliruhusu jamaa liingie chumbani kwako hadi kitandani, na wewe umeshavua nguo, halafu useme eti jamaa hajala mzigo, huo utakuwa ni uwongo.
Haya basi sawa. Iran ana uwezo mkubwa wa kijeshi kuzidi marekani na Israel.Hivi hizi akili zenu huwa zina function vipi!?
Kama hao USA wana ubavu kweli na mwanae Israel wangeanza na kuiadhibu Iran kwa kufadhili mashambulizi ya Israel kupitia Hizbullah na Houthi pale red sea.
Tumieni akili sio mahaba.
Msiichukulie wepesi hivyo hiyo Iran.
Miezi kedekede Iran imesababisha shipping cost kupanda kwa kushambulia hapo red sea kupitia Houthi,je mbona USA ilimtisha Iran aache ufadhili kwa houthi na hajaacha!??
Shambulizi hilo tu la Oktoba Mosi hao USA walikua wanaongea hadi na Putin kufanya mediation na Iran wasifanye shambulizi.
Hakuna anayekuchosha ila unajichosha mwenyewe.Haya basi sawa. Iran ana uwezo mkubwa wa kijeshi kuzidi marekani na Israel.
Maana mnanichosha tu kenge nyie.
Ndio maana inabidi huyu Iran wamunyuturolaizi mapema, asije akawa kama kale kadogo pimbi kavuta bange kananyoa panki hovyo.Hakuna anayekuchosha ila unajichosha mwenyewe.
Hakuna asiyejua USA ana jeshi kubwa na vifaa vingi kuliko Iran.
Ila usiichukulie kiwepesi Iran pia.
Hili hata mwenyewe USA analijua na analisemaga ndio maana hata vikwazo vya uundaji na uuzaji silaha na nuke ulivyoisha mwaka huu USA ilikataa kuondoa vikwazo ikidai Iran ikiachiwa iwe huru basi itakua tishio zaidi kwenye millitary capability.
Mjumbe wa US UN aliongea wazi bila kupepesa.
Sasa si dogorasi!Kupigwa apigwe Israel vitisho atoe USA, hawa USA watakuwa wanaumwa si bure
Iran ishakua neutralized muda sana.Ndio maana inabidi huyu Iran wamunyuturolaizi mapema, asije akawa kama kale kadogo pimbi kavuta bange kananyoa panki hovyo.
Pumbavu kabisa.
Kamtu kenyewe kafupi halafu kanene kinoma, vidole kama bando la ndizi. Eti Kimu John Huni,
Pumbavu.
Hapa naona najadiliana na hamnazo.Nani kakudanganya wewe huyo Rais aliekufa na helicopter, hiyo helicopter ilikuwa imetengenezwa USA yani wewe unahuasama na Myaudi alafu unatumia teknolojia yake. Muajemi anachojua zaidi ni kufuga ngamia na majini tu, hapo kwa kweli yupo vizuri.
Tatizo kwani uogope si useme tu mimi ndio nimepiga, yeye anataka watu wamuogope Israel wakati hana lolote.Kwani hata akisema ni yeye amepigana mtafanyaje? Sioni hoja hapo.
Mbona wamesema walikuwa wamejiandaa kuwaokoa marubani wa Israel kama ingetokea shida, kwani vipi sasa?
Mjinga yule alinyongwa siku ya IDDIHata Saddam alirusha scuds mpaka akasifiwa zaidi ya kuwa praised god!Hatimaye akanyongwa hadharani huku anatukana hovyo na kulia kama katoto.