TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Juzi USA katoa onyo kwa Iran kwamba asijaribu kwa kulipiza shambulio vinginevyo atahadhibiwa.USA haina ubavu wa kuingia vitani na taifa lingine kwa sasa especially kama Iran ambayo inajiweza katika angle nyingi.
Tambua akijihusisha na Iran basi ategemee Russia kujaribu silaha zake kupitia Iran na ategemee vita ya kishia kuzuka huo ukanda.
Maana vikundi vya wanamgambo vya kishia vyote viko huo ukanda.
Nadhani unaelewa nani ataumia zaidi.
Maana wataanza kuharibu miundombinu ya USA iliyopo hapo middle east .
Vinginevyo hata USA anahitaji vita sababu siraha zake nyingi mpya hajazijaribu ili kuona matokeo.
Kuna sisi ambao tunatamani kuona zikipigwa pande zote as upande wa NATO na ule wa BRICKS, kitu kibaya sisi sisimizi ndiyo tutaumia sana.