Waziri wa ulinzi Yoav Gallant asema baada ya kuipiga Iran dunia itaelewa mchakato wa maandalizi na mafunzo namna ulivofanywa na IDF

Sio biashara yangu kujua anapoishi.
Mbona umekwepa kutaja kwamba anaishi mafichoni? Kumbuka chimbuko la hoja lipo hapo post #97 na ni Hali ya Taharuki ya Kitisho na Hofu ya kuuwawa na Israel kutokana na tukio la tar. 1 Oktoba 2024 lililofanywa na Iran dhidi ya Israel.
 
— 🇮🇱/🇮🇷 NEW: Iranian officials, including two members of the IRGC, said that if Israel inflicted major harm, the responses under consideration include a barrage of up to 1,000 ballistic missiles, escalated attacks by Iranian-backed resistance groups in the region, and disrupting the flow of global energy supplies and shipping moving through the Persian Gulf and the Strait of Hormuz – New York Times

@Middle_East_Spectator
 
Mbona umekwepa kutaja kwamba anaishi mafichoni? Kumbuka chimbuko la hoja lipo hapo post #97 na ni Hali ya Taharuki ya Kitisho na Hofu ya kuuwawa na Israel kutokana na tukio la tar. 1 Oktoba 2024 lililofanywa na Iran dhidi ya Israel.
Unaongea upuuzi tu!
Kwa hoja yako hii ya kipuuzi ina maana Netanyahu naye anaishi mafichoni kwasasa, maana siku kadhaa zilizopita watu wametuma drone nyumbani kwake.
 
Hilo shambulio hakutumia Hypersonic angetumia Hypersonic wasinge angusha hata Missile moja.
 
Asante Yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai ,,,mavaa kobazi yapigwe yachakae

Katika Injili za Mathayo, Marko na Luka, Yesu ameitwa mara 22 kwa jina la "Mwana wa Mungu", lakini hata mara moja yeye mwenyewe hakujiita kwa jina hilo.

Katika Mathayo 27.43 yanatajwa maneno ya wakuu wa makuhani wa Kiyahudi pamoja na waandishi na wazee waliokuwa wakimdhihaki, si maneno yake yeye Yesu.

Hao walikuwa wakimzulia kuwa anadai uwana wa Mungu, na anadai kuwa ni Mfalme wa Israeli.

Mara nyingi waliokuwa wakimwita Mwana wa Mungu walikuwa ama wendawazimu, wenye pepo wachafu, au askari wa Kirumi ambao tokea hapo wao ni washirikina, mapagani.

Mwenyewe Yesu alikuwa daima akipendelea kujiita mwana wa Adamu kwa Kiebrania, lugha yake, Bin Adam, yaani ni binaadamu, mtu tu.

Katika Injili jina hili la Yesu kuitwa mwana wa Adamu limetajwa yapata mara 80.

Mahasimu zake wa Kiyahudi walimzulia kuwa alidai kuwa ni Mfalme wa Mayahudi ili kumchongea kwa watawala wa Kirumi, na kuwa alidai kuwa ni Mwana wa Mungu ili apate kuchusha kwa Mayahudi.
 
Huyu mzee atajifia tu mwenyewe bila hata ya risasi au drone kutumika. Ni katika Hofu kuu umauti utamkuta. RIP in advance.
Netanyahu hata akiwa na majeshi yake anavaa bullet proof 10 utafikiri ni kiboko , Hivi anaogopa kitu gani na yeye kwanza ni Mteule wa Mungu , pili ni Mteule wa Marekani na silaha zote unazozijua alizonazo Mmarekani kapewa , Hofu ya kitu gani ??
 
Israel nyie bado mnamini atagusa Iran ikiwa Lebanon kisha badilisha tune anataka maongezi wakati mwanzo alisema bila Hezbullah kuondoa majeshi yake yarudi 10km kutoka mto Letan basi hasimamishi vita. Leo anatoa kali eti target yake ilikuwa kumuwa Nasurlah 😄

Alipo anza vita lazima Hezbullah iwe disarmed au mimi taingia kumaliza kazi hio. Alipo ingia vita bila kurudisha wananchi wake North hasimamishi vita. Niliwambia mkisha muona Blinken na Amos Hochstein yule top advisor wa US President Biden wapo middle-east, ujuwe wanakuja muokoa mtoto wao kashindwa vita.
 
S
Sasa mkuu siku wakijibu utasemaje!?...maana hata Irani aliposema atalipiza kisasi dhidi ya Israeli wapanda Israeli walisema kama unavyosema wewe sasa.Swali ni je,unadhani hata wairani wana ona kama hizo ni propaganda tuu!? Au wanahaha!?au unadhani kilicho mpata yule kiongozi wao kwenye helkopta!?wana kichuliaje na je walikitarajia!?
 
Israel ndo inayo fadhili HAMAS,HOUTH,HEZBOLAR na vikundi vingine vya kigaid?
 
Mkuu unaonekana una utulivu na ukomavu mkubwa wa akili.
 
hawana ubavu huo, Hamas mpaka leo wameishindwa, mwaka unakatika. Hawajaweza kuokoa mateka wao.


Lebanon ndiyo wamingia cha kike. Wakiigusa Iran safari hii, Itran wameshatangaza, ndiyo itakuwa mwisho wa mazayuni duniani.
Kuhusu mwisho huo mpango walishawahi kuwa nao mataifa mengi hasimu ya Israeli lakini walishindwa tena kwa vitendo.Nikweli kwamba tunaichukia saana either Israeli au Irani lakini uhalisia utaamua hizi kaulihisia tunazo ziita na kuaminii kwamba ndio UKWELI.
 
Acha uongo, Israeli hana ubavu wa kuishambulia Iran bila msaada wa marekani. Israel hawezi hata kuwashinda Hezbollah bila ya msaada wa magharibi
 
Israeli hawana kitu, hata mipango ya Israel kuishambulia iran inafanyika marekani. TUMELISHWA MATANGO POLI MENGI SANA KUHUSU ISRAEL
 
Netanyahu hata akiwa na majeshi yake anavaa bullet proof 10 utafikiri ni kiboko , Hivi anaogopa kitu gani na yeye kwanza ni Mteule wa Mungu , pili ni Mteule wa Marekani na silaha zote unazozijua alizonazo Mmarekani kapewa , Hofu ya kitu gani ??
Hakuna asiyeogopa kifo. Hata Yahya Sinwar alichukua tahadhari dhidi ya kifo ila basi tu Umauti ulimfika.
 
Mbona umekwepa kutaja kwamba anaishi mafichoni? Kumbuka chimbuko la hoja lipo hapo post #97 na ni Hali ya Taharuki ya Kitisho na Hofu ya kuuwawa na Israel kutokana na tukio la tar. 1 Oktoba 2024 lililofanywa na Iran dhidi ya Israel.
na benjamini nae anaishi wapi?mbon juzi tu hap nyumba yake ilipigwa na yeye hakuwepo au alienda dukani kwa mangi kununua kiberiti...hata benjamini nae anaishi kimitego chini ya ardhi coz anajua silaha za Iran zinaweza kupiga popote ndani ya Israeli
 
na benjamini nae anaishi wapi?mbon juzi tu hap nyumba yake ilipigwa na yeye hakuwepo au alienda dukani kwa mangi kununua kiberiti...hata benjamini nae anaishi kimitego chini ya ardhi coz anajua silaha za Iran zinaweza kupiga popote ndani ya Israeli
Wote ni mwendo wa "leopard crawl"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…