Waziri wa ulinzi Yoav Gallant asema baada ya kuipiga Iran dunia itaelewa mchakato wa maandalizi na mafunzo namna ulivofanywa na IDF

Waziri wa ulinzi Yoav Gallant asema baada ya kuipiga Iran dunia itaelewa mchakato wa maandalizi na mafunzo namna ulivofanywa na IDF

Wadau hamjamboni nyote?

Mjisomee wenyewe hapo chini kwa kimombo:

Gallant at IAF base: After we strike in Iran, world will understand all our training

By Emanuel Fabian Follow
and Agencies

Today, 5:19 pm

Defense Minister Yoav Gallant on Wednesday told pilots and air crews at an airforce base that “after we strike in Iran, everyone will understand what you did in the preparation and training process.”

Visiting the Hatzerim base ahead of Israel’s promised response to Iran’s October 1 major ballistic missile attack, Gallant said, “Everyone who dreamed a year ago of beating us and attacking us paid a heavy price and are no longer in that dream.”

Israel has held several major drills simulating long-range strikes on Iran over the years in preparation for a possible confrontation with Tehran. On Tuesday, the FBI said that it was investigating the unauthorized release of US classified documents on Israel’s latest preparations for a potential retaliatory attack.


Some social media posts in recent days singled out a US Defense Department employee as supposedly being under investigation for the leak, but offered no evidence.

Speaking to reporters in Rome, US Defense Secretary Lloyd Austin said there were no indications any employees from the Office of the Secretary of Defense were being probed for the leak.
Mimi huwa ananichekesha huyu Edrogan huwa anapiga kelele israel inapoishambulia gaza kujibu ugaidi wa october 7 huwa anamwita Netanyahuu ni hittler cha ajabu edrogan huwa anawaua wakurdi bila huruma kama leo nimeona uturuki ikiwashambulia wakurdi pasipo huruma je huu ni unafiki wa aina gani?
 
Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
iran itapata kichapo cha ajabu subiri uone
 
Nonsense, mzungu anawapumbaza na propaganda za kidini hadi mnafurahia binadamu wenzenu kuuliwa sababu ya biashara za silaha?
vipi kuhusu mwarabu na uislam wake, hiyo siyo propaganda?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mjisomee wenyewe hapo chini kwa kimombo:

Gallant at IAF base: After we strike in Iran, world will understand all our training

By Emanuel Fabian Follow
and Agencies

Today, 5:19 pm

Defense Minister Yoav Gallant on Wednesday told pilots and air crews at an airforce base that “after we strike in Iran, everyone will understand what you did in the preparation and training process.”

Visiting the Hatzerim base ahead of Israel’s promised response to Iran’s October 1 major ballistic missile attack, Gallant said, “Everyone who dreamed a year ago of beating us and attacking us paid a heavy price and are no longer in that dream.”

Israel has held several major drills simulating long-range strikes on Iran over the years in preparation for a possible confrontation with Tehran. On Tuesday, the FBI said that it was investigating the unauthorized release of US classified documents on Israel’s latest preparations for a potential retaliatory attack.


Some social media posts in recent days singled out a US Defense Department employee as supposedly being under investigation for the leak, but offered no evidence.

Speaking to reporters in Rome, US Defense Secretary Lloyd Austin said there were no indications any employees from the Office of the Secretary of Defense were being probed for the leak.
kama Hizbullah wamewashindwa ndo watawaweza Iran
 
Israeli wanafanya kweli, hawafanyi mazoezi ya kutishia tu.
 
Binafsi nimejiwekea kukipa muda kila kitu; kuweka akiba ya maneno wakati mwingine ni muhimu sana. As far as I know; Israel and Iran they know each other. Iran haiidharau Israel kama sisi tunavyo fanya hapa wala Israel haiidharau Iran kama baadhi yetu tulivo humu ndani; nina sababu ya kusema hivo; unadhani why Iran inamuhamisha hamisha Ayatollah maeneo ya kuishi kila siku? Why wamemuhoji sana CDF wao and like kapumzishwa kazi yake ya ukuu wa majeshi? Again unadhani why Iran anaendelea kuitumia Lebanon kama shield na haendi mwenyewe front? Ni makosa sana kudhani kwamba Israel anaiogopa hivo Iran wakati ameua watu wake muhimu sana kwenye ardhi yake tena jijini Tehran, zipo habari kwamba hata their former president wao Israel ndio wamemuua kwa kutumia zile simu za analogy, kaua wana sayansi wake wa nuclear pale pale Tehran; unawezaje kumdharau huyu mtu? Again, nipo kinyume sana na wanao idharau Iran kwa Israel, Iran karusha makombora kadhaa jijini Tel avivu (zamani Yafa ) na Israel hajachukua hatua kwa haraka; narudia, Iran na Israel wanajuana in and out. Tujipe muda; huenda bei ya mafuta ikapanda tena yaani
Kongole mkuu ila ntagusia sehemu moja tu Iran kuitumia hizbullah na hamas ni ushindi mkubwa kwake sababu kwake Kuna kua salama ila kwa israhell sasa kama unavyo wanajeshi wake wanakufa nk kwahio proxy anayo tumia Iran dhidi ya wazayuni ni Akili kubwa sana na ndio maana benja paka anataka kuzifuta hamas na hizbollah ingawaje mpaka sasa kafeli ataweza kuzifuta tuupe muda kazi yake
 
Wewe huwa unafuatilia mambo au unasimliwa? Israel imetwangwa mara 2 bila majibu! Unaishi wapi?

Kama ulikuwa umelala usingizi, Iran iliposhambulia Israel kwa makombora rundo, ambayo ni only 20% yalifika anga la Israel na kutunguliwa, mabaki yakimjeruhi binti mmoja,, Israel ilijibu kwa kutwanga mtambo wa ulinzi wa Iran, na Iran ikafyata kimya. Hili shambulio la karibuni, bado wanajiandaa maana Israel huwa hairushi makombora hovyo, yatue nyikanix, kama inavyofanya Iran..
Propaganda
 
Kwa hiyo habari zili leak kutoka US
Naona wanajitekenya na kucheka wenyewe
Wachambuzi walishasema haya
Vita ni mbaya kwa sehemu zote
Hakuna faida kwenye vita
 
Sio kwamba Iran ni kubwa kuliko Israel bali wanaoima implication. Tatizo la Mashariki ya kati ni Iran na Marekani. Marekani imeacha wajibu wake wa kuwa Kiranja kama zamani pengine kutokana na kuwa na viongozi dhaifu. Hali hii imempa nguvu muajemi kuwekeza sana kwenye silaha. Kama Marekani ingekuwa bent na Israel hii vita ingeshaisha. Lakini Marekani imekuwa kikwazo kwa Israel. Ndio maana katika siku za karibuni Israel iliamua kuchukuwa hatua yenyewe bila kuijulisha Marekani. Mathalan kuingiza jeshi eneo la Rafa Marekani hakutaka lakini Israel ikaamua na ikafanikiwa. Kuwaua viongozi wa Hamas ni maamuzi ya Israel yenyewe bila kuijulisha Marekani.
Sasa hili la kulipa kisasi kwa Iran lilikuwa limepangwa na Marekani kujulishwa. Matekani ikalikisha taarifa kwa Iran. Kwa hiyo kwa sasa Israelbhawezi kushambulia hadi kwanza ifanye kazi ya ziada na kutoijulisha Marekani wala mtu mwingine. Shambulizi litafanywa ghafla na hayo mataifa yatajua kuwa Israel hana mchezo pale watu wake wanapouwawa au maslahi yake kuharibiwa. Hivyo, tulieni tu mtakuja kuona!
Irani sio gaza hapo sebuleni Marekani anajua fika tatizo litakalo ikumba dunia pindi Iran akivamiwa, Israel anaendeshwa na mihemko tu lakini kiukweli Irani ni tatizo kubwa mno Iran kwa siku inaweza kufyatua drones zaidi ya laki mbili aina tofauti tofauti tena zenye madhara makubwa ifike mahali mazayuni yaambiwe ukweli
 
iran itapata kichapo cha ajabu subiri uone
Anasubiri kw hamu alishasema kabla lile vumbi la mabomu halijapoa Israeli zile ndenge zake itabidi zitafute sehemu ya kwenda kutua, Mrusi yuko hapo Damascus ni sms tu jamaa kainuka huku nawao wanainuka
 
Muisrael kabaki kupigwa mkwala ohhh watajuta ohhh history itakumbuka wamekuwa mipasho vitendo0 Hofu imewajaa yumkini Iran anaviuma vinatembea chini y dkk8 kufika popote Israel watabakia mipasho uku uhoga umewapalama kichekesho siku Iran kukitokea chochote mlipuko kama ambao ni ajali y kakawaida ata Iran mwenyewe atege kibooom kumpima.. Israel utaona mbio kukana kuhusika kama ile ajali y ndege
 
Unadhani kazi ya kumkimbiza-kimbiza huyo mzee na kumhamisha-hamisha kumficha asijeakaonekana au kugundulika alikofichwa ni kazi ndogo?
Huyo mzee baada ya kutoka kuipa kichapo Israel hivi karibuni tu aliongoza swala dunia nzima ilishuhudia. Au mzee yupi unamzungumzia?
 
Sio kwamba Iran ni kubwa kuliko Israel bali wanaoima implication. Tatizo la Mashariki ya kati ni Iran na Marekani. Marekani imeacha wajibu wake wa kuwa Kiranja kama zamani pengine kutokana na kuwa na viongozi dhaifu. Hali hii imempa nguvu muajemi kuwekeza sana kwenye silaha. Kama Marekani ingekuwa bent na Israel hii vita ingeshaisha. Lakini Marekani imekuwa kikwazo kwa Israel. Ndio maana katika siku za karibuni Israel iliamua kuchukuwa hatua yenyewe bila kuijulisha Marekani. Mathalan kuingiza jeshi eneo la Rafa Marekani hakutaka lakini Israel ikaamua na ikafanikiwa. Kuwaua viongozi wa Hamas ni maamuzi ya Israel yenyewe bila kuijulisha Marekani.
Sasa hili la kulipa kisasi kwa Iran lilikuwa limepangwa na Marekani kujulishwa. Matekani ikalikisha taarifa kwa Iran. Kwa hiyo kwa sasa Israelbhawezi kushambulia hadi kwanza ifanye kazi ya ziada na kutoijulisha Marekani wala mtu mwingine. Shambulizi litafanywa ghafla na hayo mataifa yatajua kuwa Israel hana mchezo pale watu wake wanapouwawa au maslahi yake kuharibiwa. Hivyo, tulieni tu mtakuja kuona!
Hapa ndipo mnapoona mna matatizo!

Yani unaamini US alitakiwa kumdhibiti Iran tu asikue kitechologia ila amuache Israel afanye atakavyo! Yaani ata ungekuwa wewe ungeweza kuvumilia uo ujinga?
 
Huyo mzee baada ya kutoka kuipa kichapo Israel hivi karibuni tu aliongoza swala dunia nzima ilishuhudia. Au mzee yupi unamzungumzia?
Huyo huyo Ayatollah. Kwani wewe unajua anapoishi maskani yake?
 
Irani sio gaza hapo sebuleni Marekani anajua fika tatizo litakalo ikumba dunia pindi Iran akivamiwa, Israel anaendeshwa na mihemko tu lakini kiukweli Irani ni tatizo kubwa mno Iran kwa siku inaweza kufyatua drones zaidi ya laki mbili aina tofauti tofauti tena zenye madhara makubwa ifike mahali mazayuni yaambiwe ukweli
Iran inaweza kumeushia isreli missle 1500 ndani ya dakiki arobaini hapo hata wakija ulaaya nzima hawataweza kitu ..na kwa iran hiyo ni gharam yake ni kama 100bl tu kwa usa missle 1500 tunazungumzia karibia trillion 1.4 hapo ndo unaona equilbrim ya vita I alliance wapi
 
Back
Top Bottom