Waziri wa Utumishi aanzisha mfumo wa kielekroniki unaoitwa "Sema na Waziri" kupoke malalamiko ya watumishi na wananchi

Huyu waziri yupo vizuri sana ni mchapakazi na anajua majukumu ya nafasi aliyopewa kauli zake kila mara zinatija kwa watumishi na zinaleta faraja na morali mpya iliyoshuka kipindi cha awamu ya tano,namwomba rais asimtoe kwenye nafasi hii anatufaa sana watumishi wa umma.
 
Mfumo huu uwalenge Watu wenye Vyeo vikubwa wanaowazushia Watumishi wa chini Uongo na Kuendekeza Chuki ...Wengine ni Wakubwa sana Sijui Waziri utadeal Nao vIpi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…