Rip.vp muheshimiwa alikuwa mgombea.?wenye tarifa watujuze.
Kwa hiyo Edo siyo mgonjwa au unataka naye afe leo ndiyo ukubali mgonjwa? Sasa Edo kutokufa leo au kesho siyo kigezo cha afya njema kiasi cha kuhalalisha kwenda ikulu. Kwa mujibu wa ugonjwa anaougua wa parkinsonism hawezi kupewa madaraka mazito zaidi ya kuongoza familia yake. Usifanye ikulu ni mahala pa majaribio
Basi walisahau unaweza kudanganya vitu vyote lakini si wakati.Serikali walikuwa wana ona aibu mawaziri wawili kufia India wakati tuna hospital zetu hawataki kuziboresha aibu sana
mmh mwaka huu kaz ipo. Vp nayeye alimsema vibaya lowasa?