TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

Miaka aliyoishi inatosha 81 years old, ukizidi miaka hiyo unakuwa kero kwa família.
 
Enzi za Mwalimu, Ikitokea mtu amepatwa na umauti hakuna aliyesema mabaya yake, lakini Kuna kasumba imetukumba watanzania kusema ubaya wa marehemu.

Anyway I also know why its just an act of ignorance
Come on, watoto wanakaa chini ya miti kusoma shule shauri ya wanasiasa kula hizo hela. Lazima niseme, not scared of any imbecile, bring it on!
 
Nyasi alikula yeye mwenyewe pale Keko state lodge.
Halafu akafagia sana palestina hosp wakati aliowanunulia ndege wanakula Bata Lushoto na Masasi.
Karma is real.
Nasubiri hao mapadri wstakavyomwombea, may god take him to heaven, really Jamaa aliiba matrioni. Jela 2 years. Mimi nikichkua muhogo wa jirani ni 30 years. Kikwete should also be locked.
 
Miaka aliyoishi inatosha 81 years old, ukizidi miaka hiyo unakuwa kero kwa família.
Siasa bongo ni kutafuna hela za uma. Aliyetaka kuzuia hayo wameisha mwondoa bila huruma. Oo anaoumzika tu kumbe kisha kufa. Ona masafari, Leo burundi kesho Hungary kujitambulisha!
 
Chanjo imefanya yake mbona ukweli tuna ujua damu imeganda ndiyo inaleta huo mstuko
 
Mungu amsaidie awe alimkumbuke Mungu katika maisha yake, asije kuwa anakula manyasi huko. polen sana wafiwa.
 
Janga si mchezo kaiba fedha sana heri kaziacha. Mafisadi tieni ajili basi yona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…