Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
Chai
 
Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
Ukitoa hiyo hela unapewa risiti?? 😂🤣
 
Sio Huko Tu Ni Tanzania Kote, Pengine Hata Waziri Anajua Haiwezekani Swala La Msingi Kama Hilo Asijue Anajua Vizuri Tu. Kaamua Kupiga Kimya Hizo Biashara Za Watu Ukichunguza.
 
Sio Huko Tu Ni Tanzania Kote, Pengine Hata Waziri Anajua Haiwezekani Swala La Msingi Kama Hilo Asijue Anajua Vizuri Tu. Kaamua Kupiga Kimya Hizo Biashara Za Watu Ukichunguza.
Yawezekena ni kweli hii.watoe Tamko tu watu watalipa kuliko kukaa kwenye sintofahamu hii
 
Kadi ya kliniki hiyo hapo. Download itunze siku nyingine usihangaike.... [emoji1666][emoji1666]
Hii kadi kuna kijiji kimoja. Niliona stationery wana print na kuuza 2000 - 5000.

Kiukweli sio makosa yao makosa ni wizara kushindwa kusambaza hizo kadi kwa wakati vituoni.

Huyo anae uza 10k ni mwizi tu. Labda kama hicho kijiji hakuna umeme kiasi watu wanatumia Generator ku run stationery.
 
Hii kadi kuna kijiji kimoja. Niliona stationery wana print na kuuza 2000 - 5000.

Kiukweli sio makosa yao makosa ni wizara kushindwa kusambaza hizo kadi kwa wakati vituoni.

Huyo anae uza 10k ni mwizi tu. Labda kama hicho kijiji hakuna umeme kiasi watu wanatumia Generator ku run stationery.
Yeah, ma nurse wengi wanapiga hela kwa njia hiyo...

5000 × watu 40 ndani ya miaka 2, hela ya supu haikosekani..
 
Back
Top Bottom