Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
🤣🤣🤣,Hii odo imenifurahisha sana,nimekumbuka singida,"nya-"nya-shani,nya-lukumani na kadhalika,hiyo nya = ma=mama.Muite Na Odo Ummy Mwalim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣,Hii odo imenifurahisha sana,nimekumbuka singida,"nya-"nya-shani,nya-lukumani na kadhalika,hiyo nya = ma=mama.Muite Na Odo Ummy Mwalim
Uhakikagwaji amekuwa active sana humu naona ndo maana anapewa taarifa mingi mingi
ummy msanii huyo
Wapi huko mkuuhotuba si hali halisi mkuu
nilipo hizo fomu hazipo wanaishia kupiga kopi ama kutoa kwenye ile karatasi ngumu na wanauziwa buku 2
ko kusema bungeni sio hali halisi huku mtaani mkuu
Umesikiliza wapi? Kituo kinachouza si nimekitaja? Kwanini usifatilie kama ni uzushi? Katawaze kwanza ndo ujeNi kwamba unaota au huu uzushi umeutoa wapi. Hotuba tumesikiliza hizo fomu ni bure. Watu wengine mna mapepo siyo bure
Hasa yule wa kububujikwa na machozi ya gereshaWale Wa Lumumba FC Wanapita Kimya Kimya Tu
Mkuu hata tungeuziwa 50k tungenunua tu. Swali lipo Hivi kwanini uandike haiuzwi na then iuzwe ikiwa na maandiko hayohayo ya kwamba haiuzwi?Watanzania tumezidi kulalamika .
Mimba uipate wewe afu utake vya bure
Acheni upumbavu tutafute hela hata kwa kuiba ili ufe mapema
Anahusika maana kuchangishwa wazazi ni unyanyasaji wa kijinsia hasa kwa akina mamaGwajima anaingiaje hapo
Elimu vipi nayo.Mimba sio dharula, ni maandalizi na unakaa na ujauzito miezi 9, changia huduma kwa maendeleo yako na afya ya mtoto wako, Watanzania tubadilike maana hakuna kitu cha Bure.
Haziuzwi kwa wajawazito,ila vituo vinanunua toka MSDHizo
Hizo booklet zinauzwa ama?
Basi huku wanauziwaHaziuzwi kwa wajawazito,ila vituo vinanunua toka MSD
Mle Kuna baadhi ya wabunge ni wazee kabisaKarne 21, vijana wanaongozwa na watu wenye miaka 60+.
Hili ni tatizo na bila kujitahidi kuwaondoa hao watu kwenye mfumo,vijana wasahau maisha bora
Sahihi kabisa. Umeandika huuzi halafu unawauzia Kwa kuwaonaje Sasa?Elimu vipi nayo.
Kuchangia sidhani km tutakaoshindwa tutakuwa wengi lkn kwanini hawaweki wazi?
Kwenye card (HAIUZWI) sasa vipi aombwe fedha?
Kwenye bango (MAMA MJAMZITO BURE,MTOTO CHINI YA MIAKA MI 5 BURE)sasa hizo gharama ni za nini?
Waweke wazi,wengi tutalipia.
Unajua kupenda vya Bure lakni mkuu?Mbona mnapenda vya bure aisee
Ndo hivyo mkuu.. Hii nchi kila mtu anaishi anavyotaka..Hao wazembe kuagiza toka bohari ya dawa
Yaeh mkuu... ✍️✍️✍️uko sahihi, hata nilipo nimekuwa naona wanatumia kama iliyo ambatanishwa hapa
Husikilizagi hotuba za bajeti bungeni?Umesikiliza wapi? Kituo kinachouza si nimekitaja? Kwanini usifatilie kama ni uzushi? Katawaze kwanza ndo uje
Rais aliruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao,Basi huku wanauziwa