Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

Waziri ya Afya, Kwa Sasa mama mjamzito kadi ya clinic anauziwa 10,000. Akijifungua mtoto wa kike 15,000 wakiume 30,000

Wewe Kwa nini ulitoa buku 10 badala ya kumripoti huyo mtumishi asiyekuwa mwaminifu?

Pia Nape atueleze inakuaje vocha imeandikwa 500 then inauzwa 600 Kwa maelezo ya kinyemela?

Mwisho kama gharama zinapanda taarifa itolewe,binafsi huwa sitoa kama ninajua hiyo gharama sio ya kulipia unless nihakikishiwe kwamba zimeisha na huwezi subiria Serikali Hadi ilete ndio wanapitia humo humo maana hapo utakuata karibu wateja wote wameuziwa huwezi kubisha.
Hii haina kuripoti kwa sababu kasi za kliniki aziuzwi kwa Siri mfano kadi ya kliniki katika hospital ya Ifisi(Hospital ya Wilaya Mbeya vijijini) inauzwa tsh5000/=
 
Hii haina kuripoti kwa sababu kasi za kliniki aziuzwi kwa Siri mfano kadi ya kliniki katika hospital ya Ifisi(Hospital ya Wilaya Mbeya vijijini) inauzwa tsh5000/=
Kwa maana hii hakuna bei maalumu Kila hospital inajipangia tu mwingine alisema kwao inauzwa 2000
 
Kama mambo yenyewe ndio haya hizo booklets kadi ziwekwe mtandaoni watu wawe wanazishusha tuu wenyewe kupunguza adha hii na nina pendekeza ziitwe booklet nusu kadi nusu
 
Inaonekana Wanaume hatutakiwi tena humu duniani,Yani kipaumbele na upendeleo maalum nowadays wanapewa madem na mashoga,Sasa hebu niambie utoe sate kisa umezaa mtoto wa kiume,ni mtanzania Gani maisha haya atatamani azae kidume?We are fcked.
Kuna ukweli ndani yake
 
Watanzania tumezidi kulalamika .

Mimba uipate wewe afu utake vya bure

Acheni upumbavu tutafute hela hata kwa kuiba ili ufe mapema
 
Salamu kamsalimie waziri wa Afya.

Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.

Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=

Inakuwaje mama mjamzito akijifungua mtoto wa kike atoe kiasi Cha pesa Tsh 15,000/= na akijifungua mtoto wa kiume atoe Tsh30,000/=

Je Ina maana Kuna utofauti Gani wakujifungua mtoto kike na wakiume? Ni kwamba dawa au huduma zinazo tumika Kwa mtoto wakiume ni kubwa mno kulinganisha na mtoto wakike?

Hii haikubariki sijasomea afya lakini Nasema huu ni utapeli na wizi wa waziwazi Kwa wanaNchi.

Haya ninayo yasema yanatokea katika kituo cha afya bugarama kilichopo wilaya ya kahama shinyanga. Ni baada ya jirani yangu kwenda kupata huduma alipoambiwa hayo ndipo akaja kuuliza kwangu hii Hali umeanza lini?

Tunahitaji Tamko rasmi kama serikali imeruhusu na kuyabariki yafanyike haya yote.

Ndg Wana jamvi na kwenu haya yanatokea?
Ni kwamba unaota au huu uzushi umeutoa wapi. Hotuba tumesikiliza hizo fomu ni bure. Watu wengine mna mapepo siyo bure
 
Back
Top Bottom