Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
Nonsense
 
Hivi CCM waleenguliwa wangapi ? vilena kama wote wamepita inaingia akilini?. Mi nijuavyo mazingira waliko wagombea yanafanana mfn elimu waliyopata , vijiji, vitongoji na mitaa e
walipo iweje CCM wao wawe smart 100%?.
 
Hii ndio aina ya watu wenye ndoto za kuitoa ccm madarakani, SILIONI HILO LIKITOKEA ANGALAU KWA MIAKA HII YA KARIBUNI.

KWANINI
Malalamiko sio hoja. Hoja unatakiwa kujibiwa je? Mlijipanga vipi na mliwapanga vipi wagombea wenu, kuhusu taratimu na hoja za kifundi zinazoweza kuwaondoa wagombea wenu?.

Hivi wewe ungekua mwalimu umemwambia mtahiniwa kuandika kuandika sentensi ya kiswahili alafu akaandika NAOMBA KUGOMBEA SERIKALI ZA MITAA ungelimpa vema?

Inaonekana umeziona vizuri form za CHADEMA... unaweza kuleta reference ya form 100 tu za wagombea was CCM?

Je! Ungeenda kituo cha polisi au mahakamani ukaulizwa unafanya kazi gani ungemjibu hakimu kwamba wewe Ni MPAMBANAJI?

Ifike wakati tujifunze kuheshimu taratibu kwakua muhusika anahiari ya kukuonyesha huruma au kukuchinjilia mbali na usipate pa kwenda kushitaki.

Mzee Mwanakijiji, hawa watoto na wazee wenzio pia watakukashifu, watakutusi na mbali ya yote watasema unatumika.

Na kama utakua unatumika kweli utakua unaitumikia akili na Muumba wako na si chengine.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
mzee unanongwa kwelikwe
ukumbuke hata ma
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.
shida yako unajifanyaga una akili nyingii. nakukumbusha tu kwamba hata MAKABURU walijenga madaraja na mabarabara, hospitali mpaka umeme wa neuclear lakini walipingwa kwasababu walibinya uhuru wa watu kamma MAGUFULI.
Mwaka jana nilikuwa kwenye jimbo moja la uchaguzi huko mkoani pwani. nikiwa pale madiwani wawili walipewa ml 5 kila mmoja ili watangaze kuunga mkono juhudi.
kwenye uchukuaji fomu DED na OCD walikwenda kujificha mahali na kunywa pombe tangu asubuhi na DED alimwambia mhasibu wa mapato asifike kabisa ofisini ili wakirudisha fomu wasipate pa kulipia mhasibu akaondoka na kuzima simu
 
Mikutano ya siasa ni marufuku, Polisi wanasimamia vema na wapo watu mahabusu! Hujui hilo?
Tuelewane mkuu tusije tukakwazana bure.

Yote hayo ya kunyimwa nafasi za kufanya shughuli a kisiasa na mizengwe yote inayofanywa na serikali hii naielewa na ninaipinga kwa nguvu zote.

CCM na Magufuli hawana hati miliki ya nchi hii, na kwa maana hiyo ndio sababu wanastahili kupingwa kwa njia zozote na watu wote wasiopenda hali hiyo. Na kwa hivyo basi, hatuwezi kukaa chini na kusema kwa kuwa tunanyimwa haki yetu, basi tumwachie Mungu. Ni wajibu wetu kuitafuta haki yetu kwa kila njia inayowezekana. Haki mara zote ikinyimwa, ni lazima itafutwe hata kwa njia zisizo za staha.

Kwa hiyo hapa unaponijibu ni kana kwamba kwa kuwa CHADEMA wamekatazwa mikutano, basi ndio iwe mwisho wao wa kufaya liwezekanalo lolote kuwafikia wananchi huko vijijini?

Huko mitaani CHADEMA haina viongozi wanaowasiliana na viongozi wenzao wa ngazi za juu hadi Makao makuuKama njia hizo zipo, kwa nini mikakati isifanyike siasa zikaendeshwa huko mitaani hata bila mikutano ya hadhara?

Tusing'ang'anie hapa hili wazo la kukatazwa kufanya mikutano ndio iwe sababu ya kutofanya siasa. Hili mimi sikubaliani nalo na lisiwe ndio sababu kuu ya kuhalalisha udhaifu wa hivi vyama vya upinzani.

Unaponyimwa haki huwezi kukaa chini na kutulia. Utatafuta njia mbadala ya kuirudisha haki yako.
 
Miongoni mwa maswali mazuri sana haya; maana upande wa swali hilo ni kuwa inawezekana vipi wale wa CCM "waonekane" wamejaza fomu zao kwa usahihi yaani hata mmoja asienguliwe?
Haya yote tunayojiuliza hayaondoi wajibu wa vyama katika kusimamia maandalizi ya wagombea wao. Mimi bado ningependa kujua 'support' wanayotoa kwa wagombea wao katika harakati kama hizi, na hasa tukifahamu vizingiti vinavyowakabili.

CHADEMA na wenzao ACT-Wazalendo watakuwa wamejiimarisha sana wakiwa na nguvu huko mashinani. Huko ndiko kunakotakiwa kufanyiwa kazi kubwa.
 
Unataka cdm waoneshe ulaghai kama walivyofanya Ccm Kwamba walipeleka mawakili elf moja ili kuhálalişha uhuni. Kukubaliana na hoja za Polepole ni kukubali ujuha.
Lakin pia umesau kuwa CDM wanakatazwa na polisi mpaka vikao vya ndani,,hyo sensatization wañgefanyiá wapi?Tusijifanye hatujui kwa kuuliza maswali yaliyojaa upofu mtupu
Mimi sikubaliani kabisa na huo "ujuha na ulaghai" wa wapuuzi kama Polepole.

Bila kujali CCM wamefanya nini, ni wajibu wa Vyama vya upinzani kushirikiana na wagombea wao kwa njia mbalimbali na panapohitajika, kutoa msaada kwa hao washiriki. Je hivi vyama vimefanya hivyo? Hili ndilo mimi ningependa kujua.
 
Tuelewane mkuu tusije tukakwazana bure.

Yote hayo ya kunyimwa nafasi za kufanya shughuli a kisiasa na mizengwe yote inayofanywa na serikali hii naielewa na ninaipinga kwa nguvu zote.

CCM na Magufuli hawana hati miliki ya nchi hii, na kwa maana hiyo ndio sababu wanastahili kupingwa kwa njia zozote na watu wote wasiopenda hali hiyo. Na kwa hivyo basi, hatuwezi kukaa chini na kusema kwa kuwa tunanyimwa haki yetu, basi tumwachie Mungu. Ni wajibu wetu kuitafuta haki yetu kwa kila njia inayowezekana. Haki mara zote ikinyimwa, ni lazima itafutwe hata kwa njia zisizo za staha.

Kwa hiyo hapa unaponijibu ni kana kwamba kwa kuwa CHADEMA wamekatazwa mikutano, basi ndio iwe mwisho wao wa kufaya liwezekanalo lolote kuwafikia wananchi huko vijijini?

Huko mitaani CHADEMA haina viongozi wanaowasiliana na viongozi wenzao wa ngazi za juu hadi Makao makuuKama njia hizo zipo, kwa nini mikakati isifanyike siasa zikaendeshwa huko mitaani hata bila mikutano ya hadhara?

Tusing'ang'anie hapa hili wazo la kukatazwa kufanya mikutano ndio iwe sababu ya kutofanya siasa. Hili mimi sikubaliani nalo na lisiwe ndio sababu kuu ya kuhalalisha udhaifu wa hivi vyama vya upinzani.

Unaponyimwa haki huwezi kukaa chini na kutulia. Utatafuta njia mbadala ya kuirudisha haki yako.

..ndugu yangu Kalamu 1, sidhani kama cdm wametulia tu na kuacha kufanya shughuli za kisiasa.

..wamefurukuta, na wamejitahidi, na juhudi zao ndiyo zimepelekea au.zimezaa matokeo haya.

..[hujuma, makatazo, ukatili wa ccm] + [ juhudi, kufurukuta, kujitutumua kwa upinzani] matokeo yake tunayoyashuhudia ktk mchakato wa uchaguzi.

..Now, do we like what we are seeing?

..Does this guarantee a better future for our country?

..Kwa maoni yangu, ni vizuri tukavaa koti la watu wazima wanaoangalia ugomvi wa watoto wawili.

..Kuna wakati watu wazima huwaacha watoto wabamizane, ili wapate kujifunza, lakini hali ikikaribia kuwa mbaya ugomvi huamuliwa na watoto hao husuluhishwa.

..Nadhani kwa hapa tulipofikia ni busara zaidi kusema INATOSHA. Ni vizuri sasa vyama vya siasa vikakaa pamoja na kuazimia kufanya siasa kwa kuzingatia HAKI SAWA kwa vyama vyote.
 
..ndugu yangu Kalamu 1, sidhani kama cdm wametulia tu na kuacha kufanya shughuli za kisiasa.

..wamefurukuta, na wamejitahidi, na juhudi zao ndiyo zimepelekea au.zimezaa matokeo haya.

..[hujuma, makatazo, ukatili wa ccm] + [ juhudi, kufurukuta, kujitutumua kwa upinzani] matokeo yake tunayoyashuhudia ktk mchakato wa uchaguzi.

..Now, do we like what we are seeing?

..Does this guarantee a better future for our country?

..Kwa maoni yangu, ni vizuri tukavaa koti la watu wazima wanaoangalia ugomvi wa watoto wawili.

..Kuna wakati watu wazima huwaacha watoto wabamizane, ili wapate kujifunza, lakini hali ikikaribia kuwa mbaya ugomvi huamuliwa na watoto hao husuluhishwa.

..Nadhani kwa hapa tulipofikia ni busara zaidi kusema INATOSHA. Ni vizuri sasa vyama vya siasa vikakaa pamoja na kuazimia kufanya siasa kwa kuzingatia HAKI SAWA kwa vyama vyote.
FAIR ENOUGH.

Siwalaumu CHADEMA na ACT-Wazalendo kujitoa kwenye uchafuzi. Ninawaunga mkono kwa hatua hiyo. In fact, hiyo ni sehemu ya mapambano. Na ili mapambano haya yawe na nguvu, ni lazima wananchi wawe karibu na vyama hivi. Waelewe maana ya mapambano haya.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.


TATIZO CCM BADO HAWAJAPATA JIBU LA HAYA MATENDO YAO YA KIGAIDI.

Wanawaona wapinzani ni kama mashoga , sheria wazitunge wao, Tume waweke wao , kesi wabambikiwe wapinzani , huku ni kuhanisiwa na kutiwa vidole.

Ni Lazima ili kupatikana haki watu wajitolee .

Haki katu haiwezi kupatikana kama sahani ya ugali ya mama ntilie
 
.Nadhani kwa hapa tulipofikia ni busara zaidi kusema INATOSHA. Ni vizuri sasa vyama vya siasa vikakaa pamoja na kuazimia kufanya siasa kwa kuzingatia HAKI SAWA kwa vyama vyote.
Hili silioni likitokea chini ya CCM hii na Mweyekiti wake. Tuwe wakweli tu.
 
Binafsi sina tatizo la kinadharia kwa CHADEMA kujitoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Na hata sitakuwa na shida ya msingi hata wakijitoa Uchaguzi Mkuu. Tangu zamani nilikuwa naamini kuwa kama unaona hutendewi haki ni lazima uoneshe kuwa kweli unaamini hakuna haki. Baadhi ya matatizo ambayo yametokea mara kwa mara - na sijui kama watu wamesahau au la - ni kuwa mara nyingi CHADEMA wanajikuta wanabanwa kwenye "masuala ya kiufundi" (technicalities).

- Kuchelewa kurudisha fomu hadi siku ya mwisho, saa ya mwisho
- Kuchelewa kula kiapo, au kula kiapo kisicho sahihi (nakumbuka sana kilichotokea Mbeya Vijijini mwaka uleeee)
- Kutokujua wanarudisha fomu kwa nani (Korogwe)
- n.k

Sasa, ni lazima tujue kuwa CCM na Serikali yake hawajawahi kuwa na mpango wa kutengeneza mazingira ya Upinzani kufanikiwa. Hili nimeliandika mara nyingi huko nyuma haifai kulirudia. Sijui kwanini wapo wanaofikiria kuwa Papa atajikata, atoe mafuta yake, akuwekee moto na sufuria, halafu ajitumbukize wewe kazi yako iwe kumkaanga tu! Sikumbuki mahali popote hili limewahi kutokea. Kutegemea CCM kuwasaidia wapinzani kuja kuwaondoa madarakani ni ndoto za Alinacha.

Baada ya kusema hilo, kufuatia uamuzi huu wa Chadema kujitoa kwenye kushiriki binafsi nilitarajia mambo kadhaa yangeelezwa kwanza, maana tusije tukawalaumu wasimamizi wa uchaguzi n.k kwa makosa ambayo yangeweza kuepukika. Kwa anayejua naomba atusaidie:

1. Ni nani alikuwa Mratibu wa CHADEMA wa wagombea wa nafasi mbalimbali serikali za mitaa kitaifa?

2. Huyo mtu/watu alitoa maelekezo gani kwa wanachama wa CDM kuhusiana na ujazaji wa fomu, kurudisha fomu n.k?

3. Je, CDM kitaifa ilitoa mwongozo gani kuhusiana na wagombea wake; kwamba wanahitaji nini na wajazaje fomu? Hii inaitwa "covering all your bases)

4. Hata mahali ambapo mikutano ya ndani isingewezekana CDM kitaifa ilifanya juhudi gani hata kupitia mitandao ya kijamii (Facebook, Youtube, au hata hapa JF) kuwajulisha wagombea wake jinsi ya kujaza fomu n.k Yaani, Freeman Mbowe au Katibu Mkuu Mashinji wameshindwa kuanzisha hata thread moja yenye maelekezo na nakala za fomu za mfano za nini kinatakiwa zikawekwa hapa?

5. CDM iliwaandaa watu wake vipi kubanana na wale wasimamizi ambao walikuwa wanaonekana kweli kuwakwepa. Hivi kweli CDM na vijana wake hakuna watu wenye kusema "hatutoki hapa hadi mpokee fomu zetu"? Ni upinzani gani huu!

Haya ni baadhi tu ya maswali yangu kwa sababu tusije kuwalaumu ama wagombea na wale watia nia au wasimamizi. Tujiulize kidogo CDM inawajibika vipi kuwandaa wagombea wake maana msipojibu maswali haya mtakutana tena 2020 na mambo yale yale.

Pendekezo Moja: CDM ije na sera ya wazi na maelekezo ya wazi kuwa wagombea wake wote wahakikishe wanarudisha fomu siku tano kabla ya mwisho wa siku iliyowekwa. Mtashangaa tofauti itakuwa nini hapa.

Kukaa nasoma uzi wa jitu nafiki kama hili ni blasphemy!
 
Hili silioni likitokea chini ya CCM hii na Mweyekiti wake. Tuwe wakweli tu.

..Why not?

..kama ni jambo jema na litakaloleta heri na amani kwa nchi yetu kwanini lisifanyike?

..Je, tunatoa wapi uhalali wa kujiita WAZALENDO?
 
TATIZO CCM BADO HAWAJAPATA JIBU LA HAYA MATENDO YAO YA KIGAIDI.

Wanawaona wapinzani ni kama mashoga , sheria wazitunge wao, Tume waweke wao , kesi wabambikiwe wapinzani , huku ni kuhanisiwa na kutiwa vidole.

Ni Lazima ili kupatikana haki watu wajitolee .

Haki katu haiwezi kupatikana kama sahani ya ugali ya mama ntilie

..Uhuru tuliupata bila kumwaga damu.

..sidhani kama Mwalimu Nyerere aliwahi kusumbuliwa na kudhalilishwa na wakoloni kama wanavyofanyiwa viongozi wa upinzani ktk awamu hii.

..ccm wasilazimishe waTz kumwaga damu.
 
Mzee....
Screenshot_2019-11-08-23-45-14-1.jpeg
 
..OK.

..but do we have a guarantee that the situation will get better, or at least remain as it is?

..huu uhasama, uadui, na chuki, inayopandikizwa na ccm, watoto wetu watakuja kuishi namna gani?
It can only get worse under the current leadership. Let's hope I'm wrong!
 
Haya yote tunayojiuliza hayaondoi wajibu wa vyama katika kusimamia maandalizi ya wagombea wao. Mimi bado ningependa kujua 'support' wanayotoa kwa wagombea wao katika harakati kama hizi, na hasa tukifahamu vizingiti vinavyowakabili.

CHADEMA na wenzao ACT-Wazalendo watakuwa wamejiimarisha sana wakiwa na nguvu huko mashinani. Huko ndiko kunakotakiwa kufanyiwa kazi kubwa.
Mkuu Kalamu1 naomba nikiri ukweli nilioushuhudia kwa macho yangu kwenye maeneo kadhaa.

Kwanza nikweli kwamba kwa sehemu upo uzembe flani kwa Wapinzani hususani CHADEMA kufanya usaidizi madhubuti kwa wanachama wao juu ya namna sahihi ya ujazaji wa fomu hizo ili wasitoe loopholes/mianya ya kukatwa majina.


Lakini pamoja na Ukweli huo kwa macho yangu kuna maeneo kadhaa nimeshuhudia baadhi ya Wagombea wamejaza kwa usahihi Sana chini ya usaidizi wa viongozi wao lakini yet wameenguliwa kwamba hawajajaza "kwa usahihi" fomu zao while wa chama tawala wao hakuna hata mmoja aliyeenguliwa kwa sababu sawa na hizo.
 
Back
Top Bottom