Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

Waweza kukuta huyu kuna watu wanakuita baba au mama wa familia. Familia zingine zina bahati mbaya sana na zinahitaji kuonewa huruma kwa hasara hiyo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa wanakuwaga wakali ukiwauliza hivyo.
 
wewe ni nani basi
unataka kunfanya kila mtu mjinga?
unaandika ya nini hapa? si ukawasimulie watoto wako nyumbani?
ulisoma kweli wewe? yaani unaleta opinionions kwenye jukwaa la wazi halafu hutaki ujibiwe
unaishia kutukana?
Hilo ni lipoyoyo flani kama Musiba, linaandika tu ilimradi mkono uende kinywani
 
Mkuu ukijibiwa swali lako naomba unitag nakusihi kwa moyo wa kizalendo tafadhari.
 
Na wewe msukule wa dhalim huna akili
 
Ni wewe au nimekufananisha?
 
Rekebisha heading, isomeke ‘Wazo la Kipumbavu…….’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…