Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Punguani tu wewe, sasa ofisi za ccm zimesaidiaje kufanya uokozi
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
IMG-20221107-WA0139.jpg
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!

Serikali ya CCM inadaiwa Trillion 71 lakini haina uwezo wa kuvuta ndege kutoka majini.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Miaka 60 ccm wanakusanya Kodi,wanaiba kipi Bora wamefanya?
 
Kama mmeshindwa kutuonyesha pesa ya sabodo mlifanyia nini !Je mkipewa BOT,mtaacha kitu? kama mmeshindwa kutuonyesha michango ya join the chain mlifanyia nini mtaweza kusimamia miradi mikubwa? mmeshindwa kutuonyesha mamilioni mliyopewa na hitler,mtaongoza nchi,
 
Kama mmeshindwa kutuonyesha pesa ya sabodo mlifanyia nini !Je mkipewa BOT,mtaacha kitu? kama mmeshindwa kutuonyesha michango ya join the chain mlifanyia nini mtaweza kusimamia miradi mikubwa? mmeshindwa kutuonyesha mamilioni mliyopewa na hitler,mtaongoza nchi,

Serikali inadaiwa Trillion 71 na haiwezi kuoko wananchi wake kwenye ndege iliyozama, wananchi wanajiokoa wenyewe.

Halafu tofautisha mtu anaedaiwa Trillioni 71 na mtu ambaye hapokei ruzuku yeyote.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Unasupport uzembe kwa kusema mwenzako atashindwa. Na mimi nikuulize, baada ya ajali ya mv bukoba, mlifanya maandalizi gani kuhakikisha maafa yakitokea ziwani wananchi wananusurika? Kwanini airport haina zimamoto?
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!

Nyie ni walishindwa tu.

Ajali ya MV Bukoba mlishindwa.
Mv Spice island mlishindwa.
Ajali ya Ukerewe mlishindwa
Ajali ya Bukoba mmeshindwa.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
ccm na mazezeta yake 2025 lazima yakimbilie burundi au tuyafanye kama samwel doe wa liberia.
 
Chama hupewa dhamana ya kuunda serikali. Sasa mkipewa hiyo dhamana?
Muulize Ruto chama chake kina majengo mangapi? au muulize uhuru chama chake kimeacha majengo mangapi, aacheni utoto, jeshi likichukua nchi huwa na chama???
 
Back
Top Bottom