Wazo Muflisi: Alijaribu Kujitenga lakini Anarudi Bila Tenga...

Ukiwaambia Watanzania tatizo letu linaanzia kwenye malezi ya watoto, turekebishe kuanzia huko, sio kumuangalia rais wa leo tu, utapata watu wachache sana watakaokubali hilo na kulifanyia kazi.

Na tusipobadili hilo, mengine yote ni kazi bure tu.
 
Ni uchumi upi huo unaongea? Lete data. Ukitaka kuengelea inflation imezidi, unemployment ni zaidi ya 40%, ukiongelea wawekezaji sioni mwekezaji gani huyo wa maana toa reference. Impact ya economic growth ya sasa hivi na kukua kwa GDP kama kutatokea ni kutokana na infrastructure investment zile za Bwawa ambalo litatoa impact kubwa, meli zilinunuliwa, ndege zilinunuliwa na viwanja vya ndege vilijengwa, SGR, Makao makuu nk. Huyu kaleta nini kipya? Kukodisha Bandari kwa DP world na kuwandoa wamasai mbugani ndiyo investment kubwa?
 
Well Said
 
Nafikiri Kumfananisha Nchimbi na Rais wa Nchi ni kosa kimkakati.

Kwa jana Rais ametuma Meseji kubwa kadhaa ambazo ni muhimu kuziangazia zaidi.

1. Anaamini 4R zipo kwa ajili ya kuliponya taifa.

2. Anaumizwa na yanayoendelea nchini na ameagiza uchunguzi ufanyike, alitudokeza kuwa uchunguzi uko katika hatua nzuri.

3. Amechukizwa na mabalozi kuingilia mambo ya ndani yanchi. Amekuwa wazi waseme lakini waimuelekeze nini cha kufanya.

4. Ameangazia vyama vya siasa kutaka kuleta taharuki na fujo (kwa kile alichotueleza kuwa kulikuwa na kikao cha ngulelo) na kusisitiza yeyote atakayefanya hivyo atashughulikiwa. hili wapinzani wake hawakulitarajia na hawakulipenda.

5. ameonesha wazi maandamano yanayopangwa tarehe 23 Septemba hayataisha vizuri endapo yakifanyika. (pale aliposema nchi italindwa kwa gharama yeyote).

Kwa mtazamo wangu, kama haya ndiyo anayoyawaza basi aendelee kusimama imara. Rais hatakiwi kuwa neutral. Nadhani amewasurprise wapinzani wake kwani walitegemea atakuwa mkimya au kuongea kwa kile wanachokiita wao 'busara". sasa ni wasaa wa kuona nini kitafata.
 
Huyu yupo upande wa majangili ya mali za umma
 
..hivi haiwezekani Raisi asiwe Mwenyekiti wa chama?

..nimemsikia Raisi na Mwenyekiti wa Ccm akijisifia kuwadukua chama cha upinzani.

..sina uhakika sheria zetu zinasemaje kuhusu kudukuana.

..sidhani kama inaleta picha nzuri Mwenyekiti wa chama tawala, kupewa taarifa za udukuaji za chama mbadala.

..pia sina uhakika kama huo udukuaji ulifanywa na vyombo vya dola, au binafsi.
 
Tanzania tabu tunayo
 
Ukisha kula ukavimbiwa unasahau kuna kunawa mikono na mara unapitiwa na usingizi mzito nakukoroma....
Hivi ukivimbiwa kujamba si inakuwa ndio kupumua na kukoroma kwenyewe?
 
Ukiwaambia Watanzania tatizo letu linaanzia kwenye malezi ya watoto, turekebishe kuanzia huko, sio kumuangalia rais wa leo tu, utapata watu wachache sana watakaokubali hilo na kulifanyia kazi.

Na tusipobadili hilo, mengine yote ni kazi bure tu.

Uko sahihi
Angalia tu kwenye bara bara zetu.. unakuta kuna foleni lakini kuna watu hawakubali kukaa foleni.. two lanes mtu ana overtake akifika mbele akikwama anarudi lane yake...mtu kama huyu alilelewa ki binafsi.. sasa akikua huyu akapewa ofisi ya umma kwanini asiwe fisadi?
 
Kuweni makini, maana hiyo mtandao aliigusia. Sasa ngoja tuone ya sirini, hii siyo serikali ya samaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…