Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo karibu wote tunamuangalia rais kama ugonjwa, wakati rais ni dalili ya ugonjwa tu.
Ugonjwa upo katika jamii yote.
Mtoto anavyolelewa tu ni tatizo, sasa unategemea huyu mtoto akija kuwa rais ataongoza nchi vizuri?
Na wewe ukijitahidi utaziona piaNi kweli lkn angalau yeye anafunika mvi. Wengine hata mvi za ndani watoto wanaziona mitaani
Vijana kama hawa ni wakati sahihi wajitokeze vinginevyo hakuna namna maana katiba haitabadilika kuwa ya wananchi wala hakuna kiongozi atakayekuwepo kwa kuchaguliwa kwa kura halali.Tatizo siyo bwana yule na wala siyo bibi huyu, bali tatizo ni kwamba Katiba tuliyonayo ni mbovu na Sheria zilizopo ni kandamizi, hazifai.
Nafikiri Kumfananisha Nchimbi na Rais wa Nchi ni kosa kimkakati.
Kwa jana Rais ametuma Meseji kubwa kadhaa ambazo ni muhimu kuziangazia zaidi.
1. Anaamini 4R zipo kwa ajili ya kuliponya taifa.
2. Anaumizwa na yanayoendelea nchini na ameagiza uchunguzi ufanyike, alitudokeza kuwa uchunguzi uko katika hatua nzuri.
3. Amechukizwa na mabalozi kuingilia mambo ya ndani yanchi. Amekuwa wazi waseme lakini waimuelekeze nini cha kufanya.
4. Ameangazia vyama vya siasa kutaka kuleta taharuki na fujo (kwa kile alichotueleza kuwa kulikuwa na kikao cha ngulelo) na kusisitiza yeyote atakayefanya hivyo atashughulikiwa. hili wapinzani wake hawakulitarajia na hawakulipenda.
5. ameonesha wazi maandamano yanayopangwa tarehe 23 Septemba hayataisha vizuri endapo yakifanyika. (pale aliposema nchi italindwa kwa gharama yeyote).
Kwa mtazamo wangu, kama haya ndiyo anayoyawaza basi aendelee kusimama imara. Rais hatakiwi kuwa neutral. Nadhani amewasurprise wapinzani wake kwani walitegemea atakuwa mkimya au kuongea kwa kile wanachokiita wao 'busara". sasa ni wasaa wa kuona nini kitafata.
Wawekezaji wapi walikimbia na sasa wamerudi? Hebu wataje hapaNilikuwa wa kwanza kusema Mama arudishe siasa za kuwashughulikia Wapinzani bila kuingiza mambo hayo kwenye uchumi.
Mifano Iko Mingi sana kuanzia Uganda,Rwanda,Egypt,China nk.
Bwana wako yule alikuwa haelewi yeye akaleta chuki zake Hadi kwenye Uchumi,Hali ikawa mbaya wawekezaji wakakimbia, account zikaanza kufungwa ,watu kubambikiwa Kodi Kwa sababu pesa imepungua na Biashara kukaba kiasi kwamba vilio vya vyuma kukaza vilitamalaki.
Rais awashughulikie Wanasiasa uchwara na vibaraka wote ila silete siasa za ujamaa hapa.
Mwisho kama unaembeba habebeki unategemea uendelee kumbeba? Una mdamp tuu unasonga mbele mwenyewe.
Yeye hama akiliKuna watu wanapanga kumharibia kwa kumlisha uongo.
Duh umenikumbusha sukuma gang sijui ule upepo uliishia wapi, bongo vichwa maji sana 😅😅Hayo yote yalikuwa yanatabirika kirahisi sana na baadhi yetu tuliyatabiri kwa namna tofauti tofauti.
Ila, tulipojaribu kuwaambia, tukaishia kuchekwa na kuitwa ‘Sukuma Gang’ na majina mengineyo.
Wengine walitubeza kwamba hatuamini kilichotokea na wala hatuamini kinachoendelea na kwamba tuko kwenye ‘denial’ flani hivi.
Wengine wakawa hawachoki na hawaachi kutukumbusha kwamba Ngosha keshakufa na harudi tena.
Wapo baadhi yao, wachache kwa idadi, walioenda mbali zaidi na kusema kwamba tayari Ngosha huko aliko keshaoza na kuoza.
Dah! Basi tena….tukawa hatuna la kusema zaidi tu ya kuwakumbusha kwamba ni muda tu ndo utaoongea.
Wanasemaga hayawi hayawi na yame……
Sasa sijui imekuwaje tena maana vilio vimeongezeka na Ngosha hayupo na wala hatorudi tena.
Ushauri mdogo tu….maishani mtu ukitumia tajiriba [experience], busara za kawaida [common sense], kuyaangalia na kuyatathmini mambo kwa kutumia akili na uhalisia na si hisia, kwa kiasi kikubwa utajikuta unafanya maamuzi mengi yaliyo sahihi kuliko yale yasiyo sahihi.
Correct observation. Basi mkuu usisumbuke sana na wapinzani. Comment unazotoa kuhusu wapinzani huwa hazina sense hata kidogo. Bora ubakie na propaganda za maendeleo tu. Hizo zinakufaa sana.Tanzania hakuna siasa za Vyama vingi ni maigizo.
kipindi cha magufuli hali ilikua nzuri kulinganisha na sasa,Nilikuwa wa kwanza kusema Mama arudishe siasa za kuwashughulikia Wapinzani bila kuingiza mambo hayo kwenye uchumi.
Mifano Iko Mingi sana kuanzia Uganda,Rwanda,Egypt,China nk.
Bwana wako yule alikuwa haelewi yeye akaleta chuki zake Hadi kwenye Uchumi,Hali ikawa mbaya wawekezaji wakakimbia, account zikaanza kufungwa ,watu kubambikiwa Kodi Kwa sababu pesa imepungua na Biashara kukaba kiasi kwamba vilio vya vyuma kukaza vilitamalaki.
Rais awashughulikie Wanasiasa uchwara na vibaraka wote ila silete siasa za ujamaa hapa.
Mwisho kama unaembeba habebeki unategemea uendelee kumbeba? Una mdamp tuu unasonga mbele mwenyewe.
Nimesema hili zaidi ya mara Elfu,Elimu ya Tanzania inatengeneza wapiga kura wajinga,watoto wajinga,wazazi wajinga,viongozi wajinga...walimu wajinga,future itakuaje bright??hata rais awe smart kiasi gani,waliomzunguka??anao watawala??..Tatizo karibu wote tunamuangalia rais kama ugonjwa, wakati rais ni dalili ya ugonjwa tu.
Ugonjwa upo katika jamii yote.
Mtoto anavyolelewa tu ni tatizo, sasa unategemea huyu mtoto akija kuwa rais ataongoza nchi vizuri?
Hawezi kufikia Bwana yule,Bwana yule alikuwa simba wa yuda akiunguruma, swala wote wanakimbia.Na. M. M. Mwanakijiji
Rais Samia alitaka kupendwa. Rais Samia alitaka kukubalika. Rais Samia alitaka kuoenakana yeye siyo kama yule. Baada ya kuapishwa kufuatia maombolezo ya kifo cha Bw. Yule mara moja watu walianza kusema sasa "wanashusha pumzi". Wapo watu walisherehekea na wakajua kuwa sasa angalau wanaweza kuhema. Hali ya kuwa roho juu kisa bwana yule asiyelala na mwenye kukesha na mafaili hadi chumbani ikashuka. Watu wakaanza kutembea na kuchekeana bila kuogopana.
Upinzani ulishukuru zaidi kwana Bw. Yule aliwabana kweli kweli. Lakini upinzani dhidi yake ulikuwa wazi kabisa na kamili; mgogoro wake na upinzani na dhana ya demokrasia watu waliijua kabla hajaingia madarakani. Hakuwahi kuwa na ahadi za kidemokrasia hata kama aliziimba kidogo. Watu walijua kuwa yeye alichotaka ni "kazi" watu wakakutane kwenye kampeni. Hakutaka kuendekeza siasa za kushindana; walipojaribu kujitutumua vyombo vya dola vya nchi hii vikaingia kumfanya Bw. Yule atawale bila kuzingwazingwa.
Wale wajomba zetu walipojaribu kusema hakuwapepesea macho; na aliwaonesha kweli yeye hawajali kivile pale alipokataa kabisa kwenda kubeba tenga lake kulipeleka huko waliko kuwaomba. Kama aliwaomba aliwataka wao waje kwake ndio awaombe. Tena waje na matenga yao kwanza! Alikataa sana ile hali ya "kujidhalilisha". Sasa Rais Samia alipoingia madarakani siyo tu alitaka kupendwa na watendaji serikali ambao walikuwa roho juu hata kwenda Dubai ilikuwa Mbinde bali alitaka kupendwa na wajomba zetu huko nchi za Magharibi. Rais Samia katika kupendwa huko akaamua kujitenga kimaono na kiutendaji na Bw. Yule.
Bw. Yule alikuwa anafokafoka; mama hakasema yeye hafoki. Huku kijijini Mama akaanza kujulikana kwa "Mama Nahaya Mkayaangilie". Mama hakutaka watu waondoke wamenuna; alijua kuwabembeleza na hata akiwatimua kazi hakutaka wajue ni yeye amechukizwa. Mama akakwepa kabisa kutimua watendaji wabovu papo kwa papo japo anafanya hivyo kimya kimya. Niliandika mahali kuwa Rais Samia ni Simba Mwendapole.
Sasa haya ya juzi ndio yamefunua kuwa jani halitui mbali ya mti na kuwa atapikaye hutapika mbele yake. Mama alijaribu kuwapendeza wapinzani, amejaribu kuwatetea watu wabovu na kwa namna alibariki ulaji wa "urefu wa kamba zao" kumbe wajanja wakala na kamba zenyewe! Mama ambaye alisifiwa kuwa yeye hafokei watu juzi kwenye sherehe za Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Mama akajikuta amegeuka kama Bw. Yule.
Yaani, kama hotuba ile ingetolewa kwa sauti ya Bw. Yule kuna watu wangebeba mashada ya maua na kumwambia mama kumbe umerudi! Sasa alivyojitenga vyote vile, na juhudi zote za 4R zimekuwa sasa ni juhudi za 4K - Kugeukana, Kukimbizana, Kutoleana Macho na Kupigana Mikwara! Alijaribu kujitenga na habari za Bw. Yule; lakini sasa karudi tena karudi na naona na tenga analipiga mkwara. Tunakoelekea jina la Bw. Yule litaanza kuimbwa mbele zake kama alama za kumuunga mkono.
Naelewa yote hayo, nimeandika mpaka kanuni ya Noblesse Oblige, to whom much is given, much shall be required.Umemsikiliza Jenerali Ulimwengu?
Rais anapokosea kosa lake ni kubwa kwa sababu ya nafasi yake.
Ogopa Sana, mtu mwenye akili ndogo, low self esteem, asiyejiamini,Na. M. M. Mwanakijiji
Rais Samia alitaka kupendwa. Rais Samia alitaka kukubalika. Rais Samia alitaka kuoenakana yeye siyo kama yule. Baada ya kuapishwa kufuatia maombolezo ya kifo cha Bw. Yule mara moja watu walianza kusema sasa "wanashusha pumzi". Wapo watu walisherehekea na wakajua kuwa sasa angalau wanaweza kuhema. Hali ya kuwa roho juu kisa bwana yule asiyelala na mwenye kukesha na mafaili hadi chumbani ikashuka. Watu wakaanza kutembea na kuchekeana bila kuogopana.
Upinzani ulishukuru zaidi kwana Bw. Yule aliwabana kweli kweli. Lakini upinzani dhidi yake ulikuwa wazi kabisa na kamili; mgogoro wake na upinzani na dhana ya demokrasia watu waliijua kabla hajaingia madarakani. Hakuwahi kuwa na ahadi za kidemokrasia hata kama aliziimba kidogo. Watu walijua kuwa yeye alichotaka ni "kazi" watu wakakutane kwenye kampeni. Hakutaka kuendekeza siasa za kushindana; walipojaribu kujitutumua vyombo vya dola vya nchi hii vikaingia kumfanya Bw. Yule atawale bila kuzingwazingwa.
Wale wajomba zetu walipojaribu kusema hakuwapepesea macho; na aliwaonesha kweli yeye hawajali kivile pale alipokataa kabisa kwenda kubeba tenga lake kulipeleka huko waliko kuwaomba. Kama aliwaomba aliwataka wao waje kwake ndio awaombe. Tena waje na matenga yao kwanza! Alikataa sana ile hali ya "kujidhalilisha". Sasa Rais Samia alipoingia madarakani siyo tu alitaka kupendwa na watendaji serikali ambao walikuwa roho juu hata kwenda Dubai ilikuwa Mbinde bali alitaka kupendwa na wajomba zetu huko nchi za Magharibi. Rais Samia katika kupendwa huko akaamua kujitenga kimaono na kiutendaji na Bw. Yule.
Bw. Yule alikuwa anafokafoka; mama hakasema yeye hafoki. Huku kijijini Mama akaanza kujulikana kwa "Mama Nahaya Mkayaangilie". Mama hakutaka watu waondoke wamenuna; alijua kuwabembeleza na hata akiwatimua kazi hakutaka wajue ni yeye amechukizwa. Mama akakwepa kabisa kutimua watendaji wabovu papo kwa papo japo anafanya hivyo kimya kimya. Niliandika mahali kuwa Rais Samia ni Simba Mwendapole.
Sasa haya ya juzi ndio yamefunua kuwa jani halitui mbali ya mti na kuwa atapikaye hutapika mbele yake. Mama alijaribu kuwapendeza wapinzani, amejaribu kuwatetea watu wabovu na kwa namna alibariki ulaji wa "urefu wa kamba zao" kumbe wajanja wakala na kamba zenyewe! Mama ambaye alisifiwa kuwa yeye hafokei watu juzi kwenye sherehe za Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Mama akajikuta amegeuka kama Bw. Yule.
Yaani, kama hotuba ile ingetolewa kwa sauti ya Bw. Yule kuna watu wangebeba mashada ya maua na kumwambia mama kumbe umerudi! Sasa alivyojitenga vyote vile, na juhudi zote za 4R zimekuwa sasa ni juhudi za 4K - Kugeukana, Kukimbizana, Kutoleana Macho na Kupigana Mikwara! Alijaribu kujitenga na habari za Bw. Yule; lakini sasa karudi tena karudi na naona na tenga analipiga mkwara. Tunakoelekea jina la Bw. Yule litaanza kuimbwa mbele zake kama alama za kumuunga mkono.
Exactly mkuu.Kwa mara ya kwanza JF ninasoma maneno ambayo nami nimekuwa nikiwaeleza watu mara nyingi...
Kwamba matatizo yeyote ya kiutendaji, mienendo au tabia tunazoziona kwa viongozi wetu hizo ndio tabia tulizonazo Watanzania...
Tunahangaika kumkunja samaki aliyekwishakuwa mkavu...
wacha wee anamcha mungu yupi? Au ni yule maimuna au jini makata?!Tofauti na yule, huyu mcha Mungu
Tatizo Tanzania watu smart hawapandi ngazi, labda kwa bahati tu, kwa sababu ili upande ngazi unatakiwa kuwa chawa na watu smart hawawezi uchawa. Wajinga ndio wanaweza uchawa na wanapanda ngazi.Ogopa Sana, mtu mwenye akili ndogo, low self esteem, asiyejiamini,
Nilikuwa na boss wangu, Engineer, ana pesa nyingi Sana, ila Mambo ya ufundi hayupo vzr, sasa tukiwa kwenye mazungumzo, nikimbishia, anakasirika hatari, akanijengea bifu balaa, sasa, Ili hoja zake zikubaliwe, aka wa anatumia cheo,vitisho, maturity, kejeli, lugha za hovyo,
Mungu alimpa pesa, lakini akamnyima physical strength na body physique, ana ka mwili kadogo, na sauti ndogo, sasa alinichukia kwanza, ni booming sound, Gym body, akawa ana kuwa intimidated, hapo karata yake, ni vitisho vya kufukuza kazi, na matusi,hatari Sana,
Sasa samia anajua watu wanamuona kichwa panzi, mama mmoja kilaza, sasa anatumia nguvu kuumiza ili watu wamuogope,
Ila ajue tu, hata makaburu wa South, walitisha, Leo wapo wapi!
Najuwa, elimu ya kukariri haikupi uwezo wa kutambua kwamba hakuna hata serikali moja duniani inayoweza kutawala bila ya siasa kuunganika na uchumi. Serikali zipo kutengeneza sera zinazo endesha maisha ya watu, ikiwa ni pamoja na uchumi. Kiufupi ni kwamba wewe ni hodari tu wa kuokota hizi habari toka kwenye magazeti na vyanzo vingine, zaidi ya hapo huna uelewa mzuri na yanayozungumziwa katika taarifa hizo unazo weka humu.Sifa za kuwa Kiongozi ni zipi huko kwenu ambazo ziko tuned?
Kwamba sijui ujamaa vs unepari si upinge hoja yangu Kwa hoja badala ya kujiswmesha kwa majigambo kama mabondia wanaojiandaa Kwa pambano.
Nasisitiza hakuna kuingiza ujamaa kwenye uchumi,hizo ziishie kwenye siasa za majukwaani na leadership style,mifano nimeshaiweka.