Wazo: Tarehe 17 Machi iwe siku ya mapumziko na iwe ni siku ya kumbukumbu ya Marais waliotangulia

Wazo: Tarehe 17 Machi iwe siku ya mapumziko na iwe ni siku ya kumbukumbu ya Marais waliotangulia

Na siku aliokufa malkia nayo iwe mapumziko. Na hayo mapumziko tar 17 yana manufaa gani kwako badala useme watu wapige kazi kama kauli mbiu yake ww unataka watu waache kazi walalae sio. Kama hamuwezi ishi maisha na maono yake hakuna faida ya kujidai mlimpenda. Jitu liliotoa uhuru wa wengine kuumia kwa namna moja au nyingine
 
Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.

Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.

Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Hakika.
 
Nyerere Day ipo , Karume Day ipo, Mwinyi yupo hai, Kikwete yupo hai, sasa unaposema iwe siku ya kuwakumbuka Marais wote kivipi walio hai?

Au ulitaka kusema iwe siku ya kumbukumbu ya vifo vya Mkapa na Magufuli lakini je huoni kama Mkapa atakua hajatendewa haki?
Huwezi kutenga siku ya kumbukumbu kwa kila Rais hivyo ilipaswa iwepo moja tu
 
hivi bado nyie sukumagang mpo? yaani uelewa wako mdogo na REGACY zako za kisukuma zichukuliwe serious kabisaaaa, KIDDING, ndio maana kwa mawazo kama yako mleta uzi tutaendelea kutawaliwa tu no matter what
Sukumagang linatumiwa kwa kutajwa tajwa na watu mburula hivi wasio na elimu na wenye kuelekea ukichaa cha mbwa!
 
Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.

Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.

Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Kwani kabla yake hakuna waliyotangulia kufa?
 
Tusifiche fiche mambo

Magufuli n Rais ambaye amevuka mipaka ya ukatili Nina uthibitisho kwa familia yangu kwa aliyoyatenda

Jamaa hakufaaa kuwa mtawala wa taifa letu

Alale anapostahili na Paul Christian makonda naahid lazma nilipe kwa uliyoyatenda kwa familia yangu I swear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.

Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.

Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Wenzako wamejipanga kuanzia Msoga mpaka visiwani kuhakikisha JPM anasahaulika lakini wapi!!
Wanazodi kuchanganyikiwa kukuta kila wanachotekeleza kina mkono wake![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Jamani mpewa,hapokonyeki"
 
Shujaa kwenye maisha ya nani?
Sema alikua shujaa kwako
Au shujaa wa kupiga watu risasi?
Wewe unajiita Malafayale,umesahau Ndugu yako Daud Mwangosi aliuwawa kinyama na Polisi kule Iringa wakati wa JK usisahau mateso ya Dr Ulimboka kung'olewa meno na koleo.
Mabomu yaliyoua vijana wa CHADEMA Arusha mwaka 2011 na Mabomu ya Mbagala na Gongolamboto!
Au alikuwa ni JPM aliyefanya yale??
 
Una maana Nyerere day ifutwe?
Una maana pia Katika hii nchi mchango wa JPM ni mkubwa kuliko wa Nyerere?

Au sijakuelewa vizuri.
 
Back
Top Bottom