Wazo: Tarehe 17 Machi iwe siku ya mapumziko na iwe ni siku ya kumbukumbu ya Marais waliotangulia

Wazo: Tarehe 17 Machi iwe siku ya mapumziko na iwe ni siku ya kumbukumbu ya Marais waliotangulia

Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.

Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.

Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Si tulishakubaliana nyie vibwengo wake mkazikwe naye sasa hizi tantalila zenu za nini tena huku? Mfuateni mkamsaidie mateso anayopata huko jehanam

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Big NO..

Hatuhitaji kuuwekea kumbukumbu ya heshima uovu..

Unadhani Uganda wana "Iddi Amin's Dada day?" Unadhani huko Zaire (DRC) wana " Mobutu Sesesekos' day?" Unadhani huko Ujeremani wana "Adolf Hitler's Day?"

Hakuna!!...... Kwanini?

Because they were all evils. You can't set a day to commomerate evils. If you do, then you become an evil yourself. We Tanzanians are not evils..

John P Magufuli will be remembered as one of the worst presidents this country has had. He's in the records of "bad guy" history books...
 
Back
Top Bottom