Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Hizo zilizotengwa zmekuwepo enzi na enzi nini kimebadilisha?Huwezi kutenga siku ya kumbukumbu kwa kila Rais hivyo ilipaswa iwepo moja tu
Wewe unajiita Malafayale,umesahau Ndugu yako Daud Mwangosi aliuwawa kinyama na Polisi kule Iringa wakati wa JK usisahau mateso ya Dr Ulimboka kung'olewa meno na koleo.
Mabomu yaliyoua vijana wa CHADEMA Arusha mwaka 2011 na Mabomu ya Mbagala na Gongolamboto!
Au alikuwa ni JPM aliyefanya yale??
Kukaa kimya ni hekima!Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.
Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.
Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Hiyo siku iwe siku ya kusherehekea uhuru wetu kwa furaha na shangwe maana Mungu wa Mbinguni alitusikia kilio chetu kwa kumwondoa Mungu mtu duniani.Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.
Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.
Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Ngoja nikae hapa nipunge upepoKila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.
Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.
Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
HakikaHivi kweli watanzania wamesahau mateso walopitia kipindi kabla ya hyo tarehe hadi kufikia kuweka kumbukumbu?
unajua machozi yaliyomwagika,damu iliyomwagika, hasara walizopata watu, vilema nk?
ni mwanadamu gani anaeweza kumkumbuka mtu katili kama mnyama.
kama kuna watu walimpenda kwa unyama wake basi wana mfanano wa tabia za kikatili.
Muache Mungu aitwe Mungu.
tunamshukuru sana kwa kututoa kwenye mateso na msalaba mzito toka 2015-17/3/2021 Hakika Mungu ni mwema sana
Ukweli ndiyo huo.Kwa uovu mwingi alioufanya, hata asipotengewa siku ya kukumbuka uovu wake, atakumbukwa tu.
Miaka mingapi imepita tangu Adolf Hitler atoweke lakini anaendelea kukumbukwa na Ujerumani, Wayahudi na watu wa Dunia nzima? Waovu huwa hawasahauliki, hivyo hawana sababu ya kutengewa siku maalum.
Kwa kawaida baya moja hukumbukwa kuliko 10 mema. Mkapa alifanya mazuri mengi maradufu ya Magufuli, lakini Mkapa, huenda miaka 50 ijayo, watakapjaliwa kuwepo hawatamkumbuka tena. Lakini Magufuli ataendelea kutajwa.
Hakuna mkristo asiyemfahamu Yuda Iskariote, lakini ni wachache sana wanaoweza kuwataja angalao mitume 7 wa Yesu Kristo.
Kapate maoni kutoka kwa wazazi wa Ben Saanane.Mashujaa wengine kama Mkwawa ,Sokoine n.k nimewajua vitabuni tu lakini kwa shujaa Magufuli acha tuseme ukweli anastahili kukumbukwa
Pole sana ila hii michawa ya Jiwe(misukuma gang) kwakuwa ilikuwa ikifurahia udhalimu na ukatili waliokuwa wakifanyiwa watu kwa sasa inajisikia vibaya kuwa watu wako huru, wanafanya shughuli zao bila za kubugudhiwa na private sector imerudi ku-shine kwa maana hiyo ndiyo waliipiga sana vita kwa sababu za wivu.Tusifiche fiche mambo
Magufuli n Rais ambaye amevuka mipaka ya ukatili Nina uthibitisho kwa familia yangu kwa aliyoyatenda
Jamaa hakufaaa kuwa mtawala wa taifa letu
Alale anapostahili na Paul Christian makonda naahid lazma nilipe kwa uliyoyatenda kwa familia yangu I swear
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yote bado hayafuti unyama, ubaradhuli, ukatili na uuaji wa Jiwe, two wrongs don't make it right.Wewe unajiita Malafayale,umesahau Ndugu yako Daud Mwangosi aliuwawa kinyama na Polisi kule Iringa wakati wa JK usisahau mateso ya Dr Ulimboka kung'olewa meno na koleo.
Mabomu yaliyoua vijana wa CHADEMA Arusha mwaka 2011 na Mabomu ya Mbagala na Gongolamboto!
Au alikuwa ni JPM aliyefanya yale??
Kwaiyo wale waliokufa walikuwa siyo Watanzania ila hawa mnaodai walikufa wakati wa JPM ndiyo Watanzania halali!Hayo yote bado hayafuti unyama, ubaradhuli, ukatili na uuaji wa Jiwe, two wrongs don't make it right.
Unakana maneno yako tena,umesema JPM ni shujaa gani kwakuwa alipiga watu risasi!Wapi nimemsifu JK?
Mabomu ya Gongolamboto yale hayana lolote na siasa.Meja General Damian Mwanjile akiwa Lt Kanali ndiyo alikua mkuu JW Gongo la Mboto na sasa ni mjunbe wa bodi ya Korosho baada ya kustaafu JW.
JK nae sijawahi msifu,mm napenda watu washindane kwa sera sio kuvunjana miguu kwa risasi sababu tu una dola.
Ndiyo uue watu kisa kufa kulikuwepo tangu zamani fara?Unakana maneno yako tena,umesema JPM ni shujaa gani kwakuwa alipiga watu risasi!
Acheni Double standard Watanzania hawakuanzia kufa wakati wa JPM!
Ukweli ndiyo huo.Kila mtu amkumbuke huyo JIWE kwa namna yake mnaomkumbuka kwa wema endeleeni tunaomkumbuka kwa ubazazi wake mtuache
Ushashiba michembe na maziwa mgando unaandika ujinga tuu.Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati Magufuli.
Kwa kuwa alikuwa ni shujaa kwenye maisha ya wengi hivyo anastahili kuenziwa kishujaa kwa kutengwa siku maalumu ya kumkumbuka na iwe ni mapumziko.
Hii itasaidia maumivu na mateso ya watu kuwa furaha. Pia, kwa kuwa tutahitaji kuwaenzi na Marais wengine waliotangulia na watakaotangulia mbele za haki, basi tarehe 17 ya mwezi wa tatu iwe ni mahususi kufanya hivyo ukiachana na Hayati baba wa Taifa ambaye ana siku maalumu ya kumbukumbu yake.
Angekua shujaa wa kupiga watu risasi asingekukosa wewe. Angekulipua tu.Shujaa kwenye maisha ya nani?
Sema alikua shujaa kwako
Au shujaa wa kupiga watu risasi?
Maendeleo ya umma wakati kaacha madeni kibao!Angekua shujaa wa kupiga watu risasi asingekukosa wewe. Angekulipua tu.
Yeye alikua mpambanaji wa maendeleo ya umma kwa watanzania. Ndio maana umma wa wananchi kasoro wewe walimpenda sana.