ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 641
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasaidie kina junior homework
Jipe shughuli usikae idle OSHA hata vigae
Usile sana akiwepo
Usishinde nyumbani
Miaka 28Umri wako?
Sina experience lakini nakushauri usiende
Hawana chumba cha nje mkuu, nafanyaje hapo?Kama ni mshikaji shemeji nenda. Hakuna ubaya wowote.
Sheria kuu omba chumba cha nje, usikae sebuleni wawapo wawili kwa muda mrefu zuga ata unatoka kuzungumza na simu.
Kwanini unanishauri nisiende?Umri wako?
Sina experience lakini nakushauri usiende
Labda kuwa mke wa piliMwezi wa 12 nitahamia kwa dada yangu, ni baada ya kukaribishwa na Shemeji ,kwa ajili ya kufanya shughuli ndogo ndogo za kujipatia riziki.
Sasa kabla ya kuondoka nataka nifahamu changamoto kadhaa za kuishi na hawa watu na namna ya kukabiliana nazo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aisee!Yani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....
Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau
Daaaa!!!Yani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....
Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau
Mimi mwanaume mkuuLabda kuwa mke wa pili
We mtu mzima, nikiwa na umri Kama wako nilikuwa tayari nishajitegemea yaani Niko kwanguMiaka 28
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Yani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....
Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau
Kwanini unanishauri nisiende?
Yani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....
Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau