ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 641
- Thread starter
- #81
Matusi ya nini sasa?Fulsa za nyoko, nenda kapange chumba hata kimoja si unaanza maisha seheme mpya? Sasa unaogopa nini mpaka ukaishi kwa dada yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya nini sasa?Fulsa za nyoko, nenda kapange chumba hata kimoja si unaanza maisha seheme mpya? Sasa unaogopa nini mpaka ukaishi kwa dada yako?
Kubaniwa kuvusha?Hakuna changamoto zaidi ya kubaniwa kuvusha wakati unajua shemeji yako analala na dada ndani.
Daa pole sana mkuu,Shemeji yako ana roho mbaya sana.Huo ni mtego mkuu
Inaonyesha Dada yako hua ni mgonjwa Mara kwa Mara
Sasa jomba kaamua kukukaribisha kulipishia mahali
utaliwa utumbo Mpana siku moja sister akiumwa tena.
Hakuna free lunch kumbuka
Tafuta geto la nje
Shaur yako
#ushauri tozo
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]Nenda kakae kwa malengo,kama umehakikishiwa kazi ya kufanya nenda...kapambane kwa bidii rudi uchukue familia yako,kuna watu humu wanachangia lakini wengine wapo either kwa wazazi au mashemeji zao.