Wazoefu: Zipi changamoto za kuishi kwa Shemeji/Dada?

Wazoefu: Zipi changamoto za kuishi kwa Shemeji/Dada?

We mtu mzima, nikiwa na umri Kama wako nilikuwa tayari nishajitegemea yaani Niko kwangu
Sijasema mimi mtoto, sijasema sijitegemei pia sijasema sina kwangu,Nina kwangu Nina mke na watoto watatu,nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 nilioa nikiwa na miaka 20,Huko kwa ninakotaka kwenda nimeambiwa kuna fursa siendi kukaa kihasara hasara.
 
Sijasema mimi mtoto,sijasema sijitegemei pia sijasema sina kwangu,Nina kwangu Nina mke na watoto watatu,nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 nilioa nikiwa na miaka 20,Huko kwa ninakotaka kwenda nimeambiwa kuna fursa siendi kukaa kihasara hasara.
Sasa mkuu, yaani ukubali kwenda kuishi kwa dadaako kabisa. No, think otherwise mkuu. Yaani kabisa. Eeeeh watu mna moyo
 
Mwezi wa 12 nitahamia kwa dada yangu, ni baada ya kukaribishwa na Shemeji ,kwa ajili ya kufanya shughuli ndogo ndogo za kujipatia riziki.

Sasa kabla ya kuondoka nataka nifahamu changamoto kadhaa za kuishi na hawa watu na namna ya kukabiliana nazo.
Aiseee miaka28 ukaishi kwa dadaaaaaaa duuuuuh
 
Sasa mkuu, yaani ukubali kwenda kuishi kwa dadaako kabisa. No, think otherwise mkuu. Yaani kabisa. Eeeeh watu mna moyo
Sio kwa kupenda mkuu, ni changamoto za maisha, lengo sio kuhamia baada ya miezi kadhaa au mwaka nitatafuta chumba nipange.
 
Bob nenda tu, mpaka wamekuita wamekuridhia. Kwa kuwa ni kutafuta riziki itakupunguzia gharama za kupanga na mambo mengine.
Fata kilichokupeleka, ishi tu vizuri na shemeji yako. Usisikilize wanaokuponda kukaa kwa shemeji Kila mtu ukweli wake anaujua mwenyewe. Ni hayo tu!!
Utuletee na mrejesho pia!!
 
Sijasema mimi mtoto, sijasema sijitegemei pia sijasema sina kwangu,Nina kwangu Nina mke na watoto watatu,nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 nilioa nikiwa na miaka 20,Huko kwa ninakotaka kwenda nimeambiwa kuna fursa siendi kukaa kihasara hasara.
Kwahiyo unaenda na familia yako? Au unaiacha unaenda mwenyewe?

SANUKA, USIENDE.
 
Yani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....

Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa umri huo sidhani kama inafaa uende ukakae kwa dada yako, hutokuwa huru hata kidogo vinginevyo labda iwe ni kawaida kufanya hivo kwa kabila lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema mimi mtoto, sijasema sijitegemei pia sijasema sina kwangu,Nina kwangu Nina mke na watoto watatu,nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 nilioa nikiwa na miaka 20,Huko kwa ninakotaka kwenda nimeambiwa kuna fursa siendi kukaa kihasara hasara.
Mkuu mkeo unamuachia nani?
 
Mwezi wa 12 nitahamia kwa dada yangu, ni baada ya kukaribishwa na Shemeji ,kwa ajili ya kufanya shughuli ndogo ndogo za kujipatia riziki.

Sasa kabla ya kuondoka nataka nifahamu changamoto kadhaa za kuishi na hawa watu na namna ya kukabiliana nazo.
Jinsia yako?
 
Back
Top Bottom