Nenda lakini upange chumba chako nunua godoro na kapeti na ndoo, hivi italeta heshima ata siku moja utamleta keo kuja kusalimia,Sijasema mimi mtoto, sijasema sijitegemei pia sijasema sina kwangu,Nina kwangu Nina mke na watoto watatu,nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 nilioa nikiwa na miaka 20,Huko kwa ninakotaka kwenda nimeambiwa kuna fursa siendi kukaa kihasara hasara.
Anazingua huyuAiseee miaka28 ukaishi kwa dadaaaaaaa duuuuuh
Ajitafakari upyaMiaka 32 unaenda kuishi kwa shemeji.....majengo sokoni
Wewe Maghayo njoo leta uzoefu wako hapa mada inakuhusua 100%Mwezi wa 12 nitahamia kwa dada yangu, ni baada ya kukaribishwa na Shemeji ,kwa ajili ya kufanya shughuli ndogo ndogo za kujipatia riziki.
Sasa kabla ya kuondoka nataka nifahamu changamoto kadhaa za kuishi na hawa watu na namna ya kukabiliana nazo.
Nina nyumba na familia ujueMiaka 28 bado unataka kujidekeza kwa dada...kakae gheto we fala, tafuta hata chumba cha giza.
Jinsia yangu???Jinsia yako?
Simuachii yeyote mkuu,na kugongewa sio lazima uwe mbali naye ,unaweza ukaachwa ndani akaenda kugongwa nje huko tena chooni.Mkuu mkeo unamuachia nani?
Kabila gani wanafanya hivyo Mkuu?Kwa umri huo sidhani kama inafaa uende ukakae kwa dada yako, hutokuwa huru hata kidogo vinginevyo labda iwe ni kawaida kufanya hivo kwa kabila lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona maneno makali sana mkuu?Yaani dume ukaishi kwa dadako? Zinakutosha kweli wewe?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha upumbavu...kwani mashabiki wa Chelsea wapoje
Naiacha nitakuja kuichukua baada ya mwaka hivi.Kwahiyo unaenda na familia yako? Au unaiacha unaenda mwenyewe?
SANUKA, USIENDE.
[emoji1319]Bob nenda tu, mpaka wamekuita wamekuridhia. Kwa kuwa ni kutafuta riziki itakupunguzia gharama za kupanga na mambo mengine.
Fata kilichokupeleka, ishi tu vizuri na shemeji yako. Usisikilize wanaokuponda kukaa kwa shemeji Kila mtu ukweli wake anaujua mwenyewe. Ni hayo tu!!
Utuletee na mrejesho pia!!
Kama unaweza ukapagawishwa na miguno ya dada yako,hata kumla unaweza kenge wewe.Beba na headphone maana dada yake akiwa anapewa dozi miguno ya mahaba usije ukabaka house gal au binti wa dada yako.
Karibu shemeji yangu.
Ataisije dharau wakati dada yake kilichomoeleka kwa huyo njemba ni kupelekewa motoYani ukakae kwa dada ako??? Si bora uende geto kwa masela ulale kwenye mkeka na kujifunika ngumi....
Bora hata ungekua unaenda kwa kaka sio kwa dada asee pambana kiume usiende, kuna siku shemeji ako atampiga dadako kibao cha takko kimahaba halafu wewe utahisi ni dharau
Kaa kwa kutulia.Kama unaweza ukapagawishwa na miguno ya dada yako,hata kumla unaweza kenge wewe.