Wazungu Uingereza wanapora vitu madukani. Hakuna tofauti na Afrika, njaa kali

Wazungu Uingereza wanapora vitu madukani. Hakuna tofauti na Afrika, njaa kali

kilinganisha level ya kujielewa kwa wenzetu na Huku kwetu utaona tunasafari ndefu sana.
Vituo vya mwendokasi hata miaka kumi havijamaliza kaangalie saivi vikoje, mabasi tangu yaanze kutumika hata muda hayana kaangalie saivi yakoje. Kama ilivyo hapa Tanzania sio wote hawajastaarabika na huko ni hivyo pia sio wote waliostaarabika tukiweka kwa namba naweza zaidi ya robo tatu huku hawajastaarabika ila kwa wenzetu ni zaidi ya robo tatu watu wamestaarabika.

Nchi za Afrika tungejitalbua kama Bukinafaso na Senegal leo wazungu wangeishi kama mashetani na machokoraa humu duniani .
 
Tusitoke kwenye mada. Nilisema ulitumia kauli pole sana juu ya hao wazungu
Nani kakupa wewe uhalali wa kusema kauli gani ni pole na ipi si pole? Pole kwa kigezo gani? Unajuaje ni poke na si shirikishi tu?

Hujajibu swali. Kwani fujo haiwezi kusababisha wizi na uporaji?

Kwa nini unaona mimi kuuliza hili swali ni kutoka nje ya mada wakati wewe ndiye uliyetoa mada hiyo?
 
🚷 🇬🇧 14% of the British population are immigrants today and the country is clearly a powder keg. Given current trajectories for birth rates, to keep the economy ticking the country will be over 50% immigrant in 50 years. This is not going to work. Britain will collapse first.

📎 Philip Pilkington

Uwingereza wawe tu wapole 😀
 
1722903185790.png
 
Video kama hizi mtandao zikionyesha watu weusi utasikia wazungu wabaguzi wakicomment, "The usual suspect."
 
Wanafanya sana ila huwa haitangazwi. Walivyogombana na Russia ndio mambo yamekuwa hadharani kote ( Russia na Ulaya + Marekani).
Wala si kwamba haitangazwi.

Historia nzima ya dunia ni fujo na uporaji wa wazungu. Kuanzia ubaguzi, utumwa, ukoloni, ubepari mpaka hizi fujo za kupora barabarani.

Watu wangapi mnaosema haitangazwi mmesoma kuhusu Kristallnacht?

Kristallnacht haijatangazwa?
 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa tukio hilo limetokea Africa habari zingetangazwa kila kona. Bahati mbaya hata wale watumwa wa Wazungu wanaona kama wazungu wanaonewa.



View: https://x.com/OzraeliAvi/status/1820723491580371153
 
Wala si kwamba haitangazwi.

Historia nzima ya dunia ni fujo na uporaji wa wazungu. Kuanzia ubaguzi, utumwa, ukoloni, ubepari mpaka hizi fujo za kupora barabarani.

Watu wangapi mnaosema haitangazwi mmesoma kuhusu Kristallnacht?

Kristallnacht haijatangazwa?
Inawezekana inatangazwa lakini sio sawa na namna akifanya Mwafrika inatangazwa kwa intensity kubwa mno.
 
Back
Top Bottom