Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hamsomi tu, halafu mnalaumu haitangazwi.Inawezekana inatangazwa lakini sio sawa na namna akifanya Mwafrika inatangazwa kwa intensity kubwa mno.
Mtajuaje haitangazwi wakati hamsomi?
Hujamsoma William L. Shirer, halafu unalaumu uporaji wa wazungu hautangazwi.