Wazungu Uingereza wanapora vitu madukani. Hakuna tofauti na Afrika, njaa kali

Inawezekana inatangazwa lakini sio sawa na namna akifanya Mwafrika inatangazwa kwa intensity kubwa mno.
Hamsomi tu, halafu mnalaumu haitangazwi.

Mtajuaje haitangazwi wakati hamsomi?

Hujamsoma William L. Shirer, halafu unalaumu uporaji wa wazungu hautangazwi.
 
Hawa ni waarab bwana, wanajifanya wazungu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…