The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe ukibanwa unapiga block mtu,sasa hapo nani mwenye nafuu kati yako na yeye?Hujajibu swali nililouliza kuhusu Ufaransa.
Unalianzisha kuhusu Ufaransa halafu ukibanwa unabadilisha topic?
Wewe jamaa ni mweupe sana kichwani,una ubishi wa kitoto sana na viswali vyako vya hovyo hovyo,Hujaonesha habari inayothibitisha kwamba hizi habari si za kweli.
Mimi nimeweka link, weka habari inayokanusha.
Mashoga hua mnajuana sio?Waarabu mashoga sana , hata hii mechi ya ufunguz nmewaona wawili ila wamevaa kanz
mtume fulani alikatwa kichwa watu wakaanza kupiga mateke kile kichwa chake ndo ikawa kama soccer ⚽
Hahaha..
HUJAELEWA AISEE,He feels gay but he is OK with his fellow gays being banished from Qatar?
What kind of gay swagger jacking is this?
hawajapigwa marufuku,Swagger jacking ni kitendo cha mtu kuiba swagger ya mtu mwingine. A special sort if "culture appropriation".
Yani, mtu si gay, ameshiriki katika kuhakikisha gays wamefunikwa huko Qatar.
Halafu anakuja bila aibu anajifanya amesimama na ushirikiano na gays anajiona na yeye kama gay.
Ameyatumia maumivu ya gays kutengwa kwa faida yake ya kisiasa, kibaya zaidi, na yeye kashiriki katika kuwakandamiza hao gays wafunikwe kama wakoma huko Qatar.
Yani hata kama mtu hukubaliani na gays, unatakiwa uone kwamba huyu jamaa ana hadaa ya hali ya juu.
Bora asingewataja tu hao gays akasema tu mambo kivyakevyake.
Yani haiwezekani yeye mtu mmoja awe kiongozi wa FIFA iliyokubali gays wapigwe marufuku World Cup, halafu hapo hapo anajidai kusimama pamoja na gays.
It is sheer hypocrisy.
Kwa nini wanatumia nguvu KUBWA kueneza ushoga?Mkuu,
Hata hiyo soka ni mchezo wa Waingereza.
Sasa si mngeikataa nayo katika kuonesha hamzikubali tamaduni zao?
Kwa sasa naona mnawakataa kwa ile methali ya Kiswahili ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Kuwakataa mnataka. Kuwakubali mnataka.
Hamjielewi mnataka nini.
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.Kwa nini unafikiria watu wote bilion 8 duniani wanaweza kuwa mashoga na wasagaji ?
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.
Kama ni hulka au ulemavu Wa MTU Kwa Nini watumie nguvu kuueneza? Fuatilia uone Jinsi watoto na Vijana wanavyolawitiana Kwa Kasi KUBWA? Kuna Biashara Gani nyuma ya ushoga?
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.
Kama ni hulka au ulemavu Wa MTU Kwa Nini watumie nguvu kuueneza? Fuatilia uone Jinsi watoto na Vijana wanavyolawitiana Kwa Kasi KUBWA? Kuna Biashara Gani nyuma ya ushoga?
Yeye si GaySwagger jacking ni kitendo cha mtu kuiba swagger ya mtu mwingine. A special sort if "culture appropriation".
Yani, mtu si gay, ameshiriki katika kuhakikisha gays wamefunikwa huko Qatar.
Halafu anakuja bila aibu anajifanya amesimama na ushirikiano na gays anajiona na yeye kama gay.
Ameyatumia maumivu ya gays kutengwa kwa faida yake ya kisiasa, kibaya zaidi, na yeye kashiriki katika kuwakandamiza hao gays wafunikwe kama wakoma huko Qatar.
Yani hata kama mtu hukubaliani na gays, unatakiwa uone kwamba huyu jamaa ana hadaa ya hali ya juu.
Bora asingewataja tu hao gays akasema tu mambo kivyakevyake.
Yani haiwezekani yeye mtu mmoja awe kiongozi wa FIFA iliyokubali gays wapigwe marufuku World Cup, halafu hapo hapo anajidai kusimama pamoja na gays.
It is sheer hypocrisy.
Kama QATAR walikubali kuwa wenyeji wa soccer kwa ngazi ya FIFA world cup na soccer ni dhambi kwa mjibu wa imani ya uislam basi waendelee kukubali na dhambi zingine zinazoambatana na soccer vinginevyo naunga mkono waache unafikinyie si mnasema mpira ni dhambi? tatizo mmejawa na unafiki
Mkuu ni ngumu sana kutenga dini na utamaduniKuna dini halafu kuna utamaduni hvyo ni vitu viwil tofaut ukisema utamadun bc hata kuvaa surual ni utamaduni wa wazungu na utamaduni wa waarabu ni kuvaa kanzu,
swali: sisi tusiovaa kanzu tunavaa surual sio waislam?
Wewe umeshindwa hata kuniambia imi ambaye sijaelewa sijaelewa nini na wapi.HUJAELEWA AISEE,
duh
Unajua swagger jacking ni nini?hawajapigwa marufuku,
kila nchi ina policies zake pia.
kwa nini Xavi alizuiwa kuingia US ??
Soka kama inavyochezwa leo ni mchezo wa Waingereza.Kwa nini wanatumia nguvu KUBWA kueneza ushoga?
Hivi hujiulizi watu wote wakiwa mashoga kizazi cha kiumbe binadam kitaendelea kuwepo Duniani?:
JIBU ni Hapana?
Sasa Kwa nini tuwapende na kuwaonea huruma watu wanaotaka kumwanzamiza na binadamu Duniani? Ni wehu tu ndio wanaosapoti harakati za kueneza ushoga na usagaji.
Lakini pia mpira ulianza kuchezwa china Karne nyingi. Tatizo haukua na kanuni maalumu Mwingereza aliuwekea kanuni Baadae ya kuuiba.